Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Utajuaje sasa kama wanaamini au hawaamini?Nitajie matajiri wa Dubai ambao wanaamini uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajuaje sasa kama wanaamini au hawaamini?Nitajie matajiri wa Dubai ambao wanaamini uchawi
Ok ila kwanza niambie uchawi ni nini kwa unavyoelewa?Nitolee real example Sasa yenye uthibitisho wa ukweli kwamba hii kitu ni uchawi
Ndio ufafanue sasa maana hauandiki kama msomi ndio maana haueleweki, andika watu waelewe sio unaandika kwa kuonyesha tu dharau.Hujanielewa..soma Tena.
We unaesema uchawi upo tuonyeshe
Akikutajia utamuamini?Nitajie tajiri wa Dubai anayeamini uchawi
Nini hiki mkuu cha Mb 45?
Vielezee mkuuNina visa vyangu vitatu au vinne aloo uchawi upooo
Mkuu mimi ninamfahamu jamaa mmoja anaitwa kajumulo pale mwananchi alikuwa anauza pipi akaijiongeza akawa anaosha magari pale kituo Cha mafuta Cha oilcom. Akaenda kujiongeza tena akapata kitengo Cha matengenezo ya magari pale oilcom( wanapobadilisha to tyre,wheel alignment na vitu vifananavyi na hivyo)Acha bhana huyu jamaa ana kazi yake nzuri na nimpambanaji haswa kaanzia Tata mpk zile higer uchawi hapo hauusiki
Cheki asa ulivyokuwa mhuni una badilisha story. Nimechoka. Ukiwa na ushahidi pure niambie.Hapana, mimi nimekuja kujua baadaye na hata hivyo sikuwa nahofu na hicho chumba sikuwa nakiogopa kama ningekuwa nakiogopa hiko chumba nisingekubali kulala, na kwa umri ule hata sikuwa na uelewa kujua chumba cha mganga huwa kinakuwaje hadi niogope.
Halafu nimeuliza wavuvi,walinzi,madereva wa huko kwa wenzetu nao huwa wanaona mauzauza kama huku kutokana na uchovu?
Bac...sio hojaUtajuaje sasa kama wanaamini au hawaamini?
Mauza uza ambayo mnaona na hamuelewi kuwa ni hallucinationsOk ila kwanza niambie uchawi ni nini kwa unavyoelewa?
Swali lako ni?Ndio ufafanue sasa maana hauandiki kama msomi ndio maana haueleweki, andika watu waelewe sio unaandika kwa kuonyesha tu dharau.
Mi nahitaji uthibitisho
Sawa..story nzuri mkuuNiliwahi kuamka asubuhi moja nikakuta nywele zangu zimenyolewa mpaka chini kabisa kwenye shina,sio kichwa kizima bali ni kaeneo tu,yaani ni kipara kile kikali kabisa kama sijawahi kuwa na nywele...
Unaamini Biblia?🤣🤣🤣🤣Si nipo mtaani...wanaoamini uchawi ni wajinga na wasio na elimu na watu maskini wa kifikra
Hakuna nilichobadili bali wewe tu hausomi kwa kutulia. Mimi nataka maelezo tu kitaalamu kutoka kwenye hayo matukio.Cheki asa ulivyokuwa mhuni una badilisha story. Nimechoka. Ukiwa na ushahidi pure niambie.
Itakuwa hoja kama utataka kuniambia kuwa hawaamini uchawi kisa ni matajiri.Bac...sio hoja
Kwahiyo hata wenye kufanyiana uchawi wa limbwata nao ni hallucinations kwa kile wanachokiona?Mauza uza ambayo mnaona na hamuelewi kuwa ni hallucinations
Wenzetu huko wazungu na wengineo nao madereva wao, walinzi wao, wavuvi wao n k huwa nao wanaona mauzauza kama huku kwa sababu ya kuchoka?Swali lako ni?