Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Kituko cha mwaka - Wananchi wa Vunjo wamtuma mwakilishi wao Bungeni kuomba kupewa rasmi ardhi na Serikali ili kufanya makazi mapya

Mnaendekeza ngono kupita kiasi ndiyo maana bado mnaishi porini. Japokuwamimi siyo mchaga lakini lazima nikiri nimeoa uchagani na ni kabila lenye watu wenye maarifa. Una ulivyo mjinga. Unadhani kufanya ngono na malaya wa kichaga ni kuwakomoa wachaga. Utaishia kuishi kwenye viota kama ndege ndugu yangu.
Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahaha

Ngoja tuwape elimu, mutabadilika tu

Hii mbinu ya kuzaa na dada zenu itazaa matunda soon.
 
Naona umebadili gear angani bwege wewe, sasa umekubali kuwa wewe ni dogo tu choko wewe!

Huna ukijuacho zaidi ya kuroga na kufuga misukule yenu ile "imitunga"ya kuwalimia pamba, mipunga kwenye majaruba na kutengeneza michemba kima wewe!

Endeleeni kukodishani kuwaua wazee wenu wenye macho mekundu na maalbino maana ndio funi yenu iliyobakia hamna kingine cha maana mkijuacho zaidi ya ulozi, wengi wenu mlisha poteza malinda kwa kuzibuliwa mitaro ya huko kwa mpalange bwabwa wewe!
Eti JF niko muda mrefu, fyuuuuuuu jinga kweli wewe huna akili kabisa.
 
Tembea nchi nzima hii, hutokuta kabila ambalo limewatungia jina wageni(jina la kuwadharau) ila huku uchagani tunaitwa chasaka hahaha

Ngoja tuwape elimu, mutabadilika tu

Hii mbinu ya kuzaa na dada zenu itazaa matunda soon.
Of course utaendekeza ngono lakini utabaki hivyo hivyo unalala kwenye viota kama ndege. Fanyeni kazi na hakuna shortcut za maisha.
 
Of course utaendekeza ngono lakini utabaki hivyo hivyo unalala kwenye viota kama ndege. Fanyeni kazi na hakuna shortcut za maisha.
Morogoro, Iringa na Mwanza ni miji iliyojaa viota kisa si ya wachaga sio?

Tunawasubiri mbadilike, tutafurahi sana mkianza kuwatreat makabila mengine bila ubaguzi

Hushangai mchaga akienda tabora Mwanza iringa anapata kiwanja ila mmakonde, mhaya na mdigo hawawezi kupata kiwanja moshi.
 
Morogoro, Iringa na Mwanza ni miji iliyojaa viota kisa si ya wachaga sio?

Tunawasubiri mbadilike, tutafurahi sana mkianza kuwatreat makabila mengine bila ubaguzi

Hushangai mchaga akienda tabora Mwanza iringa anapata kiwanja ila mmakonde, mhaya na mdigo hawawezi kupata kiwanja moshi.
Unataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.
 
Unataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.
Hahaha nilitegemea utetezi kama huu

Badilikeni mazee, au mkishindwa kubadilika oneni aibu basi

Ardhi haiuzwi kwa chasaka hapa moshi ila mchaga akienda Mwanza au Moro anakaribishwa kama ndugu na anauziwa ardhi aitakayo(kwa akili yako hii utasema mnauziwa ardhi huko kwasababu watu wa huko ni wajinga na wapumbafu)

Kubadilika haina maana ya kufeli, kubadilika ni ustaarabu pia.
 
Ni ubinafsi walio nao tunaowapa dhamana. Kwa hali yake, hata kabla ya kuwa mbunge, alitakiwa awe chachu na mfano kwa wana Vunjo, kuwa fursa iko popote ndani ya nchi na duniani, lakini yeye na usomi wake, maisha mjini na duniani huko, kastaafu sasa ndio anakwenda kuomba kura ambazo wana Vunjo wala hawakuwa na la kusema maana mwenye chama alishataka huyo awe mbunge. Sasa anabweteka na ukifikiri kama mtu asiye na upeo wowote wa kutatua matatizo.
 
Yaelekea mtoa mada ni mtoto sana au ukabila unakusumbua sana.

Ngoja nikuelimishe kidogo, miaka Fulani ya nyuma kwenye 70's baba wa taifa mwalimu Julius kambarage nyerere aliwahi kuwashauri wachagga wasigombee ardhi ndogo iliyoko Kilimanjaro Bali waende kutafuta ardhi kwingine maana Tanzania ni kubwa na ardhi ni nyjngi.

Kwenye mchakato huo alitoa ardhi Rukwa, sehemu ambayo kwasasa ni mkoa mpya wa katavi, kuna kijiji ambacho wakazi wake asilimia 90 ni wachagga kutoka mkoa wa Kilimanjaro, eneo hilo liliwahi kuonyeshwa na Tanzania safari channel kuna mto unaitwa mto mapacha!

Pia kuna maeneo ya mkoa wa morogoro ambayo wachagga waliwahi kupewa ardhi sikumbuki ni eneo gani kwajina, kwahiyo utaratibu wa kuomba na kupewa eneo la ardhi sio mgeni wala sio shida,

Jifunze historia mkuu kabla ya kutoa lawama au kulaumu! Ni bora ungeuliza kuliko kujifanya much know kumbe ni tabula rasa!
Msilete mambo ya 1970 kuhalalisha mambo ya ajabu ajabu.

That was a very primitive move.eti unahamisha kabila !!!! We are done with that.

MTU anaedai Kilimanjaro wana uhaba wa ardhi ni Mjinga sana ambaye hajitambui.

Tanzania ni nchi moja kuna free movement unaweza kuishi mkoa wowote ,kijijj chochote kama wanaona kuna changamoto huko wahamie kagera, rukwa iringa ,mbeya,tabora morogoro hakuna anae wakataza ni haki yao kama watanzania..


Ila hii ya kuomba eneo kikabila yani mkajazane wenyewe tu sehemu Fulani inaleta ukakasi.
 
Mnaposema Kilimanjaro ardhi Hakuna,Mimi huwa siwaelewi.Mbona ninapokuwa nikisafiri kuelekea Moshi mjini na Arusha,Huwa Naona Ardhi kubwa tu ya tambarare ikiwa hainaga watu(IPO wazi) kuanzia huko same mpaka Moshi mjini na pia kutoka Moshi mjini kwenda Arusha Naonaga Hamna watu(kupo tupu).Kwa Mimi hao akina BWASHEE WASIHAMIE HUKO KWENYE HAYO MAENEO ? Ilhali Naona mahindi,maharage mbaazi zinasitawi vizuri tuu ?Au Ni lazima wakae Karibu kabisa na mlima KLMnjaro ?
 
Tatizo lako hakuna unachojua unakimbilia kupiga kelele tu

Mosi: huko vunjo ukienda sasa hivi ni sawa na hakuna mtu anaeishi kule , zaid ya 85% wa wakazi wa kule wametapaa maeneo mbali mbali nchi.

Pili: huwa wanakutana December tu kule , ardhi wamesha imaliza ile yote, lakini pia hata hiyo ndogo waliyo nayo haina rutuba tena

Wanachotaka wao ni kuhama kama jamii , waendeleze utamaduni wao na kuutunza , saiv vitukuu na wajukuu hawawez jenga tena kule ,

Punguza wivu.
We don't do that primitive shit anymore.
Eti uhamishe jamii. Tuna jamii moja tu ya MUHIMU sasa inaitwa Tanzania.
Wanazaliana hovyo hafu unataka maeneo mengine ya bure.

Acheni kuzaliana hovyo hovyo.
 
Mkuu Achana nae huyo kopo tupu tabularasa!

Hana alijualo, zaidi ya tribalism, anaongozwa na mihemko tupu, (emotions and not logics), hana hoja hata hoja! Anataka league za kijinga!

Dawa ya mpuuzi ni kumpuuza tu mkuu!
Kuna watu wakabila zaidi ya wachaga kwenye hii nchi.

Wakishika ofisi yoyote wanajaa wao.
 
Yaani Mbunge wa Vunjo mwenye PhD anamwomba Waziri wa Ardhi awapatie Wachagga wa Vunjo ardhi kwingineko katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sababu ni ili walime kwani kwao wamegawana ardhi kwa mila zao na kujikuta na vipande vidogo sana ambavyo mtu hawezi kulima. Eti wamesongamana, si mpunguze kuzaana.

Hivi huyu Mbunge na hao wachagga wenzie hawaijui Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu freedom of movement?

Hivi yeye mhe. Dr Kimei alipojenga Dar es Salaam na kupata ardhi kubwa Dar mbunge wake wa wakati huo ndio alienda bungeni kumuombea hiyo ardhi? Yaani kabisa anataka annexation ya mkoa wa Kilimanjaro! Au Vunjo nzima ni registered company?

Hivi hao Wasukuma waliojaa huko Mbeya na Morogoro waliomba wapewe hayo maeneo bungeni kupitia wawakilishi wao?

Kwa fikra zake kama hizi huyu bwana hafai kabisa kuwa kiongozi wa juu katika taifa hili kutokana na misingi yake.

Kwa hiyo tu vunje tabora kuwe na vunjo ya tabora.lazima kujenga kwenu
 
Unataka ku-suggest kuna ubaguzi kwenye kupata viwanja Moshi? Huu ni uongo wa mchana kweupe. Ukweli ni kuwa wachaga wameamka siku nyingi (kwa sababu za kihistoria i.e. wazungu waliishi maeneo hayo) hivyo wakaendelea na wakasambaa maeneo mengine. Hayo makabila mengine hayakuwa na mwamko wa mapema. Hicho ndicho kinachofanya watu wavivu na wenye wivu kama wewe kuwaonea wivu.
Mkuu kumbe Makabila yaliyobaki ni inferior kwa Wachaga!! Na wanaonewa wivu!
 
Nyie Wachagga acheni uhuni, hakuna ardhi ya huruma ya Serikali!!!


Nendeni mkatafute ardhi wenyewe, Tanzania ni yenu siyo kusubiri huruma ya Serikali!! Tatizo lenu mnataka mkae kimatabaka hamtaki kuchangamana
Umehit the point Mkuu. Wanataka kukaa kimatabaka.

Tanzania unaweza kupata ardhi popote as long as sio eneo LA hifadhi,LA jeshi au LA matumizi maalum ya kiserikali.

Wao wanatka ardhi ya bure bure, nchi nzima tukiomba ardhi ya bure bure itakuwaje they have to grow up.

This is not 1970 ambapo tulikuwa almost half the current population nchi ilikuwa wazi sana Na kulikuwa bado Na uprimitive Fulani hivi.
 
Wewe kiaz inayotaka eneo ni jamii sio familia ya mtu , watu wanataka eneo labda hekari za mraba elfu 22, nusu ya mkoa wa singida , ununue ?
Tuna jamii ya watanzania huo uchaga wenu ushapitwa Na wakati.

Kwanini mtake jamii yenu ikae yenyewe MNA mpango gani?

Kila eneo katika hii nchi Lina urithi wa jamii Fulani. Ila sheria inaruhusu kununja ardhi popote pale wafanye hivo. Hakuna eneo ambalo halina urithi was l jamii Fulani unless una suggest jamii Fulani iporwe wapewe wachaga.


Hata hifadhi zilizopo zilikuwa himaya za jamii Fulani.
 
Wewe ni mburula asiye na ufahamu mdogo tu, jamaa hapo juu kajitahidi sana kukuelimisha lakini inaonekana imejawa na wivu na chuki za kijinga za kikabila, sikia bro kumchukia aliyefanikiwa hakukufanyi umzidi wala umfikie.

Mafanikio ya wachagga kwenye elimu, biashara na maendeleo yanaonekana kuwaumiza wengi sana, hats kujikuta wamejawa na visasi na wivu wakishamba kama wewe.

Yaani unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mjinga na ukabila kwakiwango cha lami, nakushauri hebu ficha ujinga wako hata kidogo. Ujinga ukizidi unageuka kuwa upumbavu, na mpumbavu haelevuki, hata bible inasema, "usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usije ukafanana nae"
Mafanikio yao binafsi yanahusu nini mada hii hapa?

Una argue like a nursery kid.

U want a piece of land in this country, you find one and buy .
 
Back
Top Bottom