Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Duh huko ma barabarn Kuna mengi
 
Chief Godlove
 
Sasa ni nani ambaye unamwambia hajui sayansi? Kwa sababu kama sayansi ingekuwa ndio kama unavyoeleza kwamba et unajaribu mitishamba mara kadhaa na ukaona umepona teyari ni sayansi, basi kipindi cha corona zingeidhinishwa dawa nyingi sana za corna na hata chanjo za corona zingekuwa nyingi tu. Lakini hali haikuwa hivyo,wewe unakuja kusema kwa sababu hawajui sayansi kwamba wewe ndio unajua sana sayansi.

Kwanza unatakiwa uelewa kwamba hiyo mitishamba inatumika kutibu maradhi ya kibailojia kwa maradhi ambayo unaweza kutibiwa hospitali na hiyo hiyo mitishamba unaweza kutumia katika maradhi yenye kusababishwa na uchawi, na mitishamba ni sehemu tu katika tiba za zenye kuhusu uchawi kwa maana zipo njia zengine kutibu matatizo ya kichawi pasina kutumia mitishamba. Mfano nchi kama za kiarabu huko tiba zao katika masuala ya kichawi hawatumii sana miti na bado wanatibiana na kupona, hali iko hivyo mkuu.

Kwahiyo magonjwa ya hospitali yapo na watu wanaenda, na yapo magonjwa yenye kusababishwa na uchawi na watu hutibiwa tena wengine baada ya kushindikana huko hospitali.
 
Sasa tuaminishe

Imani huja kwa kusikia. Wewe hujaamini kwa kusikia basi subiri utaona wakati wako ukifika. Hapa hata ukipewa shuhuda 1000 hutoamini kwasababu imani yako ipo kwenye kuona zaidi. Na siku ukipigwa upofu, basi hata technology itakayotokea baada ya hapo hutoamini hata ukiambiwa kwasababu tu kuona huwezi[emoji28]
 
tuanzie hapa ulijuaje hawakuona mtu
 
Ukweli Ni kwamba uchawi upo Kuna kijana mmoja alikuwa na maendeleo mazuri na familia yake huko Dar ingawa yeye hakuwa mkazi wa hiyo kijana alikuwa yatima wakati akiwa mdogo alilelewa na mbibi furani wa kufikia huyo mbibi alimulea kijana Kama mtoto wake wa kiume maana yeye hakuzaa mtoto wa kiume, aliishi kwa tabu Sana mwisho wa siku akatoboa akajenga huko Dar na mkewe, siku moja aliamua kwenda kijijini kujengea makaburi ya wazazi wake, alisafiri salama Hadi akafika wakpanga siku mbili ili wajengee makaburi Cha kushangaza siku wanajengea hayo makaburi akaanza kuumwa tumbo haikupita siku nae akakata mota wakazika.
 
Huyo dogo ni empty sana up stairs anakupotezea muda tu.
 
Ulikua hujanywa alcohol mkuu??
 
Kila sehemu unakazia akili timamu na maisha mazuri so hao waliokoment hapo izo sifa hawana
 
Kuna Profesa mmoja wa Chuo Kikuu Fulani hapa Tanzania alikuja Wilaya fulani niliyokuwa nafanyia kazi kuja kugombea Ubunge.

Wilaya ile ilikuwa inaongozwa na Mbunge fulani ambaye alikuwa ameshahudumu Kwa nafasi yake miaka 10, kwahiyo wakati Profesa anakuja kugombea jamaa alikuwa anataka kugombea Msimu wake wa 3.

Baada ya kuchukua fomu za kuwania, Chamani, Profesa akaanza kutafuta kuungwa Mkono na Wajumbe kwanza.

Kwahiyo alikuwa na waratibu wake kwaajili ya kumkutanisha na Wajumbe.

Kikao kikafanyika, kwenye Ukumbi wa Shule moja ya Sekondari. Wajumbe baada ya kutafutiwa 10k za Posho, wakajaa kama wote kumsikiliza Profesa Mtia Nia.

Ajabu baada ya Profesa kuingia Ukumbini ili aanze kuongea na Wajumbe, ghafla akaanza kuwaona Wajumbe wamegeuka kuwa Nyani.

Yaani Kila akijaribu kujikaza kuongea nao, anaona Nyani wanamcheka/wanampigia makofi ...

Profesa akatoka mbio, kuingia Kwenye gari na safari ya kurudi DSM Kazini kwake ikaanza.

Ndiyo ikawa mwanzo na mwisho wa Profesa kujihusisha na Siasa.

Ushahidi, NIAMINI BRO πŸ€—
 
πŸ€”
 
Wanasiasa wengi ni washirikina. Miongoni mwa nyakati ambazo waganga wa kienyeji hufanya sana biashara ni wakati wa uchaguzi.
 
Wanasiasa wengi ni washirikina. Miongoni mwa nyakati ambazo waganga wa kienyeji hufanya sana biashara ni wakati wa uchaguzi.
Kweli Mkuu

Mwakani hapo Waganga wajiandae kupiga hela za Waheshimiwa, maana bila ushirikina plus Maokoto hutoboi Ubunge πŸ™Œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…