secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Kwa nini baadhi ya watu wantuambia mshamba hachekwi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwasababu haumsaidii mshamba kwa kumcheka bali kwa kumrekebishaKwa nini baadhi ya watu wantuambia mshamba hachekwi.
😀😀😀 kuna mshkaji wangu alikufa kwa sababu ya kunywa bia kali bila kula chakula cha kutosha, siku ya msiba sababu ya kifo ikasemwa ni sukari ilishuka mwilini sio uleviKwanini mtu hata akiwa mwizi, malaya, mlevi asiyetunza familia akifa bado atapewa sifa nzuri kwamba alikuwa mtu wa watu, mpenda amani, alipendwa na kila mtu? ili hali alipokuwa hai pengine jamii ilikuwa inaomba hata apotee maana amekuwa kero
Mi sifumbagi njoo tujaribu tuone itakuwaje 😅😅😅
Well said, nikikutana naye naangua kilio then namsaidiakwasababu haumsaidii mshamba kwa kumcheka bali kwa kumrekebisha
1.Ni suala la idadi yao ndogo takwimu hazishtui.Kwenye miji mikubwa, lazima utakuta wahindi wanamiliki pikipiki, wengine zile kubwa.
Sasa kwanini huwezi kusikia mhindi kafa/kapata ajali ya pikipiki wakati dereva boda boda wanadondoka kama nzi.
pombe pia inaweza ikasababisha sukari kupungua mwilini,na kama alikuwa hajala sukari itapungua zaidi.😀😀😀 kuna mshkaji wangu alikufa kwa sababu ya kunywa bia kali bila kula chakula cha kutosha, siku ya msiba sababu ya kifo ikasemwa ni sukari ilishuka mwilini sio ulevi
Basi waseme sukari ilipungua baada ya kunywa pombe 😀😀😀😀pombe pia inaweza ikasababisha sukari kupungua mwilini,na kama alikuwa hajala sukari itapungua zaidi.
Hadithi za AbunuasiAlimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Hahahaha! nilikuwa nawafariji wale mademu walionyooka flati utafikiri kipima maji kilitumika wakati wanaumbwaKwanini sisi ni nyoka?
Wewe haujakutana na sisi mafundi wa kupiga makiss unapigwa french, single lip nashuka hadi kwa shingo nakupiga vampire kiss hapo ni miguno mixer unasikilizia utamu kumoyo mpaka unafumba macho 🤣Mi sifumbagi njoo tujaribu tuone itakuwaje 😅😅😅
Vampire tena!!! Mambo yenu vijana sie wazee hatujui mambo ya kisezWewe haujakutana na sisi mafundi wa kupiga makiss unapigwa french, single lip nashuka hadi kwa shingo nakupiga vampire kiss hapo ni miguno mixer unasikilizia utamu kumoyo mpaka unafumba macho 🤣
Mzee wa kupambania hili swali linahitaji jibu lako kijana wangu,Swali langu sijui wajibu wanaume au wanawake!
HIVI TAKO KUBWA LINA FAIDA GANI KWA ME AU KE?
Namaanisha kimatumizi