Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

[emoji23][emoji23] "mavi ya fungo"
 
" Anko utakula kwetu"' Nikawa najifanya sijasikia, nakapotezea lkn bado kanauliza kwa ku-shout!
 
Kuna mambo watu wazima mkiongea watoto hawatakiwi wasikilize la sivyo unakuja kupata aibu kwa majirani.
Kuna mtoto alisema baba yake kaombwa mchango wa laki na jirani fulani hatatoa kwanza hana hela na maneno mengine kibao aliyoyazungumza baba yake ambayo sio mazuri mbaya zaidi baba huyo aliombwa awe baba wa ubatizo wa mjukuu wa jirani huyo japo wana undugu ila wa mbali kidogo.
Hebu fikiria yule aliyeomba atakaposikia hayo maneno tena kwa mtoto wa miaka sita anayasema kwa watu atajisikiaje.
Mama anasema wazi simpendi fulani kwasababu hii na hii na mtoto akitoka anasema mama yangu kasema hampendi fulani kwanza hataki aje kujisaidia uani kwetu wakati hapo wamepanga wala wenzie hawana shida.
Yaani mtoto anatoo maneno mnayoongea ndani anapeleka nje tena kama ulimsema fulani anamwambia kabisa.
Mtoto anakuwa mmbea toka mdogo badala mzazi akemee anaona kawaida
 
Bro ulioa huko kweli?
 
Vituko vya kina junya,, nisivyopenda ujinga wanangu wananyooshwa sawasawa kuna siku walikuwa wanaambizana eti mama ni mkali sana kuliko baba, hataki upuuzi
Upo kama mie, wanajua kabisa Mama hataki masikhara, ila baba yao wanavyomchezea sharubu sasaa, basi nawaangalia nasema ujinga uishie huko sio kwangu.
 
Mungu wangu!! Yaani Mtoto analilia Simu anapewa hehehehe ningekafurusha kasingerudi tena, wangu anapenda Simu Baba ake imebidi amnunulie ila anajua fika Simu yangu ni kituo cha polisi iite hapo ataniita na sio kuibeba kuniletea.... Naona kuna sehemu mnafika vitoto vinaomba Simu vicheze Game, Ma Anti wazuri wanawapa Simu zao, Mimi hapana acha nionekane bandidu tu.
 
Upo kama mie, wanajua kabisa Mama hataki masikhara, ila baba yao wanavyomchezea sharubu sasaa, basi nawaangalia nasema ujinga uishie huko sio kwangu.
Yani maza nimenyooka sawasawa sipendi upuuzi kabisa siongei mara mbili mbili,, na hawachezei vitu vyangu hata niiache simu masaa nitaikuta salama,,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anataka vichekesho aliviweka
 
Siku hizi uncle unaongea sana
 
Miwa+ sambusa [emoji1787][emoji1787] shenzi..
 
Mimi ningeaga na kuondoka, wangejua pa kunitafuta
 
Ilinibidi nicheke tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…