Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Hivi nikulize, Mfano mtu ambaye alikua masikini kabisa wa kutupwa na ni mtu ambaye unamfahamu kabisa let's say jirani maana jirani ni rahisi kufahamu life lake kwa sabab ya ule ukaribu mlionao, Sasa huyo mtu unajua kazi zake jinsi zilivyo anazo piga,,,,
Ghafura unashangaa huyo mtu anafanikiwa ananua magari anajenga majumba ya kifahari kazi anayo fanya haiendani na anacho ki project,, je hapo unaweza amini Kuwa uchawi au ni kazi??
Secondly unamini Uganga wa kenyeji?
Third unamini Kuwa Freemason ipo?
Naomba majibu yako
 
🤣🤣🤣Nimekuambiaje ..mi nikisema ninapaa..si utataka nione nikipata. Nikikuambia ni ulimwengu wa roho huwezi elewa. Si utaona chizi. Sasa mi ndo navyowaona nyie machizi. Tafuteni elimu nyie. Mna Simu vitabu vyeti lakini mnaongea kama watu wa vijijini ambao hawajasoma. Mi kwa reason na logic zangu nimepinga hypothesis ya uchawi. Tafiti nilizonazo ni kuwa kila kitu kisemachwo ni uchawi sio uchawi bali ni natural occuring. Wewe unayekataa Hilo...nipe mfano halisi wenye uthibitisho wowote nakusubiria hapa nimekaa
 
Ujinga ni kutaka kutumia logic kwenye mambo yasiyo na Logic
Kitu kisicho na logic ndo ujinga. 🤣Ndo maana unaweza insert chochote ukasema ni uchawi. Leo hii naweza kusema Jana nilienda mwezini nikalala na malaika wa kike. Utabisha. Unajua kabisa it's illogical na hamna ushahidi Ila nakuambia hoo ni mambo ya kiroho ya kichawi. 🤣Huu ndo ujinga wenzetu washakataa wanaendelea
 
ukikua utaacha
 
sasa vitabu vya dini vinathibitisa upo wewe ni nani hadi upinge.
 
Si kafanya kitu lakini... ujambazi na rushwa is something ni action. Hata angecheza biko it's still something. Afu we nishaona una shift the goalpost na kumuonea mwenzako. Ye kasema hamna uchawi. Sawa bas sio lazima mtu afinikiwe kihalali lakini hamna uchawi, bado yupo sahihi kwenye main premise yake..we unaignore unakimbilia kumponda kwenye mada yake ndogo
 
Chai
 
Kwa sababu hujaniuliza Mimi nitakuomba ruhusa nikujibu? If unataka
 
kwa hio wewe ni roboti hapa unakubali ila huko nyuma ulishupaza tuu shingo. Wewe unaleta sayansi ya kusomea darasana na maformular yako kwenye maisha halisi sio.
 
Hakuna uchawi it’s science
 
sasa vitabu vya dini vinathibitisa upo wewe ni nani hadi upinge.
🤣Soma posts zangu za kabla kuhusu vitu vingi vitabu vya dini vimekosea. Kifupi
1. Dunia flat
2. Jua kuzunguka dunia, kuweza kusimama na kurudi nyuma
3. Popo ni ndege
4. Sungura kucheua
5. Nyoka na punda kuongea
6. Chuma kugeuka kuwa nyoka
7. Watu kufufuka
8. Mlima wa kuona dunia nzima(coz ni flat na dunia ni ndogo)
9. Magonjwa kusababishwa na mapepo(sio bacteria)
10. Kujipaka damu ya ndege ndo tiba ya magonjwa ya ngozi
11. Dunia kua na ceiling board yenye maji ya mvua juu yanayomwagwa kwa kufunguliwa madirisha ya mbinguni
12. Dunia kuisha wakati wanafunzi wa YESU wakiwa hai
Etc...
Kama hivi vyote ni uwongo na vimeandikwa kwenye Biblia automatically uchawi nao ni uwongo mwingine tu
 
Sure, yaani anatumia evidence za wazungu ku- argue shirki za kiafrika, elimu ya mkoloni imem- brain wash, pole yake
 
nlishakaa na mzee mmoja mwenye mabasi ya kahama to dar haahaa alinipa somo hilo nlishangaa
 
Aisee... Kuna watu wengine hawachezewi
 
🤣 Oral tradition isn't a good way of historical information. Unajua mchezo wa telephone. Mi nikikuambia kitu umwambie mwingine amwambie mwingine tayari story nyingine imekuwa. Vita za dunia umezisoma kwenye vitabu, zipo kwenye museums, zipo kwenye archives, zipo kwenye credible sources Kama Wikipedia AI zote na etc. Niambie hio ndege yako ipo kwenye credible news source gani. Kama ni gazeti, TV, Radio, website au media ambao ni reliable kwa taarifa halisi..itaje ni ipi.
 
Fata watu wa kilimo Bora wakuelimishe acha uvivu na ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…