Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?


Pole mkuu lakini uchawi hakuna ni stori.
Hii kitu imetokea watu wengi ulishawahi sikia kitu kinaitwa entoptic phenomena?
 
Ndio nini hiyo? Elezea

Mkuu hii kitu kwako haifit entoptic phenomena ILA hii ni hallucinations.
Mfano kusikia sauti ya mtu analia au anaongea lakini hakuna mtu huyo.
Au kuona mtu au vitu ambavyo hakuna mtu mwingine anayeviona kama vile kuona mtu amesimama karibu nawe lakini kiuhalisia hakuna huyo mtum

Hallucinations huwa inasababishwa na vtu vingi mojawapo ni magonjwa ya akili
Ila entoptic phenomena huwa inasababishwa na muundo wa ndani wa jicho lako.
 
Nafahamu hallucinations zinavyokuwa, ila naweza kukuthibitishia kwangu haikuwa hallucination.
 
Kilitoweka mbele yangu, hakikuwepo tena
Ndivyo hallucinations ilivyo.

Rafiki yangu alipoteza mama yake mzazi, nilienda kulala kwake kama kumfariji kama week mbili baadae baada ya kifo cha mama yake.


Nakumbuka tupo tuna watch WWE kwenye Tv akasimama gafla anaongea Mama halafu yupo anatabasamu huku anafuata uelekeo wa kutoka nje.

Ikabidi nimshtue anaendelea kuita mama mpaka anafika nje ya geti ndo namshika kwa nguvu ananiambia kapotea alikuwepo hapa na kilio juu.

Yupo mama mitaa ya ukonga mombasa, kapoteza mtoto wake wa kiume, yule jamaa alikuwa anauza genge barabarani huyu mama mpaka sasa anaweza akatoka kwake akasimama upande wa pili wa barabara anaita jina la mwanae ile sehemu ambapo genge lipo na mpaka sasa lipo. Anamwita jina lake halafu anamwambia mwanangu niletee machungwa. Na mtoto alishafariki miezi3 inakaribia.

Hiyo ni mifano michache hakuna uchawi hapo.
Nenda soma serer mythology za senegal na gambia.
 
Sikuwa na majonzi, sikuwa stressed kiivyo, kwanini ni hallucinate? Alaf mtu niliyemuona, sikuwa na mfahamu hapo kabla na sikuwahi kumuona tena
 
Sikuwa na majonzi, sikuwa stressed kiivyo, kwanini ni hallucinate? Alaf mtu niliyemuona, sikuwa na mfahamu hapo kabla na sikuwahi kumuona tena

Hallucinations ni uzoefu usio wa kawaida wa kuona, kusikia, au kuhisi vitu ambavyo havipo kimwili au kwenye mazingira halisi.
Halafu tazama sentensi yako sikuwa "stressed kihivyo"
Mkuu analyse mimi binafsi huwa siamini uchawi wala uwepo wa mungu.
Hata mimi hallucinations nisha experience na siyo lazima uwe stressed unaweza kuwa kuwa ecstatic na BADO hii hali ikakupata.
Na wachache naowafahamu waliopitia HALI hii huwa kuna vitu vinaendelea kwenye maisha yao havipo Sawa.
 
Aisee dunia inamambo mengi eeh...
 
Nilijua lazima ungeshikiria hii sehemu. Nimesema sikuwa stressed kivile, kutokana na kwamba, life letu kwa ujumla ni stress tu. Kwahiyo nilikuwa under normal circumstances (Tz life)
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijua lazima ungeshikiria hii sehemu. Nimesema sikuwa stressed kivile, kutokana na kwamba, life letu kwa ujumla ni stress tu. Kwahiyo nilikuwa under normal circumstances (Tz life)

Hapana mkuu sijatazama hapo tu.

Ungemalizia na huko chini kabisa, unaweza kuwa ecstatic na BADO hali hii ya hallucinations ikakupata.

Mimi binafsi huwa sina shida na imani za watu ILA kwenye swala la kuthibisha ndo huwa kuna matatizo. Naheshimu imani YAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…