Aizn
JF-Expert Member
- Dec 14, 2022
- 2,172
- 4,196
Hili ni fundisho kwenu kwamba mtu akikueleza matatizo yake uache kujifanya MWANASAYANSI, na badala yake umsikilize kwa MAKINI na umpe msaasa STAHIKI.
Yeah Chief
Ila vitu vingine sio vya kujifanya unataka uvitatue yaani kujifanya tatzo kama lako kabsa, unatakiwa ujitahidi tu unapoweza na uachane nalo
Africa huku tunaumizana bila sababu ukijifanya kimbele mbele sanaa watu wanakutupia wewe hayo mauchawi uangaike na kimbele mbele chako
Hatari aisee