Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

This is the effect of superstition Sasa
..wote humu mmeona...sorry kwa kinachotokea na mke wako.. ila it's better wote muongee vizuri muelewane what's wrong kuliko kumsingizia mnyama kuhusu ndoa yako...that doesn't solve the problem
 
🤣Nikisema ninajua kucheza mpira utaniambia Nini? Nikuonyeshe si ndio. Nitakuonyesha utaamini kwamba najua? Nikisema jua lipo, nitakuonyesha utaliona utaamini na tayari unajua jua lipo coz it's really there. Huwezi kusema unajua kitu kipo halafu huwezi kukiprove Kama kipo au hakipo, apo sio kujua ni kudhani au kuamini. Unaposema kitu unakijua unajipa majukumu wewe mwenyewe kudhibitisha kwa watu wengine ambao hawajui... Ukisema unadhani au unahisi, u r in a safe position from criticism
 
🤣🤣🤣🤣Acha matusi shoga ni mtu ambae haamini uchawi au? Shoga pia sio mental illness ni sexuality get ur biology ryt au kadai ada...🤣we Kama huna hoja against me tulia...sio unamtukana mtu bila sababu...,🤣 wajinga wakikosa hoja bana
 
Niliwahi kutumia hii kwangu, kuchoma na kimwaga. Hiyo sehemu ilikuwa kila mara bundi wanasogea na kusumbua, mtu aliyekuwa anaishi pale alikuwa hapati usingizi. Mwezi wa 4 huu, bundi hawajai kusogea tena, jamaa analala vizuri na lepe la usingizi.
🤣
 
Uthibitisho wa vp? Elezea unataka uthibitishiwe vp?
We si unaamini uchawi upo, na sitegemei uchawi uwe na limitations za mipaka au umri au elimu ya watu, nataka uyarushe mauchawi huku niyaone na Mimi...🤣kwani shida ni Nini...
 
🤣🤣🤣🤣Dogo Nikisema sijui namaanisha ni kitu ambacho tayari nimegundua ni uhuni...mambo ya kusoma karata nyota etc si ndo yote yapo humo..it has nothing to do na uchawi..ni kama mazingaombwe tu nayo unajifunza tu...ni mind games yaani Kama tapeli tu
 
Wametumia jina gani?
🤣 Nimekuambiaje tafuta bible yako niambie sehemu wameandika jinns...mi nakuambia ni Imani ya ancient Arabia Tena kabla ya Muhammad kuja na dini yake waarabu waliamini majini. Sasa wewe unalazimisha sio Arab exclusive nionyeshe jinns kwenye Bible mstari gani
 
Skia...hivi vitu vinaeffect katika jamii husika. Umeona now mtu hapatani na mke wake badala ya kusolve the problem through communication anaamua kumlaumu bundi mwishowe waachane na watoto wapate shida etc all because of Mila potofu...ndo maana watu wengi wanajaribu kuelimisha watu coz we unaweza ona aaah si Mimi tu naamini shida yako nini, lakini the effect from jamii kuamini hivi vitu ni kubwa leading to conflicts, diseases, deaths, divorces, poor education and health, poverty na kadhalika
 
Nashangaa sijui lisomi la wapi linashindwa kwenda kujadili Artificial Intelligence za kuwafanya binadamu wasitumie tena ubongo mpaka ulemae, limekazana kupambana na watu wasiomuhusu sijui lintafuta nini bwege hili.
Acha matusi leta hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…