SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Haha jamani...😀mi si naongea ukweli ilaTutaje watu wabishi/wapinga uchawi kwenye uzi huu, mie naanza na____@SimbaMpole123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha jamani...😀mi si naongea ukweli ilaTutaje watu wabishi/wapinga uchawi kwenye uzi huu, mie naanza na____@SimbaMpole123
We unagugo Tatizo. Mm siwez kutumia miaka 3 kusoma kitu kitaaluma Leo nije kubishana na mtu anaegugo hapohapo na kuweka hoja hazina kichwa Wala miguu
😂 Alisoma tu udsm na uchawi akaona kashapata supporters..kumbe hajui kusomaHalafu ni mbishi yaani anabishana na maprofesa huyo dr richard sambaiga ni department wa sociology and anthropology anapinga hizo nadharia.
sasa sijajua ni hawezi kusoma kingereza au vipi lakini bado anapinga.
😂😂😂 Umesomea upishi auWe unagugo Tatizo. Mm siwez kutumia miaka 3 kusoma kitu kitaaluma Leo nije kubishana na mtu anaegugo hapohapo na kuweka hoja hazina kichwa Wala miguu
Mwambiele KitunyaUkiambiwa thibitisha lecture alianguka unaruka futi 100.
Hilo unaloliongea ni uongo nimekutumia video nimekutumia interview wakiwa quoted walichokisema toka daily news na hao ni maprofesa wa UDSM lakini bado unabishana nao ndio mana nasema wewe ni scammer na si kwa ubaya ni njia pia ya kujitafutia mkate.
Taja huyo lecture jina lake?
Sometimes coincidence ndiyo inayowatisha watu. Kwa kauli ya mjomba, lingetokea jambo lolote kwa dogo katika harakati za maisha yake, bado mngemuhusisha mjomba. Kauli ya mjomba ipo very general, kila jambo litakalomtokea dogo wako linafiti kwenye kauli hiyoUchawi upo ndugu zangu.
Kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anagombea kiwanja cha babu yake yeye na mjomba wake, dogo babu yake alimkatia eneo kubwa tu na akafanikiwa kujenga.
mjomba wake akajiapiza wewe dogo si babu yako anakupenda sana sasa utaona.
Hivi sasa dogo ni kichaa dah, yaani inasikitisha watu wameangaika sana kumtibu lakini wapi ukumuona utamuonea huruma.
😂😂😂😂Psychic reading ishakuwa debunked na Wanasayansi kibao...yaani ni kama wale wezi wanaokuambia sijui dada Ako anaumwa cjui bibi yako kafa..afu unaona kweli jamaa anasoma akili..😂💔kumbe ni utapeli kabisa.. 😂😂💔yaani upo serious unasema psychic reading ni uchawi...😂😂😂Bac we inaonekana hujawahi kukutana na watapeli wa dar ..💔😂umejiaibisha kinomaPoint sio wengi kuamini hilo linajulikana kuwa wengi hawaamini, ila hoja yako ya kwamba wanaoamini uchawi ni watu wasioelimika tu kwamba kutokuwa kwao na elimu ndio kunafanya waamini uchawi hapo ndio nimepinga hilo suala.
Kwahiyo point ni kwamba wapo watu waliyokuwa na elimu ambao wanaamini uchawi,majini,ndoto n.k
Halafu kuna kitu kimoja wenzetu huko wao huona aibu kwenye kuonekana unaamini haya masuala kama ya uchawi kutokana na jamii yao ilivyo ni tofauti na sisi tuna uhuru wa kuelezea na kufanya ila mwisho wa siku haya mambo kwa wenzetu yapo na si kwenye vitabu tu bali kuna hadi madarasa yenye kufundisha na wataalamu wenye kuhudumia watu katika masuala haya.
Google kuhusu Psychic reading usome uone wenzetu wana deal na vitu gani.
😂 Alisoma tu udsm na uchawi akaona kashapata supporters..kumbe hajui kusoma
😂😂😂Kwani mi nikifundisha religions ndo namaanisha ndo za ukweli..Kuna watu wanasoma religion .zote Hinduism Islam Greek mythology etc na wanasoma in a philosophical and sociology way...😂sio wanahubiri...we jamaa...chuo ni sehemu ya kujifunza. Pale hawafundishi kuloga. Wanafundisha origin of the beliefs, why they believe, importance na hasara zake hivyo...😂ila coz we hujawahi soma chuo .unadhani philosophy unafundishwa kulogaAsigugo yeye kama anataka vitabu watu wamefanya research za hayo mambo aache email nimtumie mana Hana kitu kipya. Aina za uchawi mpaka udsm kwenye hiyo department wanafundisha. We unahangaika na mtu anaegugo ndo anajibu sasa unafanya nn
😂😂😂😂We hujui Sayansi Nini...bibi yako akimtibu mtu as long as anafata scientific processes ni tayari Sayansi. Sio lazma umtibu mtu na sindano ndo useme ni Sayansi...Huyu jamaa ni European philosopher!. Anatumia standard za biomedicine na European science kujaji ukweli wa maisha ya watu ambao sio European.
Nadhani AELIMISHWE TU
Unasema watu wanaamini uchawi kwa sababu hawana elimu kwamba afrika wengi hawana elimu ndio maana bado watu wanaamini uchawi, hivyo umehusisha kuamini na kutokuamini uchawi na issue ya elimu.😂😂😂😂Nimekuambiaje hata bongo Kuna mashoga wengi tu lakini mtandaoni mkiona post za mashoga comments nyingi ni negative..maana yake jamii haikubali mashoga. Same as ulaya. Wanaoamini uchawi ni minority Kama mashoga huku ..Ila huku wanaamini uchawi ni majority(wengi)
😂😂😂😂😂😂😂Niambie bac kitu gani kimetokea realistic dunia..afu mi siwezi kukielewaNimeeleza vitu ambavyo umeshindwa kuvielewa na hata unachokieleza haukielewi mara ng'ombe sio uchawi ila akipaa ndio uchawi sasa ndio unaongea nini? Punguza utoto.
Dogo sayansi ina maana yake na ina misingi yake usilete habari zako za sijui ukiendesha bicyle nayo ni sayansi.
😂😂😂Ndo hivyo jau tuSometimes coincidence ndiyo inayowatisha watu. Kwa kauli ya mjomba, lingetokea jambo lolote kwa dogo katika harakati za maisha yake, bado mngemuhusisha mjomba. Kauli ya mjomba ipo very general, kila jambo litakalomtokea dogo wako linafiti kwenye kauli hiyo
Ule mgogoro wa shinyanga Kuna mtu amepata uprofesa ule. Ndo huyo mpaka Leo anachechemea. Fatilia mkuu kubisha hakukusaidiiUkiambiwa thibitisha lecture alianguka unaruka futi 100.
Hilo unaloliongea ni uongo nimekutumia video nimekutumia interview wakiwa quoted walichokisema toka daily news na hao ni maprofesa wa UDSM lakini bado unabishana nao ndio mana nasema wewe ni scammer na si kwa ubaya ni njia pia ya kujitafutia mkate.
Taja huyo lecture jina lake?
😂💔Afu tunaambiwa tunaharibu uziHalafu anakwambia kasoma miaka3 kumbe kamasi kichwani akiambiwa thibitisha ety nenda kaulize.
Ni Sawa na yule mwenzake anasema uchawi unasaidia kufanikiwa lakini ukiniambia ni mechanism ipi ndo sijui.
Yaani unaenda mahakamani umenishutumu mimi ni mwizi unaambiwa thibitisha unasema nilisikia tu wanaogea ni mwizi lakini hakimu ukiniambia ni mwizi kivipi hapo sijajua.
Fatilia saaaasa. Sikutajii Kila kitu mana hiyo kazi ya gugo! Ana uprofesa Kwa kesi hiyo na ametunukiw PhD ya ANTHROPOLOGY baada ya kuafnikisha kufanya tafiti ya chanzo Cha mgogoro uleWa mwaka gani huyo ILI nijue?
😂😂😂😂Skia we na assume umesoma lakini umesomea cheti...umesoma biology lakini hallucinations hujui..sleep paralysis hujui...brain functions huzijui...wenzetu wanasoma wanatengeneza satellite wanatengeneza Simu wanatengeneza chanjo..sisi tunasoma mambo hayo hayo .Ila hamna kazi..why? Coz waafrika wengi wanasomea cheti. Nikikuuliza swali la form 3 saa hivi either umesahau au umekariri..kuelezea kilogic huwezi...ndo elimu yetu...😂wenzetu kwanza shule sio adhabu..so unakuta mtoto anapenda kujifunza mambo mengi ndo maana hata magenius wadogo wanapatikana. Ukishakuwa na elimu na ukawa unaweza kureason, kuargue with logic(sio kukariri vitabu ujibie necta) huwezi kuamini tu kitu out of nowhere, lazma utauliza maswali, utahoji, utafuatilia..ukiona ni uwongo tu au majibu hayaridhishi una conclusion yako...umeelewa. That's how majority of Europeans work. Wanatunga sheria according to reason not Accord to Babu alisema Nini.Unasema watu wanaamini uchawi kwa sababu hawana elimu kwamba afrika wengi hawana elimu ndio maana bado watu wanaamini uchawi, hivyo umehusisha kuamini na kutokuamini uchawi na issue ya elimu.
Kwahiyo issue sio minority ya ulaya kuamini uchawi bali ni watu wenye elimu kuamini uchawi tena kutoka kwenye jamii ya watu waliyoelimika.
Tupe research yake Sasa...Kama alifanya kitu kikubwa hivyo kwa Nini unamjua mwenyeweFatilia saaaasa. Sikutajii Kila kitu mana hiyo kazi ya gugo! Ana uprofesa Kwa kesi hiyo na ametunukiw PhD ya ANTHROPOLOGY baada ya kuafnikisha kufanya tafiti ya chanzo Cha mgogoro ule
Fatilia saaaasa. Sikutajii Kila kitu mana hiyo kazi ya gugo! Ana uprofesa Kwa kesi hiyo na ametunukiw PhD ya ANTHROPOLOGY baada ya kuafnikisha kufanya tafiti ya chanzo Cha mgogoro ule