Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
AMINAMimi sijawahi kushuhudia uchawi zaidi ya kukuta vitu vimevunjwa barabarani Kama Nazi n.k
Lakini nimeshuhudia nguvu za Mungu katika maisha yangu, so Kama Mungu yupo basi uchawi utakuepo japo siwezi kushuhudia wala kuuona kwa sababu Mungu ndio Mkuu wa mamlaka atawalaye.
Wewe unapenda stori stori sana na haujawah kuexperience chochote kuhusu uchawi, minauliza kama upo kwann usiwe waziwazi kama jua kama maji kama upepo ivi ushawahi kuona mtu anapinga uwepo wa baridi au uwepo wa joto? Hayo mambo yenu niyakijinga na ndio maana hakunaga anaeweza kuwaonesha watu live , badala yake niliambiwa , mara nasikia,mara nimeota mara ilimtokea flaniNo siyo maana hiyo. Ningemuelekeza sehemu fulani akaulize tukio fulani.
Huyu sio mwelewa mara anataka wanaoishi dar, okay wanaooishi dara wote wanaamini uchawi kwasababu ya hilo tukio lilotokeaga ambalo yeye anadai ilikuwa uchawi?[emoji23] kashakuambia anataka verifiable evidence sio umbeya
Waloge mpaka waamini dadeq zao hawa, waoteshe hata mavuzi ya meno .Nachukia sana kiumbe dhaifu ambacho kinasema hakuna uchawi
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Muumini wa mwamposa amepaniki balaaa[emoji23]Mi nachukia wajinga wanaosema uchawi upo
😂Watakuambia uende Kijiji fulani...au bado hujakuaWewe unapenda stori stori sana na haujawah kuexperience chochote kuhusu uchawi, minauliza kama upo kwann usiwe waziwazi kama jua kama maji kama upepo ivi ushawahi kuona mtu anapinga uwepo wa baridi au uwepo wa joto? Hayo mambo yenu niyakijinga na ndio maana hakunaga anaeweza kuwaonesha watu live , badala yake niliambiwa , mara nasikia,mara nimeota mara ilimtokea flani
😂Huyu sio mwelewa mara anataka wanaoishi dar, okay wanaooishi dara wote wanaamini uchawi kwasababu ya hilo tukio lilotokeaga ambalo yeye anadai ilikuwa uchawi?
😂Msamehe tuMuumini wa mwamposa amepaniki balaaa
Mtunzi anaitwa nani?Tafuta kitabu kinaitwa "The Secret"
Hakihusiani na dini yoyote ile, Ila kisome tu
Siku ukija kumaliza nishtue tujadili mawili matatu.
Biblia inaamini uchawi upo wew unaringa wew nani [emoji16][emoji16] pengine ushalogwa hapo
TV yetu kwetu ilikua haifanyikazi, tukiipeleka kwa jirani inafanya kazi, ikabidi twende kwa Babu mmoja hiv akatupa hiriz akatuambia tuifunge chin ya meza ilipo TV. Mpaka kesho tiv ipoUchawi upo ndugu zangu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.
Mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.
Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
Shemeji yangu mm alipatwa na uchiz ghafla, siku iliyompata hali hiyo ya uchiz alitoka kwa ostadhi mmoja kufanya dawa apandishwe cheo kazin kwao.Uchawi upo ndugu zangu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.
Mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.
Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
Afrika uchawi hawasimuliwi kama story za kusadikika bali ni kitu ambacho tunaishi nacho kwenye maisha ya kila siku, watu wanarogwa na kutibiwa ni vitu ambavyo tunaviona kwenye uhalisia. Hivyo athari za uwepo wa uchawi zipo kwenye uhalisia wa maisha yetu, binafsi nilipokuwa mdogo nimeshuhudia(sio kuhadithiwa) tukio zima la kugundulika mchawi katika mmoja wa ndugu ambaye alikiri kuuwa baadhi ya ndugu zake pamoja na wanawe kwa malengo ya kupata ukuu kwenye mambo yao ya kichawi, nilifuatilia tukio zima hadi mwisho wake. Sasa hao wenzetu huko hawajihusishi sana na uchawi hivyo ni kawaida kutoona athari za uchawi kama sehemu zengine mfano Afrika, aliens kwao ni story tu ni tofauti na issue ya uchawi huku afrika.😂We ni mjinga Sana ujue...so kitu ambacho wenzako Wanaona ni kipo we unasema wanaamini kisa story ila uchawi Africa ni real na sio story...😂😂😂Sawa special pleader ishia hapa
We unajua wenzako hawatokewi na aliens...afu unaishi Nini wewe kwani una dunia yako...we upo mdogo hujielewi unaskia ndugu yako mchawi cjui ndugu kafa unarukia...siwezi bishana utoto kama huu MimiAfrika uchawi hawasimuliwi kama story za kusadikika bali ni kitu ambacho tunaishi nacho kwenye maisha ya kila siku, watu wanarogwa na kutibiwa ni vitu ambavyo tunaviona kwenye uhalisia. Hivyo athari za uwepo wa uchawi zipo kwenye uhalisia wa maisha yetu, binafsi nilipokuwa mdogo nimeshuhudia(sio kuhadithiwa) tukio zima la kugundulika mchawi katika mmoja wa ndugu ambaye alikiri kuuwa baadhi ya ndugu zake pamoja na wanawe kwa malengo ya kupata ukuu kwenye mambo yao ya kichawi, nilifuatilia tukio zima hadi mwisho wake. Sasa hao wenzetu huko hawajihusishi sana na uchawi hivyo ni kawaida kutoona athari za uchawi kama sehemu zengine mfano Afrika, aliens kwao ni story tu ni tofauti na issue ya uchawi huku afrika.
Hao wazungu wakiona kitu hawakielewi hasa usiku wao husema ni alien kwa wenye kuamini story za aliens, zaidi ya hapo ni story tu ndio maana nikakwambia ni kitu tofauti na uchawi kwa maana uchawi sio kitu ambacho watu wanasoma tu story zake bali wana deal nao hasa huku afrika.We unajua wenzako hawatokewi na aliens...afu unaishi Nini wewe kwani una dunia yako...we upo mdogo hujielewi unaskia ndugu yako mchawi cjui ndugu kafa unarukia...siwezi bishana utoto kama huu Mimi
😅So uchawi umekuchagua wewe ila wengine tumefichwa au sio...hatuna macho ya "kiroho" 😂haya banaHao wazungu wakiona kitu hawakielewi hasa usiku wao husema ni alien kwa wenye kuamini story za aliens, zaidi ya hapo ni story tu ndio maana nikakwambia ni kitu tofauti na uchawi kwa maana uchawi sio kitu ambacho watu wanasoma tu story zake bali wana deal nao hasa huku afrika.
Ningekuwa sijielewi nisingeelewa tukio zima kinachoendelea ni nini, ni tukio ambalo hadi leo tukilikumbuka kama ndugu huwa tunalitafakari.
Watu kibao humu wameeleza visa vya kichawi walivyoshuhudia kwenye uhalisia wa maisha yao sasa utasemaje uchawi umenichagua mimi tu?😅So uchawi umekuchagua wewe ila wengine tumefichwa au sio...hatuna macho ya "kiroho" 😂haya bana