Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Kitu gani umewahi kujiapiza hutofanya lakini mwishowe umefanya tena?

Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.

NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
Mimi nilijiapiza sito fanya punyeto. Nkajikuta narudia jion yake
 
Kama itatokea nikaingia mahusiano tena na hawa watoto wa mama mkwe wa kiafrica! Basi huu uchawi utakuwa komesha, tho i loved them before sirudi nyuma kha
Utarudi tu cute...mapenz Yana nguvu sana mama
 
Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weee☹️ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.

NB: Najua tutaachana🙄 maana hamkawii🤒
akikuacha njoo kwa mtu mzima hapa ule mema ya dunia hii hutajuta binti mzuri. Hawa vijana wa siku hizi legelege mpaka akale mchuzi wa pweza na vumbi la Kongo.
 
akikuacha njoo kwa mtu mzima hapa ule mema ya dunia hii hutajuta binti mzuri. Hawa vijana wa siku hizi legelege mpaka akale mchuzi wa pweza na vumbi la Kongo.
Mtu mzima nataka wa kuishi nae siyo kukulana na kuachana
 
Back
Top Bottom