nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahahaMnaendekeza ngono kupita kiasi ndiyo maana bado mnaishi porini. Japokuwamimi siyo mchaga lakini lazima nikiri nimeoa uchagani na ni kabila lenye watu wenye maarifa. Una ulivyo mjinga. Unadhani kufanya ngono na malaya wa kichaga ni kuwakomoa wachaga. Utaishia kuishi kwenye viota kama ndege ndugu yangu.
Unacheka nini bwashee wakati alipo kimei ndio mabogus yamejaa?Hahahaaaa........!
Eti JF niko muda mrefu, fyuuuuuuu jinga kweli wewe huna akili kabisa.Naona umebadili gear angani bwege wewe, sasa umekubali kuwa wewe ni dogo tu choko wewe!
Huna ukijuacho zaidi ya kuroga na kufuga misukule yenu ile "imitunga"ya kuwalimia pamba, mipunga kwenye majaruba na kutengeneza michemba kima wewe!
Endeleeni kukodishani kuwaua wazee wenu wenye macho mekundu na maalbino maana ndio funi yenu iliyobakia hamna kingine cha maana mkijuacho zaidi ya ulozi, wengi wenu mlisha poteza malinda kwa kuzibuliwa mitaro ya huko kwa mpalange bwabwa wewe!
Kwahiyo unafurahia mbegu ya ubaguzi au sio?Wanajionaga wao ni first class citizens.
Ila jiwe kawaweza
Of course utaendekeza ngono lakini utabaki hivyo hivyo unalala kwenye viota kama ndege. Fanyeni kazi na hakuna shortcut za maisha.Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahaha
Ngoja tuwape elimu, mutabadilika tu
Hii mbinu ya kuzaa na dada zenu itazaa matunda soon.
Morogoro, Iringa na Mwanza ni miji iliyojaa viota kisa si ya wachaga sio?Of course utaendekeza ngono lakini utabaki hivyo hivyo unalala kwenye viota kama ndege. Fanyeni kazi na hakuna shortcut za maisha.
Unataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.Morogoro, Iringa na Mwanza ni miji iliyojaa viota kisa si ya wachaga sio?
Tunawasubiri mbadilike, tutafurahi sana mkianza kuwatreat makabila mengine bila ubaguzi
Hushangai mchaga akienda tabora Mwanza iringa anapata kiwanja ila mmakonde, mhaya na mdigo hawawezi kupata kiwanja moshi.
Hahaha nilitegemea utetezi kama huuUnataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.
Msilete mambo ya 1970 kuhalalisha mambo ya ajabu ajabu.Yaelekea mtoa mada ni mtoto sana au ukabila unakusumbua sana.
Ngoja nikuelimishe kidogo, miaka Fulani ya nyuma kwenye 70's baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere aliwahi kuwashauri wachagga wasigombee ardhi ndogo iliyoko Kilimanjaro Bali waende kutafuta ardhi kwingine maana Tanzania ni kubwa na ardhi ni nyjngi.
Kwenye mchakato huo alitoa ardhi Rukwa, sehemu ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi, kuna kijiji ambacho wakazi wake asilimia 90 ni wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro, eneo hilo liliwahi kuonyeshwa na Tanzania safari channel kuna mto unaitwa mto mapacha!
Pia kuna maeneo ya mkoa wa morogoro ambayo wachagga waliwahi kupewa ardhi sikumbuki ni eneo gani kwajina, kwahiyo utaratibu wa kuomba na kupewa eneo la ardhi sio mgeni wala sio shida,
Jifunze historia mkuu kabla ya kutoa lawama au kulaumu! Ni bora ungeuliza kuliko kujifanya much know kumbe ni tabula rasa!
Wanatukwaza ndio Na huu ujinga wanajifanya primadonas kwenye nchi ya kigumuKwani wakiomba unakwazika nini?!
Unapungukiwa nini?!
Au kuna kitu unapoteza zaidi ya ukabila?!
We don't do that primitive shit anymore.Tatizo lako hakuna unachojua unakimbilia kupiga kelele tu
Mosi: huko vunjo ukienda sasa hivi ni sawa na hakuna mtu anaeishi kule , zaid ya 85% wa wakazi wa kule wametapaa maeneo mbali mbali nchi.
Pili: huwa wanakutana December tu kule , ardhi wamesha imaliza ile yote, lakini pia hata hiyo ndogo waliyo nayo haina rutuba tena
Wanachotaka wao ni kuhama kama jamii , waendeleze utamaduni wao na kuutunza , saiv vitukuu na wajukuu hawawez jenga tena kule ,
Punguza wivu.
Kuna watu wakabila zaidi ya wachaga kwenye hii nchi.Mkuu Achana nae huyo kopo tupu tabularasa!
Hana alijualo, zaidi ya tribalism, anaongozwa na mihemko tupu, (emotions and not logics), hana hoja hata hoja! Anataka league za kijinga!
Dawa ya mpuuzi ni kumpuuza tu mkuu!
Yaani Mbunge wa Vunjo mwenye PhD anamwomba Waziri wa Ardhi awapatie Wachagga wa Vunjo ardhi kwingineko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu ni ili walime kwani kwao wamegawana ardhi kwa mila zao na kujikuta na vipande vidogo sana ambavyo mtu hawezi kulima. Eti wamesongamana, si mpunguze kuzaana.
Hivi huyu Mbunge na hao wachagga wenzie hawaijui Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu freedom of movement?
Hivi yeye mhe. Dr Kimei alipojenga Dar es Salaam na kupata ardhi kubwa Dar mbunge wake wa wakati huo ndio alienda bungeni kumuombea hiyo ardhi? Yaani kabisa anataka annexation ya mkoa wa Kilimanjaro! Au Vunjo nzima ni registered company?
Hivi hao Wasukuma waliojaa huko Mbeya na Morogoro waliomba wapewe hayo maeneo bungeni kupitia wawakilishi wao?
Kwa fikra zake kama hizi huyu bwana hafai kabisa kuwa kiongozi wa juu katika taifa hili kutokana na misingi yake.
Mkuu kumbe Makabila yaliyobaki ni inferior kwa Wachaga!! Na wanaonewa wivu!Unataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.
Umehit the point Mkuu. Wanataka kukaa kimatabaka.Nyie Wachagga acheni uhuni, hakuna ardhi ya huruma ya Serikali!!!
Nendeni mkatafute ardhi wenyewe, Tanzania ni yenu siyo kusubiri huruma ya Serikali!! Tatizo lenu mnataka mkae kimatabaka hamtaki kuchangamana
Tuna jamii ya watanzania huo uchaga wenu ushapitwa Na wakati.Wewe kiaz inayotaka eneo ni jamii sio familia ya mtu , watu wanataka eneo labda hekari za mraba elfu 22, nusu ya mkoa wa singida , ununue ?
Mafanikio yao binafsi yanahusu nini mada hii hapa?Wewe ni mburula asiye na ufahamu mdogo tu, jamaa hapo juu kajitahidi sana kukuelimisha lakini inaonekana imejawa na wivu na chuki za kijinga za kikabila, sikia bro kumchukia aliyefanikiwa hakukufanyi umzidi wala umfikie.
Mafanikio ya wachagga kwenye elimu, biashara na maendeleo yanaonekana kuwaumiza wengi sana, hats kujikuta wamejawa na visasi na wivu wakishamba kama wewe.
Yaani unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mjinga na ukabila kwakiwango cha lami, nakushauri hebu ficha ujinga wako hata kidogo. Ujinga ukizidi unageuka kuwa upumbavu, na mpumbavu haelevuki, hata bible inasema, "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usije ukafanana nae"