Kumbe akina junior hamnazo!!!Movie inaanza pale mtoto anaitwa junior.
Ukisikia hvy wewe andaa popcorn tuu.
Huyo mtoto ni wa miezi 10?Dogo aling'ang'ania miwani Hadi akaivunja hakurizika akatoka nje viatu nilivulia mlangoni akavichukua akavikojolea dada wa kazi akampiga mama mtu akaja juu eti kwanini usingemwambia kwaustarabu maana mtoto hajui chochote niliaga hapo hapo na sijawahi Tena kukanyaga Ile familia
Yani hao wa hivyo ndio akipata kikazi tu umeisha[emoji23][emoji23][emoji23] utakutana na zile za "Nmechoka natoka kazini unataka kila kitu ufanyiwe"
Nani ana radio siku hizi ( labda kwenye simu lakini sio radio kama zamani)? utakuwa mshamba au mtu wa zamani sana wewe
Kusikia watoto wa wenyeji wangu wanazizungumzia vibaya na kuzichukulia poa zawadi nilizowaletea kutoka mkoani daah! Hii ilinipa sana hamasa ya kupiga kitabu hatimaye kuweza kujitegemea. Pamoja wakuu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo kibokooKuna toto moja nakumbuka kitambo kidogo,aliwahi niambia chupi ya mamaake inarangi kama tshirt yangu[emoji1787]
Wamama ndio huharibu watoto kwa kuwadekeza.
Mi nikiwa na mtoto hata iwe umbali kiasi gani atatembea na hatasema kachoka.
Wamama sasa oooh nimechoka
Nilistaajabu, alafu kalikuwa kakike.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyo kibokoo
Kuna toto moja nakumbuka kitambo kidogo,aliwahi niambia chupi ya mamaake inarangi kama tshirt yangu[emoji1787]
Motivational speakers mmeshaanza.Wengine tukifika ugenini tunaogopwa mpaka na wazazi, tupo very strictly, Ukali upo usoni kabisa. Tunajitahidi kutabasamu kuuficha lakini watoto wanasaikolojia ya kumtazama macho na kumuelewa mtu ni wanamna gani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]"mama ligeni linasinzia" wakati nilikuwa nmeweka pozi tu
"anko nini umeficha kwenye suruali? " tena mbele ya familia ya sister.
NB:nlikuwa nmempakata miguuni ila dogo alinipa, aibu ya karne
Motivational speakers mmeshaanza.