Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Nani huyo alitaka kunitolea mchumba kafara😔
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmk
 
🤣🤣🤣Dunia hii
 
Ufukara mkubwa kwenye maeneo yote CCM walipoweka "ngome!

"Utajiri"mkubwa maeneo ya wapinzani!
 
Wanangu nisiwe muongo me nilikuwa miongoni mwa matomaso mpaka leo hii muda huu...
Leo yamenikuta muda uuu ninao type naogopa ata kulala.
Iko ivi...

Nimelala vizuri usiku huu mida kama saa nane nikashtuka chumba changu nimetoka kumuota mtu flan ndugu wa nyumban ambae hatuna mazoea yeyote na mimi basi nikashtuka nikachukua simu yangu nikaingia wasap nikaangalia baadhi ya message nikaiweka pembeni ghafla nkaanza kuskia mwili mzima unasisimka alf ukafa ganzi mind you am still up taa zinawaka na macho nimefumbua...nisiwe muongo nikaanza kusoma quran mapema nikamuona mtu kaingia na kaniki japo sura siioni anataka kunigusa lakn ninavyozidi kusoma quran naona anashindwa kufikisha mkono badae akatoeka
Mnisamee naandika kwa mawenge maana ni jambo limetokea ata lisaa halijapita
 
Vichaa wote waliuziwa viwanja na babu zao ?

In short kuna kitu kinaitwa mind over matter (mfano wewe leo ukimpiga baba yako, kila utakachofanya kikienda kombo utasema laana ya baba, mwisho wa siku utakosa confidence na utakuwa unajiuliza mara mbili kabla ya kufanya lolote) ukiendelea hivyo na overthinking lazima utapata stress na kupelekea kuwa kichaa...

Binafsi napenda watu wanaohoji kila kitu kama hujui kitu unasema sijui na sio kuja na jibu la haraka haraka la uchawi...
 

Nigaa aya mambo hayaelezeki
 
Nigaa aya mambo hayaelezeki
Sasa jibu ni kwamba hatuyaelewi na sio uchawi..., sasa kama huyaelewi unajuaje kama ni uchawi au Uchawi ni nini labda tuanzie hapo ?

Kwangu mimi Uchawi ni hawa watumishi wetu walamba asali ambao wanakula Kodi zetu hakuna wanachofanya na bado wanaweka rehani mali za kizazi kijacho (kama ndivyo basi uchawi upo) ila kama ni super natural powers huenda tunadhani ni super sababu hatuelewi... au tuna miss define au tunapigwa changa la macho au ni coincidence...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…