Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Bwana atakuongoza ipo siku utaelewa.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚We Kama umeelewa nijibu babu yake Yesu ni nani, na why Yesu ni mmoja lakini ana generation mbili tofauti? Unijibu watu/malaika wangapi walikuwepo kaburini? Yesu alienda wapi baada ya kuzaliwa, ni misri au Jerusalem? Ukishanijibu haya ndo nitaamini biblia yako ni ya kweli...usije na hoja ya biblia hapa utaaibika Sana..
 
Kwahiyo wewe uelewa wako unaishia kukariri neno "hallucination" tu?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hivi nyie, mbona ni kitu simple..huwezi kuona kitu peke yako useme kipo. Ni sawa na mi niote nimeenda marekani afu niseme nimeenda marekani. Kitu Cha akilini ni Cha akilini tu...ndo maana unaona wewe tu na hata camera haiwezi record coz camera haina ubongo wa kutunga picha..Ina record reality..na uchawi ungekuwa real, Wala tudingebishana, coz ukweli ungewekwa Wazi..ila hamna asa evidence..
 
Hauna unalojua tatizo unapinga bila hoja.
Jibu swali...๐Ÿ˜‚hivi Leo hii mtu mmoja aseme nimeona ng'ombe amepaa, Hana evidence, Hana video, unadhani ataaminika...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚twendeni na reality for once wenzetu washatoka huko..
 
Kwa uelewa wako finyu ndio unafikiri imani ni kuhusu dini na Mungu tu. Nimekuuliza maswali ya msingi hapa ila umeshindwa kuyajibu na kujitetea et wewe sio daktari cha ajabu umeshikilia uthibitishiwe tu.
Ndio...๐Ÿ˜‚Nikisema jua lipo, ukauliza why, nakuonyesha Hilo hapo, ukiwa huoni unaweza lihisi likichoma, etc... There's no way kuprove madude yako coz hayapo...kitu ambacho hakipo, kila mtu anakuja na lake...same as dini..kila mtu anakuja na dini yake coz binadamu tunapenda kutunga story
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚We Kama umeelewa nijibu babu yake Yesu ni nani, na why Yesu ni mmoja lakini ana generation mbili tofauti? Unijibu watu/malaika wangapi walikuwepo kaburini? Yesu alienda wapi baada ya kuzaliwa, ni misri au Jerusalem? Ukishanijibu haya ndo nitaamini biblia yako ni ya kweli...usije na hoja ya biblia hapa utaaibika Sana..
Samahani brother kwa kukuambia hili,uelewa wako wa mambo usipojitahidi kujibadilisha utabaki kua chini sana ,nilitanguliza samahani mwanzoni unaonekana bado mchanga sana kifikra na kidini pia
Hayo maswali yako uliyouliza ni maswali marahisi sana na yanajibika in Biblical view ..unaposema nisijibu kibiblia kwa hyo mm niseme nilikuwepo wakati huo wa Yesu?

Sijawahi kuwaza kwamba kuna siku ntakuja kumuambia mtu maneno ya namna hii,
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Hivi nyie, mbona ni kitu simple..huwezi kuona kitu peke yako useme kipo. Ni sawa na mi niote nimeenda marekani afu niseme nimeenda marekani. Kitu Cha akilini ni Cha akilini tu...ndo maana unaona wewe tu na hata camera haiwezi record coz camera haina ubongo wa kutunga picha..Ina record reality..na uchawi ungekuwa real, Wala tudingebishana, coz ukweli ungewekwa Wazi..ila hamna asa evidence..
Messi na Ronaldo wanaonekana live wanapocheza mpira na wanarikodiwa ila hadi leo watu wanabishana nani mchezaji bora kuzidi mwenzie.

Wewe binafsi Haujawahi kutaka kujiridhisha kujua kuwepo kwa uchawi na ndio maana hoja yako kubwa ni kutaka evidence na sio kuelezea yale uliyoyagundua kuhusu kinachoitwa uchawi.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Jamani...Sasa mtathibitishaje uchawi Kama Hadi kuniroga hamtaki...๐Ÿ˜‚ mshaanza kuwa kama yule dragon impossible kumprove
Nimekuuliza swali la msingi sana.

Hata ukirogwa wewe utajuaje kuwa hapo sasa umerogwa na si vinginevyo? Kwa sababu unao uwezo wa kukataa kuwa si uchawi kama ambavyo unakataa kwa wengine wansposema wamerogwa.
 
Jibu swali...๐Ÿ˜‚hivi Leo hii mtu mmoja aseme nimeona ng'ombe amepaa, Hana evidence, Hana video, unadhani ataaminika...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚twendeni na reality for once wenzetu washatoka huko..
Ni kweli unaweza usiaminike kama hauna evidence ndio maana watu hushindwa kesi mahakamani kwa kukosa evidence japo wanachokieleza ni kweli. Je, wewe binafsi umejiridhisha kiasi gani kuwa hakuna uchawi mbali na kutokuwepo evidence?
 
Ndio...๐Ÿ˜‚Nikisema jua lipo, ukauliza why, nakuonyesha Hilo hapo, ukiwa huoni unaweza lihisi likichoma, etc... There's no way kuprove madude yako coz hayapo...kitu ambacho hakipo, kila mtu anakuja na lake...same as dini..kila mtu anakuja na dini yake coz binadamu tunapenda kutunga story
Tunapozungumzia uchawi tunakusudia athari zake kitu ambacho wewe unakikataa na ndio unakuja na madai ya hallucination na waganga kubahatisha, yote hayo ili kukataa athari za uchawi.
 
Samahani brother kwa kukuambia hili,uelewa wako wa mambo usipojitahidi kujibadilisha utabaki kua chini sana ,nilitanguliza samahani mwanzoni unaonekana bado mchanga sana kifikra na kidini pia
Hayo maswali yako uliyouliza ni maswali marahisi sana na yanajibika in Biblical view ..unaposema nisijibu kibiblia kwa hyo mm niseme nilikuwepo wakati huo wa Yesu?

Sijawahi kuwaza kwamba kuna siku ntakuja kumuambia mtu maneno ya namna hii,
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Sawa, jibu ukishajibu nishtue.
 
Messi na Ronaldo wanaonekana live wanapocheza mpira na wanarikodiwa ila hadi leo watu wanabishana nani mchezaji bora kuzidi mwenzie.

Wewe binafsi Haujawahi kutaka kujiridhisha kujua kuwepo kwa uchawi na ndio maana hoja yako kubwa ni kutaka evidence na sio kuelezea yale uliyoyagundua kuhusu kinachoitwa uchawi.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Umeona akili zako za kitoto. Skia uje na hoja ya maana sa ndo nini...unazingua ujue
 
Nimekuuliza swali la msingi sana.

Hata ukirogwa wewe utajuaje kuwa hapo sasa umerogwa na si vinginevyo? Kwa sababu unao uwezo wa kukataa kuwa si uchawi kama ambavyo unakataa kwa wengine wansposema wamerogwa.
Bac then kama Kuna uwezekano wa Mimi kuelezea tukio na lika make sense kwamba sio kurogwa. It means uchawi haupo..ni kwamba tu we umeshindwa kuelewa tukio Hilo ukaita uchawi kisa uvivu
 
Ni kweli unaweza usiaminike kama hauna evidence ndio maana watu hushindwa kesi mahakamani kwa kukosa evidence japo wanachokieleza ni kweli. Je, wewe binafsi umejiridhisha kiasi gani kuwa hakuna uchawi mbali na kutokuwepo evidence?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Unanipa black n white fallacy..unataka nikujibu Nini..we umejiridhisha vipi kwamba Thor wa ukweli mpiga radi hayupo?
 
Tunapozungumzia uchawi tunakusudia athari zake kitu ambacho wewe unakikataa na ndio unakuja na madai ya hallucination na waganga kubahatisha, yote hayo ili kukataa athari za uchawi.
๐Ÿ˜‚Sio uchawi asa...coz unaelezeka ni Nini...
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Umeona akili zako za kitoto. Skia uje na hoja ya maana sa ndo nini...unazingua ujue
Nimeleta hoja ya waganga kutibu na kutatua shida za watu katika masuala ya kichawi ila umeishia kusema wanabahatisha na ukashindwa kueleza kivipi.

Nikakuuliza kwanini hallucinations ziwatokee sana watu maeneo maalumu kama barabarani wakati wanaendesha magari,baharini hasa wavuvi na baadhi ya maeneo ambayo hujulikana sana kwa kutokea mauzauza? Ila umeishia kutoa majibu na kusema we sio doctor.
Tena kuna hadi visa za nyumba watu kushindwa kuishi kutokana kuwa na mauzauza.

Ila wewe unaishia kuleta mifano yako ya kuona jua.
 
Back
Top Bottom