dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π nachukua break mzeeTena π€£
Ukiingia Hakuna wa kukukomboa humo ππ
sahizi ni mdau wa KATAA NDOAπ³Mitano ijayo?
πππ45-50 sio vibabu hebu watake radhiWe endelea kukomaa na vibabu vyako.
Mara hii tutaenda na roho yako!Mie nilijiapiza sitopenda tena toka moyoni nitapenda juujuu tu, we bhana weeeβΉοΈ ndo nimejikuta nimependa toppest. Yaani nimepitiliza kama ni temperature basi imekuwa 45 C.
NB: Najua tutaachanaπ maana hamkawiiπ€
Siku vikukatie moto sasa ndio itaelewekaπππ45-50 sio vibabu hebu watake radhi
Naita ambulance tuSiku vikukatie moto sasa ndio itaeleweka
Hahahahaaa.... Neema gani hiyo mkuu!Neema mkuu,siku ya kushuka neema utaacha tu
Hii kitu ni ngumu kuiacha aisee.Kwa nini uache wakati utam unaupata
Ila to yeye ebu wacha utani mie nina 2mil nataka nione unavyoji selfieMie nikiwa na mpenz hainisumbui....tatizo nikiwa single....dooooh...najikojozajeeπ
π€£π€£π€£π€£ Yalikukuta makubwa aiseesitowai ulizia njia nikiwa kwa gari hasa kwa wanawake , e bwana juzi nipo mbezi beach nimeenda kupoa kiasi , kuna hotel fulani inavuma area hyo nl;iskia kwa circles zangu , nlipotea ikabidi niulize njia , ile kupark range kwa kando nikanotice mabinti fulani wako story nkawaita , kuuliza njia za kufika pale , nlijibiwa wakiwa ndani , nlishtukia washaingia bila notice faster naskia " ni laki nyuma , elfu hamsini mbele kila shot" ile najaribu kuwaeleza nauliza njia sio mbususu naskia "vp mchopa , kumbe mjini wala bata na mabinti" jirani wa kijijini huyo kaniona, aibu nliyopata balaa aisee