Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Inaonyesha ndio mara ya kwanza hata kusikia kuhusu chuma ulete, hujui hata naongelea nini, ndio maana nasema mnapinga kitu ambacho hata hamkielewi.
🤣🤣🤣🤣Basi hao si wangeenda mabank kuu BOT CRDB NMB kuiba. Why wanaiba mtaani hela ndogo ndogo. Au hawana mengi...🤣vitu vingine mnaibiwa kiakili tu hamtaki kukubali mmezidiwa akili mnasingizia chuma ulete. Mi nishawahi tapeliwa ila sikusingizia chuma ulete nikafuatilia mpaka nikajua tactic Yao sijawahi tapeliwa hivyo Tena na nawashaurigi watu wakwepe vitu vya hivyo. Elimu inaokoa...uchawi inadumaza coz hautibu ugonjwa Ila inakupa kisingizio Cha kuendelea kuumwa wakati dawa ni elimu. Dawa ya matatizo
 
Nimekuuliza unajua tiba ya kutumia maji tu ya kunywa? Badala ya kujibu unaanza kusema mara mwili unajitibu wenyewe mara hakuna uchawi, mbona unakuwa kama umewehuka?

Umewahi kusikia tiba kwa kutibu maradhi mbalimbali kwa kutumia maji tu ya kunywa?
Sijawahi skia...mi sio doctor na siumwi so sijawahi skia. Ila nilikuwa nakuelimisha before u speak anything abt uchawi kuhusu hio mada yako.
 
Mie sijakimbilia uchawi.

Tushajua yapi ukifanya unafanikiwa ndio nataka kujua kwa wasiofanikiwa, taja hizo factors
Siwezi jua yote. Ndo maana science works. Kila siku tunatengeneza magari Bora zaidi, Simu Bora zaidi, barabara nzuri zaidi why? Coz hatujui kila kitu na tunataka tujue na tuboreshe maisha. Kusema ni uchawi kisa hujafanikiwa hautakupa factors. Factors ni kuzitafuta, tunatofautiana pia haziwezi kuwa sawa. Mazingira pia yanatofautiana. Mbona haya mambo simple tu
 
Si kafanya kitu lakini... ujambazi na rushwa is something ni action. Hata angecheza biko it's still something. Afu we nishaona una shift the goalpost na kumuonea mwenzako. Ye kasema hamna uchawi. Sawa bas sio lazima mtu afinikiwe kihalali lakini hamna uchawi, bado yupo sahihi kwenye main premise yake..we unaignore unakimbilia kumponda kwenye mada yake ndogo
Hapana, mimi nilimwambia kuwa mtu anaweza kupata mafanikio kwenye kazi yake kwa msaada wa uchawi ila yeye akasema mtu akishafanya kazi tu basi huwezi kuhusisha mafanikio yake na uchawi kwa maana hiyo kazi yake tu(wengi wanafanya kazi) ndio iliyomletea mafanikio na si vinginevyo.

Kwahiyo kama atakubali kwamba kweli mtu anafanya kazi ila siri ya mafanikio yake ni kukwepa kodi kulipa kodi basi ndio sawa na uchawi kuwa ndio siri ya mafanikio. Tatizo yeye anataka nimtajie mtu aliyfanikiwa kwa uchawi pasina kufanya kazi.

Kuna watu wanafanya kazi tena kwa bidii ila bado wanajihusisha na uchawi.
 
🤣 Oral tradition isn't a good way of historical information. Unajua mchezo wa telephone. Mi nikikuambia kitu umwambie mwingine amwambie mwingine tayari story nyingine imekuwa. Vita za dunia umezisoma kwenye vitabu, zipo kwenye museums, zipo kwenye archives, zipo kwenye credible sources Kama Wikipedia AI zote na etc. Niambie hio ndege yako ipo kwenye credible news source gani. Kama ni gazeti, TV, Radio, website au media ambao ni reliable kwa taarifa halisi..itaje ni ipi.
Mwanzo nilikuambia Kuwa kwenye Hii Dunia huna unachojua ndo maana unapinga sana pasipokua na reason na inaonyesha kwa namna gani hufuaatili, Kuna baadhi ya Mambo hata Wana sayansi unao wamina wameshindwa kabisa kuyatatua wanabaki kunyamaza lakin ukweli Kuwa Haya Mambo yapo,, na kama wew na mtu ambaye huamini uchawi pengine nilitegemea uwe na sababu za kutosha kuthibitisha, na Kwa kulifanyia utafiti nenda hata huko vijijini ujionee mamb yanavyo endeshwa siyo kukurupuka hapa
Chukua link hii kaisomr hiyo ndege iliyopotea mpaka Leo Wana sayansi wanalifanyia utafiti bado hawajapata majibu The Mysterious Disappearance of Pan Am Flight 914 | Defensebridge
 
Mkuu umeeleza kwamba mafanikio yanahitaji consitency commitment na discipline kwa maana yeyote yule aliyefanikiwa ana hizo sifa, sasa wapo watu ambao hawafanikiwi hili lipo sio la kufikurika haliitaji niwataje watu, sasa ndio nauliza je hao wasiofanikiwa ni kwa sababu hawana hizo sifa? Swali simple tu mkuu.
ttt
Umeshasema kitendo cha mtu kufanya kazi basi mafanikio yake hayahusu uchawi umeshafunga hivyo sasa mimi hapo unataka nitoe mfano gani tena?
Kwahiyo hata wewe unayesema hakuna uchawi yawezakuwa uchawi upo kweli?

Ok wewe umeweza kuthibitisha mafanikio ya mtu kwa sababu ya kufanya kazi tu? Hebu tuweke uchawi pembeni, kuna watu tunawaona wanafanya kazi na wana maendeleo ila unawezakukuta nyuma ya pazia kuna ujambazi au rushwa na ukwepaji kulipa kodi. Je nikisema huyu mtu mafanikio yake ni huko kukwepa kulipa kodi nitakuwa nakosea?

Naona tunaenda sambamba sasa huenda mtu huyo analipa kulipa kodi au jambazi hivyo anajilimbikizia mali hiyo ni sababu kabisa. Lakini mpaka sasa hujathibitisha kama mtu anafanikiwa kwa uchawi.
Na hatuwezi jua kama ni majambazi au hawalipi kodi mpaka tupate uthibitisho. Lakini tunasema ni wakwepaji kodi hivyo wanajilimbikia mali.

Nipe uhusiano wa mtu kufanikiwa kwa uchawi yaani sijui kwanini utaki kunipa hii connection ninaweza kukuelezea sababu ya nikiumwa kichwa kunywa panadol nikapona, naweza kukwambia mtu anafanya biashara na kupata pesa sababu ipo product yenye demand na watu wanahitaji

Kwanini utaki kunipa connection ya uchawi na kufanikiwa?
 
Hapana, mimi nilimwambia kuwa mtu anaweza kupata mafanikio kwenye kazi yake kwa msaada wa uchawi ila yeye akasema mtu akishafanya kazi tu basi huwezi kuhusisha mafanikio yake na uchawi kwa maana hiyo kazi yake tu(wengi wanafanya kazi) ndio iliyomletea mafanikio na si vinginevyo.

Kwahiyo kama atakubali kwamba kweli mtu anafanya kazi ila siri ya mafanikio yake ni kukwepa kodi kulipa kodi basi ndio sawa na uchawi kuwa ndio siri ya mafanikio. Tatizo yeye anataka nimtajie mtu aliyfanikiwa kwa uchawi pasina kufanya kazi.

Kuna watu wanafanya kazi tena kwa bidii ila bado wanajihusisha na uchawi.


Tayari contradiction rejea hiyo maana ya uchawi halafu tupe connection inahusiana vipi na kukwepa kulipa kodi.

Bado unatapatapa hueleweki
 
Siwezi jua yote. Ndo maana science works. Kila siku tunatengeneza magari Bora zaidi, Simu Bora zaidi, barabara nzuri zaidi why? Coz hatujui kila kitu na tunataka tujue na tuboreshe maisha. Kusema ni uchawi kisa hujafanikiwa hautakupa factors. Factors ni kuzitafuta, tunatofautiana pia haziwezi kuwa sawa. Mazingira pia yanatofautiana. Mbona haya mambo simple tu
Kwanza toka mwanzo hoja yangu ni kwamba kwenye kufanikiwa wakati mwengine ni zaidi ya kufuata kanuni na kufanya kazi kwa juhudi, huo ndio msimamo wangu. Na wala sijasema kwamba kufanikiwa na kutofanikiwa basi lazima uchawi tu ndio unahusika.
 
Kwahiyo hata wewe unayesema hakuna uchawi yawezakuwa uchawi upo kweli?

Ok wewe umeweza kuthibitisha mafanikio ya mtu kwa sababu ya kufanya kazi tu? Hebu tuweke uchawi pembeni, kuna watu tunawaona wanafanya kazi na wana maendeleo ila unawezakukuta nyuma ya pazia kuna ujambazi au rushwa na ukwepaji kulipa kodi. Je nikisema huyu mtu mafanikio yake ni huko kukwepa kulipa kodi nitakuwa nakosea?

Everyone is innocent until proven guilty
Mpaka sasa hujanipa connection ya mtu kupata pesa au kufanikiwa kwa uchawi hivyo naendelea kuwa innocent mpaka utakapokuja kuni prove wrong mpaka sasa hujajibu na kunipa hiyo connection.
 
Kwanza toka mwanzo hoja yangu ni kwamba kwenye kufanikiwa wakati mwengine ni zaidi ya kufuata kanuni na kufanya kazi kwa juhudi, huo ndio msimamo wangu. Na wala sijasema kwamba kufanikiwa na kutofanikiwa basi lazima uchawi tu ndio unahusika.

Unaelewa maana ya commitment kama mtu anakwenda kuvamia nyumba ya mfanyabiashara wa madini anaua anachukua pesa bado tunaweza kumuelezea.

Kama mtu anaibia serikali au anakwepa kodi au anakula rushwa bado tunaweza kumuelezea.
Nipe uhusiano wa mtu aliyefanikiwa kwa uchawi mbona ni swali jepesi embu tupe connection kama ulivyokuwa unaandika essay unatoa point halafu hiyo point unaijengea positive link up mbona ni jambo jepesi mzee.
 
🤣🤣🤣🤣Basi hao si wangeenda mabank kuu BOT CRDB NMB kuiba. Why wanaiba mtaani hela ndogo ndogo. Au hawana mengi...🤣vitu vingine mnaibiwa kiakili tu hamtaki kukubali mmezidiwa akili mnasingizia chuma ulete. Mi nishawahi tapeliwa ila sikusingizia chuma ulete nikafuatilia mpaka nikajua tactic Yao sijawahi tapeliwa hivyo Tena na nawashaurigi watu wakwepe vitu vya hivyo. Elimu inaokoa...uchawi inadumaza coz hautibu ugonjwa Ila inakupa kisingizio Cha kuendelea kuumwa wakati dawa ni elimu. Dawa ya matatizo
Mkuu mbona matukio ya kutapeliwa na kuibiwa pia yapo, wewe umetaka yenye kuhusu uchawi ndio nimekutajia hilo la chuma ulete. Hata wanaoiba simu huku mtaani wanachomwa moto ila wanasiasa wanaoiba mabilioni hawaguswi.
 
Unaelewa maana ya commitment kama mtu anakwenda kuvamia nyumba ya mfanyabiashara wa madini anaua anachukua pesa bado tunaweza kumuelezea.

Kama mtu anaibia serikali au anakwepa kodi au anakula rushwa bado tunaweza kumuelezea.
Nipe uhusiano wa mtu aliyefanikiwa kwa uchawi mbona ni swali jepesi embu tupe connection kama ulivyokuwa unaandika essay unatoa point halafu hiyo point unaijengea positive link up mbona ni jambo jepesi mzee.
Kwahiyo kukwepa kulipa kodi na kutoa rushwa ni katika kanuni za kufanikiwa katika kazi? Ukuzingatia hakuna anayejitangaza kuwa amefanikiwa kwa kutolipa kodi na kutoa rushwa.
 
Kwahiyo kukwepa kulipa kodi na kutoa rushwa ni katika kanuni za kufanikiwa katika kazi? Ukuzingatia hakuna anayejitangaza kuwa amefanikiwa kwa kutolipa kodi na kutoa rushwa.

Wewe umeleta madai hayo nikasema BADO tunaweza kuelezea kwanini anapata pesa.

swali langu jepesi nipe connection ya uchawi na kupata pesa kama mfano mtu alipi kodi anakula rushwa hivyo anajilimbikizia mali nyingi.

Naomba unipe connection ya uchawi na kufanikiwa KWA mtu?
Mpaka sasa ushaona umeshindwa ILA utaki kubali.
Failures ni part ya kujifunza
 
Hapana, mimi nilimwambia kuwa mtu anaweza kupata mafanikio kwenye kazi yake kwa msaada wa uchawi ila yeye akasema mtu akishafanya kazi tu basi huwezi kuhusisha mafanikio yake na uchawi kwa maana hiyo kazi yake tu(wengi wanafanya kazi) ndio iliyomletea mafanikio na si vinginevyo.

Kwahiyo kama atakubali kwamba kweli mtu anafanya kazi ila siri ya mafanikio yake ni kukwepa kodi kulipa kodi basi ndio sawa na uchawi kuwa ndio siri ya mafanikio. Tatizo yeye anataka nimtajie mtu aliyfanikiwa kwa uchawi pasina kufanya kazi.

Kuna watu wanafanya kazi tena kwa bidii ila bado wanajihusisha na uchawi.
Okay bac we unajuaje mtu katumia uchawi...tufanye hivyo. Ili iwe verifiable. Sema kitu fulani kikitokea hivi na hivi ni uchawi ndo umemfanikisha..😊 nakusikiliza
 
Back
Top Bottom