Uchawi upo ndugu zangu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.
Mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.
Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
Shemeji yangu mm alipatwa na uchiz ghafla, siku iliyompata hali hiyo ya uchiz alitoka kwa ostadhi mmoja kufanya dawa apandishwe cheo kazin kwao.
Shart alopewa na yule ostadhi dawa atakapoitumia asitoke nje au mwanga wa jua asikutane nao kiufupi dawa Ile aitmie usiku na sio mchana.
Kwa haraka zake za tamaa Shem Wang kaona kuchelewa, akaitmia dawa sa7 mchan
Dk chache akaanza kuvua nguo mara anaongea vitu visivyoelewe, ikawa mshike mshike akienda chooni anachora chin
Mim ndio nikawa nnakazi ya kumzuia asifanye vile nilipata sana tabu.
Badae akil zikatujia kwamb jamaa alienda kwa mgaga kwaiyo tufanyeni mawasiliano ya kile kimetokea huyu.
Sim Ina password, ikabidi ni reset apigiwe yule shekh na namna alivyosev anajua yy
Ilichukua muda sana kupata au kujua namba za huyo mtaalam, issue Ile imetokea Toka mchana mpaka sa 2 usiku bado ni bilabila, msaada tukaupata kwa mtu ambae alimconect kua kuna mganga konk anajua
Kupata mawasiliano ya mtaalam, tukamuelezea hali ilivyo kwa mteja wake.
Mtaalam akasema nilimwambia kijana lakin akanipingia kile ambacho nimemshauri kua "anaweza kua na kifua kwa kile atakachokiona!?
Kumbe Shem alitaka mbaya wake yeyote pale kazin amuone ndio shida hapo imeanzia kizazaa
Mtaalam Sasa akasema namie kama mnataka jamaa yenu apone hivi tunavyozungumza hiv Sasa nitumiwe elf90
Watu tukajichanga haraka sana, mtaalam akatumiwa saa6 usiku akaja jamaa kumfanyia dawa
Shemeji yangu baada ya pale akapatwa na usingizi
Mzito kuamka asubuh mzima
Na kazi akaacha hapo hapo now ni dereva bajaji yupo pale zakiem
Hiyo ni 2020