Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.

NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Mara hii tutaenda na roho yako!
 
sitowai ulizia njia nikiwa kwa gari hasa kwa wanawake , e bwana juzi nipo mbezi beach nimeenda kupoa kiasi , kuna hotel fulani inavuma area hyo nl;iskia kwa circles zangu , nlipotea ikabidi niulize njia , ile kupark range kwa kando nikanotice mabinti fulani wako story nkawaita , kuuliza njia za kufika pale , nlijibiwa wakiwa ndani , nlishtukia washaingia bila notice faster naskia " ni laki nyuma , elfu hamsini mbele kila shot" ile najaribu kuwaeleza nauliza njia sio mbususu naskia "vp mchopa , kumbe mjini wala bata na mabinti" jirani wa kijijini huyo kaniona, aibu nliyopata balaa aisee
 
sitowai ulizia njia nikiwa kwa gari hasa kwa wanawake , e bwana juzi nipo mbezi beach nimeenda kupoa kiasi , kuna hotel fulani inavuma area hyo nl;iskia kwa circles zangu , nlipotea ikabidi niulize njia , ile kupark range kwa kando nikanotice mabinti fulani wako story nkawaita , kuuliza njia za kufika pale , nlijibiwa wakiwa ndani , nlishtukia washaingia bila notice faster naskia " ni laki nyuma , elfu hamsini mbele kila shot" ile najaribu kuwaeleza nauliza njia sio mbususu naskia "vp mchopa , kumbe mjini wala bata na mabinti" jirani wa kijijini huyo kaniona, aibu nliyopata balaa aisee
🤣🤣🤣🤣 Yalikukuta makubwa aisee
 
Back
Top Bottom