Utundu wa kitoto tu nilitaka kujua kwanini ile hirizi inapumua na nikagundua kuwa mle ndani anaweka vinyonga, sijui walikuwa wanakaa muda gani mpaka kufaWakati unaiba ulikuwa unafikiria nn?
Hahaaaa we bana umenichekesha sana, khaaa!Nikiwa darasa la tatu nilikuwa na kijipu vile vidogo kwenye makalio. Sasa niliogopa kusema maana watu waliokuwa wananizunguka walikiwa wababe nilihisi watanikamua bila huruma, nikauchuna.
Asubuhi naenda shule sijapewa hela nikaamua kuiba, hela za mboga zilikuwa zinakaa juu ya vile vikabati vya zamani vyembamba virefu. Nikapanda stuli nikafikisha mkono kwenye hela bahati mbaya ikasogea mbele kidogo ikabidi nijirefushe zaidi kumbe nimeshaharibu stepu pale kwenye stuli ikateguka!!! Niliporomoka nikatulia tako lile lile lenye jipu, nilipata uchungu flani amaizing kabisa hadi wakubwa wakanikuta hapo na siri zote zikafichuka
Mkuu 0713 ilibaki salama kweli?Nakumbuka nilikua na mchezo wa kudandia magali kwa nyuna bila dereva kujua..bas siku moja nilidandia trector nikashindwa kushuka trector lilikua linafata mawe polini mbali kidogo...nlivoona naji yamenizidi ilibidi nijisalimishe tu kwa dereva...dereva akanambie twende wore mpaka anakochukua mawe tutarudi wot,kufika kule alinigonga bakora za kutosha.
Mda wa kurudi trector likaalibika ijabidi tulale ukouko..uku home nako natafutwa sana Aaah keshi yake nilivorudi nlikura njiti za kutosha..
Hahaaaa kumbe we hupati shida na ule msema wa ukikubali kuolewa kubali na kulala bila pichu, tehNilikuwa na tabia moja, kuwe na joto kuwe na baridi; me Ntalala bila kuvaa nguo kabisa na blanket langu juu.
Siku ya siku nimelala wee, kuja kushtuka saa 1 asubuhi, nimepanic hatari nimeshachelewa shule. Nilichofanya ni kukurupuka piga uniform ndrukiii shule (bahati nzuri home na shule hakukuwa mbali)
Kufika shule nikakuta ndo wanamalizia usafi, na uzuri friends zangu waliniwahia namba. Kuja kutahamaki sikumbuki kama nilinawa uso, ila mswaki sikupiga na tei te (chupi) pia sikuvaa. Nikaona isiwe kesi nikaenda bombani nikanawa, ile kurudi nikawa najishtukia ukute domo linanuka. Nikaanza kupretend kuwa jino linauma so tukawa tunawasiliana kwa vimemo, navyopenda kustorisha sasa khaa niliumiaje. Kufika muda wa break ndo nikatamani nilie kabisa, rede imekolea nashindwa kucheza nisije nikapiga chejo nikamwaga radhi. Sijawahi kuwa na siku mbaya shuleni kama ile. Kuanzia siku ile nikawa nikilala, tei tei naiweka juu ya bag nisije nikasahau kuvaa asubuhi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Teh hilo zoezi nilishaqualify kitambo sanaHahaaaa kumbe we hupati shida na ule msema wa ukikubali kuolewa kubali na kulala bila pichu, teh
Kweli hiki kilikua kituko chako cha utotoni.Mimi nilikulia Ushuani geti kali kutoka na gari kurudi na gari na home after homework tunakaa na familia kwa utulivu hatukuwa kama nyie home kwenu nothing lazima muwe wajinga na vituko.mfano hapo juu kuna mchangiaji alikuwa haendi shule kazi kujificha.
swissme
Hahaaaaa no wonder unauza vifuniko vya asali aisee, hizi mambo kumbe unazo tangu utotoni, duuuh kubikiri sistaako!!Mi nakumbuka kuna demu alimzingua jamaa mmoja kitaa..Basi yule jamaa kwa asira akamwambia "ujue ntakubikiri"..Basi mi nikalipenda hilo neno bila hata kujua maana yake..Nikihisi kuwa litakuwa linamaanisha ntakupiga....Siku tumekaa sitting room na wazee pamoja na wagen tunacheki Tv tukaanza kugombania rimoti na sista..yeye akiwa anataka kubadili chanel..Ndo kumwambia "ujue ntakubikiri,we endelea tu"...
Nilipelekwa chemba nikapewa stiki za kutoha..Zen baadae darsa ndo likafwata..Ndo ikawa chanzo cha kupunguza kuokotaokota maneno kitaa
Unafanya mengi kipindi cha utoto, sijui kwanini yali yaliyposababisha accisent kubwa ndio punakua huyasahapuduh, kumbe heri ya mie
Hahaaaa hongera sana, ila bado 2, ukiyaweza haya unafuzu mazima sasa, ila usiniulize yap, jiongeze tu ,tehTeh hilo zoezi nilishaqualify kitambo sana
Teh itabidi tu uje unielezee vizuri chemba.Hahaaaa hongera sana, ila bado 2, ukiyaweza haya unafuzu mazima sasa, ila usiniulize yap, jiongeze tu ,teh
HahahaMimi niliwahi kupotea na mdundiko[mganda].....niliufuata bila kujijua kutoka magomeni hadi pugu!!!!!!!
Ni kwa malipo lakini, haitolewi bure ndg, ooho tumeanza kuchakachua uzi wa watuTeh itabidi tu uje unielezee vizuri chemba.
Basi toka siku ile ukawa uko very interested na kupiga watu fix mtaani ili na wewe uogopwe.Nikiwa mdogo niliwahi kuiba hirizi iliyokuwa inapumua ya mzee mmoja mchawi aliyekuwa anaogopeka sana pale kijijini. .kwenda kuipasua nilikuta kinyonga aliyekatwa mkia alitweta kwa kukosa pumzi vizuri
Lile tukio lilikuwa kubwa na baya pale kijijini mpaka ikibidi nihamishwe