Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kitu gani umewahi kuona ukaamini uchawi upo?

Kwa kuwasaidia nyie mabichwa box tafuteni vitabu vyenye knowledge ya;
1. Meditation
2. Astrology
3. Numerology
4. Old Egypt (Kemet)
5. Symbology(uwajue wanasayansi walipotokea)

Ila kwa nilivyowasoma nyie ni empty brain, vichwa box najua hamtasoma na hata mkisoma hamna mtachoambulia.
Sio unakaa kujiita Canabian Rasta afu bichwa jeupe huna ulijualo kuhusu ulimwengu wa roho,
marasta wale ni library zinazotembea usiwaone vile ukajua ni mafala, unadhani urasta ni kuvuta bangi na kufuga minywele tu, ile ni spiritual way of life as given by the most high na wanajua spiritual works zote.
Hata hao wanasayansi na sayansi yao ni spiritual works ndio maana utasoma vitabu vyote vya sayansi lakini hutokaa ugundue hata toilet paper kwa kuwa hauna initiation ya spiritual world kuzielewa hidden symbology.
Yaani akili zenu pungufu mnadhani uchawi (spiritual works) unaishia kwa waganga tu na vigagula acheni upimbi nyie vichwa maji matupu.
😂😂😂Hata spiderman movie Ina kitabu chake sisi tunataka uthibitisho hatutaki vitabu vyako vya story...hizo ni Novels
 
😂😂😂😂😂Skia usitutishe...sawa usitutishe..😁tafuta uthibitisho wa Uchawi utupe..we kuona maruweruwe na sisi hatuoni na kuita spiritual works sijui..😂 hallucinations zako hazituhusu..we endelea kuona. Sisi tunataka na sisi tuone..kama unayo yarushe na huku...😂💔
Sasa dogo we maruwe ruwe tu ndo unajua kuwa ni uchawi dahh kmmk wallah, na nishkukataza kureply comments zangu mpaka utawaze
 
😂😂😂Hata spiderman movie Ina kitabu chake sisi tunataka uthibitisho hatutaki vitabu vyako vya story...hizo ni Novels
Uthibitisho wa uchawi ni kwamba we umezaliwa wa kiume lakini umekubali kupumuliwa kisogo na midume mingine, bado tu huamini huo ni uchawi wa kutisha.
Sio hutaki vitabu hizo sio level zako bwabwa
 
Sawa so automatically umekubali kwamba uchawi ni ukosefu wa maarifa juu ya kitu fulani...Ila ukishapata maarifa inakuwa Sayansi. 😁👍sawa asante mkuu...
Hapana, nimetoka kusema kwamba kama mtu atahusisha kitu na uchawi kitu ambacho si uchawi basi huo ukosefu wa maarifa ni wa huyo mtu na si kwamba uchawi ni ukosefu wa maarifa maana ni yeye ndio kahusisha uchawi pasipo ila uchawi utabaki kama ulivyo.

Hauwezi kusema uchawi ni ukosefu wa maarifa wakati huo uchawi wenyewe ni maarifa. Kwenye uchawi kuna kudhuru na kutibu, kupata taarifa n.k
 
😂😂😂😂😂Okay...utasema upepo au sio...😂upepo si athari Yake inaonekana. Nimekuambia kuhusu wazungu majority hawaamini Sasa we endelea kukaza fuvu..😂unavyosema ndoto kwani Kuna mtu kasema ndoto ni uwongo..ndio tunaota Hilo halina shida..😂😂😂😂we Tupe proof ya uchawi.. maana ukisema matukio..huwezi tofautisha ya kichawi na sio ya kichawi..so ni hisia na ujinga tu
Sio suala la majority ni suala la wenye elimu kuamini uchawi hata kama ni wachache.

Naposema ndoto nakusudia kuwa ndoto zina maana hivyo nazungumzia tafsiri za ndoto, najua hili pia utakuwa unapinga.

Eleza sasa unaposema unataka uthibitisho wa uchawi ni nini hasa unataka kifanyike ili ndio iwe uthibitisho wa uchawi?
 
😂😂😂😂We bana toa evidence bac Kama huna tulia
Mimi nakushauri tu mdogo wangu maana umetoka kwenye kutuambia kuendesha bicycle ni sayansi mara unakuja na habari za movies mwishowe utakuja na cartoons za tom and jery hapa.
 
😂😂😂😂😂Psychic reading ni mind games tu. Hamna uchawi wowote...ni sawa na kucheza na karata au number....we mjinga ambae huelewi na hujui ndo unasema uchawi mwenzako tapeli tu yule
Sasa umekubali mwenyewe kuwa haujasoma kuhusu hivyo vitu hapo unaongea kijumla jumla, sijui kwanini mnatumia nguvu sana kubisha kuliko hata kujifunza?

Hakuna kitu rahisi kama kupinga, waliposema ukibishana na mjinga atakushinda tu ndio kama hivi. Soma kijana usibebe tu misimamo ya watu.
 
Rekebisha hakuna mafanikio yenye uchawi kwa namna yoyote ile as long as huyo mtu tayari anafanya kazi
Ondoa "hakuna sehemu niliposema mafanikio ni uchawi tu"
sababu neno uchawi ni stori za kufikirika za miujiza.
Naimani muda ni daktari bora utakuja hapa jukwaani siku moja we mwenyewe kushuhudia.
 
😂😂😂Dogo unabisha Nini mwanangu...Bac niambie jinns ni Nini..google saa hivi jinns ingia Wikipedia fuatilia historia yake...sisi tunaita majini ni tafsiri ya jinns ambao ni wa kiarabu..na wameanzia huko
Hicho unachokieleza wewe ni maelezo kuhusu majini katika mtazamo wa uislamu ndicho ulichokisoma wewe huko google ila hao viumbe huelezwa tofauti kwa jamii na imani zengine ila wote huwakusudia viumbe hao hao. Mfano wakristo huwaeleza majini tofauti na mtazamo wa uislamu.
 
Naimani muda ni daktari bora utakuja hapa jukwaani siku moja we mwenyewe kushuhudia.


Nilishaambiwa hii sehemu huwezi fanya biashara sababu ya chuma ulete nipo mpaka sasa tangu 2016 hiyo sehemu.

Nilishaambiwa haya kwa idadi nyingi nisiyoyakumbuka.
Fanya kazi fanya kazi, fanya kazi
Hakuna dawa duniani ya kuvuta wateja
Wala hakuna uchawi.

Kama upo thibitisha.
 
😂Bora na wewe umeongea ukweli...😴usikilizwe...
Hakuna cha ukweli, hiko ndio nilichotoka kukwambia kwamba mtu anaweza kuamini kitu fulani ni uchawi kumbe sivyo na hiyo inabaki kuwa ni mtazamo wake tu, sasa hapo jamaa kaona miguu akadhani ni jini sasa huwezi kusema et hakuna majini.
 
Ni kama mimi nimekaa na waganga ila uganga nauona mavi tuu since nilikua naona jinsi wadada wanavyoliwa pesa kipumbavu na majambazi wakija kuchukua dawa za mazindiko ya kutokufa wanapopigwa na mapanga au risasi[emoji28]

Mara ya mwisho nilishuhudia madingi na vipara vyao wakiogeshwa uchi kwenye mto et zindiko la migodi madini yateme[emoji1] ukienda BARRIK watu wameinvest kwenye technology na elimu ya uchumi ona wanapata pesa haswa ila wale wamasai et wanaamini mizimu ndo inatoa ruhusa na baraka ndo zinaleta madini!!

Kama unapinga science bas prove kwa iyo mizimu/uchawi umesahidia nini kwenye maisha ya mwanadamu in daily life.

Uchawi ni uvivu wa kufikiri, duniani kila kitu kina wezekana ila sio kwa teknology yenu iyo yakupakana unga usoni na kaniki kiunoni iyo niprimitive way of solving problems, kama kuna mchawi anaweza potelea angani kavaa suti na moka nistue nami nijiunge ila sio izo pigo za kitishiana tunguri[emoji1]

Siku dogo langu akapandisha majini et jini linasema limetumwa na lipo na wenzake kama buku ivi nikalimbia ni lazima liue familia yote nikalimbia anza na mimi saivi dogo awe wa mwisho likaanza kuunguruma[emoji16] nikaona ujinga huu nikachukua dogo nikafunga kwenye empty room nikaenda out na wife nimerud nakuta dogo anatumbua macho nikacheka nikabeba nikapeleka hospital wod no x wagojwa wa akili nikambiwa ikaanzishiwa doz na clinik ni miaka mpaka sasa sijafa wala uyo dogo.

Always hua nasema “KIKOMO CHAKO CHA KUFIKIRI NDO MATATIZO YAKO YANAPOANZIA”.




Watakwambia upo na unasaidia watu kupata pesa lakini ukiwauliza kivipi wanasema hata wao hawajui ILA anasema upo lakini hapo hapo hajui

Hawa watu wengi ni matapeli kama wale wanaopiga simu wanasema natoka togo huduma kwa wateja.

Tuendelee kutoa Elimu mkuu watu wasiendelee kuibiwa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Cha kwanza hunijui...hujui performance yangu shuleni ilikuwaje hujui nafanya kazi gani now...so nyamaza sawa...we mtoto mdogo Sana.
🤣🤣🤣🤣Na wewe umerudi kule kule Mara mikoa...Mara hawajafika umri Mara ubongo unlocked...🤣bac naomba funguo ni unlock ubongo wangu na mi nimuone jini 🤣🤣🤣skia mwanangu ukiwa na hoja utanishtua..naona umeandika Sana nikajua utaleta proof ya uchawi kumbe na wewe unaleta mambo Yale Yale. Hatubishani jua mbuzi au hata bacteria hawaonekani ila hatubishani. 🤣🤣pcm hovyo...soma hata biology ndo utaelewa zaidi why ubongo wako unaona maruweruwe afu wengine wenye good mental state hatuoni..sawa chizi bot


Huyo kamasi tu zimejaa kichwani na anadai kasoma physics.
 
😂😂😂😂Shamba gani haliwezi kuibiwa...😂yaani so far mtaleta tu story story bac
Hivi vitu mbona hatuvioni in mainstream media...😂au serikali inaficha...hivi uchawi ungekuwa sooo real si tungeuona, tungeona kwenye taarifa za habari...Ila zinaishia mtaani tu kwenye vijiwe vya pombe ..😂😂ukija na evidence ya uchawi niite
Ni nauli yako tu. UKIJIAMINI, NITAFUTE. Laah acha kubweka hovyo kwenye keyboard.
 
Yaani Kati ya sisi ambao mpaka tuone kitu ..tuthibitishe ndo tuamini...🤣🤣na wewe ambae ukiskia story za wajinga kijiweni unaamini....yupi anaishi kwa Imani...🤣Niambie umri wa kuamini uchawi ni upi..maana navyoona mbona watoto wanaamini uchawi zaidi ya watu wazima...🤣ni elimu tu itawakomboa watanzania wenzangu
Nimekupa nafasi ya Kushuhudia, Ni nauli yako tu. Utakachoshuhudia nitakuomba ukipeleke maabara kujua utokeaji wake.
 
Sasa umeprove kipi kuwa hayo matambiko hayajafanya kazi, nenda huko mgodini Geita ukaone watu wanavyodondoshwa kafara. Tena kwa mijitu vipofu kama nyie ndo mnaliwa bichwa mapema.
Afu tafuteni maarifa someni vitabu haya ninayokwambia yote nimeyasoma kwenye vitabu, nyinyi mnaita uchawi mi naita spiritual waorks au energy manipulation na siongelei hao waganga kijijini kwenu na hizo story zako za uongo na kweli sijui mdogo wako alipandisha nini, im talking about spirtual works and how they operate on spiritual world. Kwa kuwa nina uelewa na hayo mambo siwezi pinga uchawi haupo kwa sababu najua yote yanawezekana. Tofauti yangu mimi na nyie mimi ninajua kuwa upo nyinyi mnataka kuaminishwa kwa kuthibitishiwa miujiza, tafuteni maarifa nyie acheni uzwazwa sayansi inapoishia ndo spiritual work zinapoanzia wajinga ambao mabichwa yao yashafungwa kwenye box la sayansi hayawezi kuelewa haya mambo.
Get out of the box uuone ulimwengu, si unajichekesha kwenye comment za wanaume.

Uwezo wako wakutoa “wazo” ni dhaifu na uwezo wako wa kutetea ni zero inshot hujui chochote unachojinasibisha kua unajua sana na ndo maana nakupinga sababu kama umesoma ivo vitabu ungeweza kufafanua vizuri tuu na wote tungetulia kukusikiliza ila naona unakimbilia matusi na kukasirika[emoji1]

Yani niende Geita migodini kuona watu wanavyotolewa kafara!!! Yani mnaua watu wasio na hatia mbuzi na kondoo kwa ujinga wenu alafu mi niende kushuhudia!!, then what?, nipige makofi?!!

Spiritual power its all about to depend on second power which is beyond urs hapo ndo tunangukia kwenye ujinga mwingi maana tunabweteka kuamini kuna nguvu itamaliza matatizo yetu yote baada yakufanya vitu flani.


Inshot ngozi nyeusi ilianzisha kitu kinachochwa uchawi ili kua mbadala wakuweka ustaarabu kati yao na kupata majibu ya changamoto za mazingira yanayotuzunguka na ndo maana uchawi asili yake ni vitisho fitna na matumaini tuu na hakuna lingine ila science ni majibu yalio halisia yalotokana na matumizi ya akili kutawala mazingira.


elimu zote unazozisema umesoma niambie ni vipi zinarelate na science wakati ushaponda hapo juu kua science ni upuuzi then unajichanganya mwenyewe kuja kutaka kubond science na uchawi ili vionekane viko sawa.
 
Kwa kuwasaidia nyie mabichwa box tafuteni vitabu vyenye knowledge ya;
1. Meditation
2. Astrology
3. Numerology
4. Old Egypt (Kemet)
5. Symbology(uwajue wanasayansi walipotokea)

Ila kwa nilivyowasoma nyie ni empty brain, vichwa box najua hamtasoma na hata mkisoma hamna mtachoambulia.
Sio unakaa kujiita Canabian Rasta afu bichwa jeupe huna ulijualo kuhusu ulimwengu wa roho,
marasta wale ni library zinazotembea usiwaone vile ukajua ni mafala, unadhani urasta ni kuvuta bangi na kufuga minywele tu, ile ni spiritual way of life as given by the most high na wanajua spiritual works zote.
Hata hao wanasayansi na sayansi yao ni spiritual works ndio maana utasoma vitabu vyote vya sayansi lakini hutokaa ugundue hata toilet paper kwa kuwa hauna initiation ya spiritual world kuzielewa hidden symbology.
Yaani akili zenu pungufu mnadhani uchawi (spiritual works) unaishia kwa waganga tu na vigagula acheni upimbi nyie vichwa maji matupu.

kweli hapa ndo unazidi kuonesha ni jinsi gani hujui kitu kwenye vyote unavyojinasibisha kua navyo, aaya naona umerukia kwa marasta ok tuelezee sisi wajinga kuhusu library zinazotembea[emoji1]
 
Back
Top Bottom