Kitu gani umejiuliza sana lakini hupati majibu?

Jombaa hii ni chat gtp??
 
Jombaa hii ni chat gtp??
Naam muhimu unaifanya iwe vile utakavyo wewe na maisha yako hayatokuwa kawaida tena.

Kuna mtu humu aliwahi sema jambo Moja muhimu sana juu ya tekinolojia hii ya AI kuwa ni msingi bora wa kuyaishi maisha yako at maximum kwa kuruhusu AI ikufanyie kile unachokitaka kwa ubora ule unaouhitaji. AI zote zinakupa kile unachofikiria
 
dddd
 
Kwanini Mungu hajamuua shetani?
Kuna aina nyingi za adhabu, ila kuua sidhani kama ndio best, ile ya kuchomwa milele nazani ndio tamu zaidi😃🤣
Uo ni mtazamo wangu .
 
Ilikuwaje,mwanamke akawa kiumbe pekee kukutana na shetani?!!!
Hata ofisini uwezi muona boss bila kukutana na msaidizi wake..
Kiimani mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, so nyoka alifata protoko...
Mtazamo wangu
 
Kwenye uzinduzi wa ndege zilitotengenezwa hapa Tanzania, mbona mama Samia hakupanda kama uzinduzi wa ndege zingine au kama alivyozindua treni ya umeme?
😂🤣🤣 tuanze na wewe,...ungepanda?
 
Kwa nini Manchester United haijabadilika tangu Ferguson aondoke
Mfumo ulioko ndo ule mfumo ambao ulimfanya Sir Ferguson aondoke. Kjna haja ya kufanya reform a mfumk mzima wa uendeshaji na ndo maana watu walitamani sana iuzwe kabisa kwa mtu mpya.

Ingawa kwa sasa mmiliki mwenza anaweza kuleta mabadiliko ila itachukua muda na anahitaji washauri wazuri na wabunifu.
 
Alimuomba (ALLAH) amuache hai, aka kubaliwa kuwa afe mwisho wa Dunia, maana yeye hana pepo hata iweje, yake ni moto hivo ana jitahidi apate wa kumpa kampani huko Motoni
Izi story zinachekeshaga😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…