mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mimi nilikua muoga wa sindano za "Kristapen"sijui zinaandikwa hivo, nikaenda na maza kuchomwa hosp. Ile nimeanza kuchomwa imeingia tu hivi nikaona maumivu ni balaa nikafanikiwa kukimbia nje ya chumba huku nalia balaa na sindano imening'inia kwenye Tako, daah nesi na maza wakanikimbiza na kunikamata hapo nje afu watu ni wengi hapo nje kwenye benchi la foleni wakamalizia kunichoma sindano hapo hapo kwenye benchi mbele za watu, daah nilisikia aibu balaa