Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Yaani waafrika mkisoma ndio mnakua wajinga zaidi

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu alinitoka bila kujua tena Alikua kwenye kiboksi...
Uchawi upo tena unafanya kazi...
Ukicheza tu wamekuua

Hahahaha
Mkuu,
Smart gang pole sana ILA hapo ungeenda tu kupigwa pesa.
Kwanza dada yako alikuwa kwenye desperate situation kwamba unadai alirogwa.
Huenda ulikuwa depressed kiasi cha kushindwa kufocus hivyo ndege wako akaruka wewe ukiwa umejawa mawazo.
Na umekiri kwamba alikutoka na siyo kuyayuka hio ni hali ya kawaida tu wala si uchawi.
 
Kwani ilibidi afiwe ndani ya muda gani?
 
Damn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walikua wamemzingua Mkuu Wangu.
Ndugu ni hatari kuliko unavowadhania
Yakikukuta ndo utaelewa.
Alipona lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…