Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Wanajuana hao
 
Ukiachana na mambo mengine.Watu hukubali hali halisi ya maisha aliyonayo kwa wakati huo.

Hutumia kiasi kilichopatikana kuendesha maisha kwa utulivu mkubwa sana huku akiendelea kupanga mambo kwa akili kubwa mno.
Watu wa aina hiyi hawaamki amki kihisia kufanya matumizi yasiyo na mpango.
Mi najiulizaga watu wanaendeshaje maisha Kwa shughuli ndogo ndogo wanazofanya? Unakuta mtu anauza shanga, maji, anatembeza vitumbua au kuuza viatu kama waha hapo hapo apate nauli, Kodi, bills (maji, umeme, msos na etc). Nawaza kwamba faida anayopata inatosha kuendesha maisha?
 
Mzee wa kupambania hili swali linahitaji jibu lako kijana wangu,


Kwa sie wanawake linaongeza kujiamini mbele ya mwanaume, kupendeza/kuvutia kimuonekano, ni faida kwa wapenda attention huko wapitako
Tako lina raha yake hasa wakati wa kumpiga doggy, au akiwa kwa juu anaride de libolo. Ule usoft wa tanko skonz, mtetemo, huku umekamatia kiuno huwa linaongeza sana mzuka

Sasa ukute manzi mtundu analizungusha kiufundi utamwaga hadi ubongo jinsi linatetema wakati wa mzagamuo yaani pwaa pwaa kazi yako ni kutia tuvibao twa mahaba. Hizi mambo hupati kwa vimodo
 
Mkuu, Allah ktk viumbe alivyo umba hakuna kama binaadamu, malaika wali thibishiwa na ALLAH, na walikubali. Alicho fanya shetani ni kumuomba Allah ambakishe na uwezo wake na pia awe wa mwisho, ALLAH aka kubali ombi lake na ALLAH aka muahidi adhabu ilokuwa kubwa kupitiliza aka sema fresh, as long as umeniacha hadi mwisho wa Dunia, akasema huyo binaadamu ulie muumba Nitampoteza , akaambiwa Nita wapa silaha za kukuangamiza (kujikinga na wewe) ispokua kwa wasio Tumia,
note : alimchukia binaadamu Toka ana umbwa, amdharau nakumuona si kitu kiasi cha kuwashawishi wenzake na malaika wamkatae , pia aliwambia wenzake udhaifu wa binaadamu, kama sio Muslim innah rirah ila kama Muslim basi tusome na tuhudhurie darasa, ALLAH ndie mjuzi
Hizi ni story za zama za mawe huko wala hazina mantiki.
 
Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Kwahyo hiki kitendo anachofanya kina baraka za Mungu?
 
Tako lina raha yake hasa wakati wa kumpiga doggy, au akiwa kwa juu anaride de libolo. Ule usoft wa tanko skonz, mtetemo, huku umekamatia kiuno huwa linaongeza sana mzuka

Sasa ukute manzi mtundu analizungusha kiufundi utamwaga hadi ubongo jinsi linatetema wakati wa mzagamuo yaani pwaa pwaa kazi yako ni kutia tuvibao twa mahaba. Hizi mambo hupati kwa vimodo
😆😆kwakweli mnafaidi mbwa nyieee
 
Hay
Mzee wa kupambania hili swali linahitaji jibu lako kijana wangu,


Kwa sie wanawake linaongeza kujiamini mbele ya mwanaume, kupendeza/kuvutia kimuonekano, ni faida kwa wapenda attention huko wapitako
Haya majibu yamenizalishia maswali zaid.
Mf. Kujiamini mbele ya wanaume kivipi!
Kwamba ni silaha au uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo unaongezeka?
Je, hiyo attention ni aina gani ya matumizi? (Mana hapa tunatafta matumizi na faida)
Au mi mshamba flan hv.
 
Kwahyo hiki kitendo anachofanya kina baraka za Mungu?
Swali hujibiwa kwa swali , ushawahi kuiba kwenu au sehemu yoyote, na ukafanikiwa kuiba hicho kitu, je huyo mungu wa Imani yako ali bariki wewe uibe, au wewe ulipo zini na msichana huyo mungu wako ali bariki wewe ku mzini huyo msichana, jibu unalo mwenyewe
 
Hizi ni story za zama za mawe huko wala hazina mantiki.
Allah anasema wewe ulikua huna faida yoyote ispookuwa kunuka na harufumbaya, tena ulikuwa una tembea kwa kuchumpa na Allah aka kutoa huko kote mpaka hapo ulipo, leo maneno yake hayana mantiki, endelea kukanusha
 
Hay

Haya majibu yamenizalishia maswali zaid.
Mf. Kujiamini mbele ya wanaume kivipi!
Kwamba ni silaha au uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo unaongezeka?
Je, hiyo attention ni aina gani ya matumizi? (Mana hapa tunatafta matumizi na faida)
Au mi mshamba flan hv.
Mi nimechoka bhana tako lenyewe sina
 
1. Mwenendo wa matumizi: Wahindi wengi wanaomiliki pikipiki kubwa hutumia kwa safari za binafsi au burudani, na kwa kawaida si mara nyingi wanazotumia kwa shughuli za kibiashara kama vile madereva wa boda boda.

Hii inamaanisha wanazotumia mara chache na katika mazingira yaliyodhibitiwa, hivyo kupunguza uwezekano wa ajali.

2. Aina ya pikipiki: Pikipiki kubwa zinazomilikiwa na baadhi ya Wahindi zina teknolojia na mifumo ya usalama ya hali ya juu, kama breki za kisasa, vifaa vya kulinda mwili, na ubora wa juu. Kwa upande mwingine, boda boda mara nyingi hutumia pikipiki ndogo, ambazo si lazima ziwe na vifaa bora vya usalama.

3. Kiwango cha uangalifu: Wahindi wengi wanapokuwa barabarani mara nyingi hutumia tahadhari kubwa na huchukulia usafiri wa pikipiki kama njia ya anasa au urahisi binafsi. Kwa upande mwingine, madereva wa boda boda, kwa sababu ya kulazimika kuendesha haraka na kushindana kupata wateja, mara nyingi hujihatarisha zaidi kwa kuvunja sheria za barabarani, kupita katikati ya magari, au kuendesha kwa kasi zaidi.

4. Shinikizo la kibiashara: Madereva wa boda boda wanakabiliwa na shinikizo la kufanya pesa haraka, ambalo linaweza kuwafanya waendeshe kwa mwendo wa hatari, wakijaribu kupata wateja wengi zaidi kwa muda mfupi. Hii huongeza nafasi ya kupata ajali.

Kwa hivyo, tofauti kubwa ipo kwenye matumizi ya pikipiki, aina ya pikipiki, na kiwango cha tahadhari barabarani. Wahindi wanaweza kuwa na udhibiti bora wa mazingira yao ya kuendesha, hivyo kupunguza hatari za ajali.
Chartgpt inakukoma..!
 
Hadithi za Abunuasi
Ata wewe pia ni hadithi ya abunuasi,Allah anasema ulikua huna faida yoyote, unanuka harufu mbaya, unatembea kwa kuchumpa, tena hufai kwa matumizi yoyote na leo unapata ujasiri wa kuongea hivi , basi wewe ndio hadithi kubwa ya abunuwasi
 
Kwanini wanawake wakiwa vijana wanaitwa Malaya na wakizeeka wanaitwaWachawi?
 
Back
Top Bottom