SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
πππWe Kama umeelewa nijibu babu yake Yesu ni nani, na why Yesu ni mmoja lakini ana generation mbili tofauti? Unijibu watu/malaika wangapi walikuwepo kaburini? Yesu alienda wapi baada ya kuzaliwa, ni misri au Jerusalem? Ukishanijibu haya ndo nitaamini biblia yako ni ya kweli...usije na hoja ya biblia hapa utaaibika Sana..Bwana atakuongoza ipo siku utaelewa.
πππHivi nyie, mbona ni kitu simple..huwezi kuona kitu peke yako useme kipo. Ni sawa na mi niote nimeenda marekani afu niseme nimeenda marekani. Kitu Cha akilini ni Cha akilini tu...ndo maana unaona wewe tu na hata camera haiwezi record coz camera haina ubongo wa kutunga picha..Ina record reality..na uchawi ungekuwa real, Wala tudingebishana, coz ukweli ungewekwa Wazi..ila hamna asa evidence..Kwahiyo wewe uelewa wako unaishia kukariri neno "hallucination" tu?
πππJamani...Sasa mtathibitishaje uchawi Kama Hadi kuniroga hamtaki...π mshaanza kuwa kama yule dragon impossible kumproveUtajuaje sasa kama umerogwa? Unaweza ukaelezea?
Jibu swali...πhivi Leo hii mtu mmoja aseme nimeona ng'ombe amepaa, Hana evidence, Hana video, unadhani ataaminika...ππtwendeni na reality for once wenzetu washatoka huko..Hauna unalojua tatizo unapinga bila hoja.
Ndio...πNikisema jua lipo, ukauliza why, nakuonyesha Hilo hapo, ukiwa huoni unaweza lihisi likichoma, etc... There's no way kuprove madude yako coz hayapo...kitu ambacho hakipo, kila mtu anakuja na lake...same as dini..kila mtu anakuja na dini yake coz binadamu tunapenda kutunga storyKwa uelewa wako finyu ndio unafikiri imani ni kuhusu dini na Mungu tu. Nimekuuliza maswali ya msingi hapa ila umeshindwa kuyajibu na kujitetea et wewe sio daktari cha ajabu umeshikilia uthibitishiwe tu.
Samahani brother kwa kukuambia hili,uelewa wako wa mambo usipojitahidi kujibadilisha utabaki kua chini sana ,nilitanguliza samahani mwanzoni unaonekana bado mchanga sana kifikra na kidini piaπππWe Kama umeelewa nijibu babu yake Yesu ni nani, na why Yesu ni mmoja lakini ana generation mbili tofauti? Unijibu watu/malaika wangapi walikuwepo kaburini? Yesu alienda wapi baada ya kuzaliwa, ni misri au Jerusalem? Ukishanijibu haya ndo nitaamini biblia yako ni ya kweli...usije na hoja ya biblia hapa utaaibika Sana..
Messi na Ronaldo wanaonekana live wanapocheza mpira na wanarikodiwa ila hadi leo watu wanabishana nani mchezaji bora kuzidi mwenzie.πππHivi nyie, mbona ni kitu simple..huwezi kuona kitu peke yako useme kipo. Ni sawa na mi niote nimeenda marekani afu niseme nimeenda marekani. Kitu Cha akilini ni Cha akilini tu...ndo maana unaona wewe tu na hata camera haiwezi record coz camera haina ubongo wa kutunga picha..Ina record reality..na uchawi ungekuwa real, Wala tudingebishana, coz ukweli ungewekwa Wazi..ila hamna asa evidence..
Nimekuuliza swali la msingi sana.πππJamani...Sasa mtathibitishaje uchawi Kama Hadi kuniroga hamtaki...π mshaanza kuwa kama yule dragon impossible kumprove
Ni kweli unaweza usiaminike kama hauna evidence ndio maana watu hushindwa kesi mahakamani kwa kukosa evidence japo wanachokieleza ni kweli. Je, wewe binafsi umejiridhisha kiasi gani kuwa hakuna uchawi mbali na kutokuwepo evidence?Jibu swali...πhivi Leo hii mtu mmoja aseme nimeona ng'ombe amepaa, Hana evidence, Hana video, unadhani ataaminika...ππtwendeni na reality for once wenzetu washatoka huko..
Tunapozungumzia uchawi tunakusudia athari zake kitu ambacho wewe unakikataa na ndio unakuja na madai ya hallucination na waganga kubahatisha, yote hayo ili kukataa athari za uchawi.Ndio...πNikisema jua lipo, ukauliza why, nakuonyesha Hilo hapo, ukiwa huoni unaweza lihisi likichoma, etc... There's no way kuprove madude yako coz hayapo...kitu ambacho hakipo, kila mtu anakuja na lake...same as dini..kila mtu anakuja na dini yake coz binadamu tunapenda kutunga story
πππππSawa, jibu ukishajibu nishtue.Samahani brother kwa kukuambia hili,uelewa wako wa mambo usipojitahidi kujibadilisha utabaki kua chini sana ,nilitanguliza samahani mwanzoni unaonekana bado mchanga sana kifikra na kidini pia
Hayo maswali yako uliyouliza ni maswali marahisi sana na yanajibika in Biblical view ..unaposema nisijibu kibiblia kwa hyo mm niseme nilikuwepo wakati huo wa Yesu?
Sijawahi kuwaza kwamba kuna siku ntakuja kumuambia mtu maneno ya namna hii,
ππππ Umeona akili zako za kitoto. Skia uje na hoja ya maana sa ndo nini...unazingua ujueMessi na Ronaldo wanaonekana live wanapocheza mpira na wanarikodiwa ila hadi leo watu wanabishana nani mchezaji bora kuzidi mwenzie.
Wewe binafsi Haujawahi kutaka kujiridhisha kujua kuwepo kwa uchawi na ndio maana hoja yako kubwa ni kutaka evidence na sio kuelezea yale uliyoyagundua kuhusu kinachoitwa uchawi.
Huna akili mkuuNani kasema Mungu na uchawi ni kitu sawa. Mi siamini Mungu...Ila kuamini Kuna muumba haikupi ruhsa kuamini Kuna uchawi ..ni ujinga tu...ukipata correlation yake niambie
Bac then kama Kuna uwezekano wa Mimi kuelezea tukio na lika make sense kwamba sio kurogwa. It means uchawi haupo..ni kwamba tu we umeshindwa kuelewa tukio Hilo ukaita uchawi kisa uvivuNimekuuliza swali la msingi sana.
Hata ukirogwa wewe utajuaje kuwa hapo sasa umerogwa na si vinginevyo? Kwa sababu unao uwezo wa kukataa kuwa si uchawi kama ambavyo unakataa kwa wengine wansposema wamerogwa.
πππUnanipa black n white fallacy..unataka nikujibu Nini..we umejiridhisha vipi kwamba Thor wa ukweli mpiga radi hayupo?Ni kweli unaweza usiaminike kama hauna evidence ndio maana watu hushindwa kesi mahakamani kwa kukosa evidence japo wanachokieleza ni kweli. Je, wewe binafsi umejiridhisha kiasi gani kuwa hakuna uchawi mbali na kutokuwepo evidence?
πSio uchawi asa...coz unaelezeka ni Nini...Tunapozungumzia uchawi tunakusudia athari zake kitu ambacho wewe unakikataa na ndio unakuja na madai ya hallucination na waganga kubahatisha, yote hayo ili kukataa athari za uchawi.
πππMungu kuwepo inahusiana Nini na uchawi jibu hoja sio keleleHuna akili mkuu
Kwani ukiwa kanisani huwa mnakemea NGUVU za Giza au hamkemei?[emoji23][emoji23][emoji23]Mungu kuwepo inahusiana Nini na uchawi jibu hoja sio kelele
Nimeleta hoja ya waganga kutibu na kutatua shida za watu katika masuala ya kichawi ila umeishia kusema wanabahatisha na ukashindwa kueleza kivipi.ππππ Umeona akili zako za kitoto. Skia uje na hoja ya maana sa ndo nini...unazingua ujue