Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Kwanini watoto hawapendi mgeni ale chakula?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
".... ondoka tule...." huku akinisukuma.
😀😀😀😀😀😀😀😀Tupo Sebuleni tunatizama Habari ITV namsikia kabisa kuwa Kajamba Yeye ila kwakuwa yuko Kwao akanisingizia Mimi na Mimi kwa Hasira sasa nikaamua Kuwajambia Mubashara ambapo Harufu ya Mjambo wangu ikaonekana ni tofauti na yake ndipo Baba yake akamkamata na Kumchapa sana Viboko na baadae Kuniomba Radhi pia.
Mimi nilikuwa nimeenda kujitambulisha ukweni(nyumbani kwao demu wangu)
Sasa kama ujuavyo familia za kishua tunavua viatu mlangoni tunaingia na kukaa sitting room ghafla kuna katoto ka miaka kama 7 hivi kakarudi kutoka shule kalipofika mlangoni kakachukua soksi zangu kakazibana na kijiti kakaingia nazo sebureni kanauliza kwa sauti "eti mama hizi soksi za nani chafu zimechanika halafu zinanuka vibaya kama mavi ya fungo"
Sebure nzima walicheka kwa sauti yaani niliaibika sana siku hiyo
Sasa umecomment nini? Kwani watu wa zamani kama usemavyo hawatakiwi kucomment humu. Jitahidi kuficha utupu wa akili zako kijana mbele za watuNani ana radio siku hizi ( labda kwenye simu lakini sio radio kama zamani)? utakuwa mshamba au mtu wa zamani sana wewe
Katoto hakana adabu hata kidogo,Ukute mtoto karithi tabia ya baba,
MhTupo Sebuleni tunatizama Habari ITV namsikia kabisa kuwa Kajamba Yeye ila kwakuwa yuko Kwao akanisingizia Mimi na Mimi kwa Hasira sasa nikaamua Kuwajambia Mubashara ambapo Harufu ya Mjambo wangu ikaonekana ni tofauti na yake ndipo Baba yake akamkamata na Kumchapa sana Viboko na baadae Kuniomba Radhi pia.
Ulikuwa na miaka mingapi na hao waliokusingizia wakati huo walikuwa na miaka mingapiMiaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
Ha ha haa, 🤣 mtoto umleavyoMtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.
nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Mimi nishalaumiwa na dada yangu pia kuwa sipendi watoto. Kimsingi siwezi kuvumilia upuuzi. Kumpenda sio mpaka mtoto umuache afanye ujinga mwingi.Hiyo lawama ya kusema hupendi watoto hata mimi napewa sana
Yani watu wana amini ili mtu uonekane unampenda mtoto unatakiwa umlee kiyai yai.
Eti chakula ndani kimepikwa ila mtoto ndiye anayetoa maamuzi kuwa leo hali chakula hicho anataka chips na wakati huo haumwi wala nini na mzazi alivyo mjinga unaona yuko radhi kwenda hata kukopa ili kutimiza takwa la mtoto
Malezi ya kilelemama ya kujifanya unaweka uzungu mwingi kumlea mtoto katika misingi ya kimagharibi ndio iliyopelekea kukawa na ongezeko la ushoga.
Wasichojua wanawatengezea roho ya udogo, mwishoni yanakua mazwazwa kisa alipewa udogo japo ni mtoto wakwanzaNina house girl wangu mpya kaja na mwanae anaitwa junior na jinsi anavyo mlea huyo mtoto ipo siku ataninunia week nzima, we uliona wapi mtoto wa kwanza ukamuita junior[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu ulikuwa na umri gani wakati huo shemeji yako nakupiga Kofi?.Miaka furani bhana kuna likizo tulikwenda kwa sista wazo kwenye kota zile sasa asabui dada yangu na ndugu wakike wa mume wa dada asubui walikurupuku na mtoto wa sista akatikisa kabati ambali juu yake kulikuwa na kinanda cha dogo kanunuliwa kama toy achwze kikaanguka na kuvunjika sasa ile mimi natoka wakanitaja mimi shemeji alinipa Kofi la maana tokea siku ile mpaka leo sijawai kuumaliza usiku kwake na hata nikienda basi nampeleka mtu hata nikikutana nae njiani yeye wala watoto siwasalimii na nashukuru watoto wake nimesahau hata sura sizikumbuki
Nilikuwa bado mdogo tu ila kile kitendo kiliniumiza sana sijawai kukisahau mpaka leoUlikuwa na miaka mingapi na hao waliokusingizia wakati huo walikuwa na miaka mingapi
[emoji1787][emoji1787]Mwaka flani wageni walikuja nyumbani mtoto akamuomba mama ake simu acheze game mama yake akamwambi imezima chaji na hapakuwa na umeme toka asubuhi
Mama wa huyo mtoto akanambia mpe Basi simu yako acheze game maana ataanza sumbua hapa..nikamjibu haina ilioko ni ya kutumia akili sana sio game last kitoto ..mama yake akasema kuliko Alie we mpe ashindwe[emoji848]
Au mpe a download anajua kutafuta game zake...nikamjibu mwache Alie hii sio PS
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]".... ondoka tule...." huku akinisukuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah" utakula kwetu Leo"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawaangalia na Watu wenyewe wa kuwafanyia ujinga, mimi Mtoto awe wangu awe wa jirani awe wa ndugu wanajua fika sipendi ujinga, sipigi Mtoto ila nina Mikwara [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimevua viatu vyangu natoka havionekani kuzunguka nyuma wamejaza michanga na mawe wanaendesha gali.
Nikajisemea moyoni nitawafuraisha Hawa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlongo ulitisha mnoooo.Niliendaga kwa anko
Mwanae wa miaka minne,nimekaazangu nachart si aKaanza kulia,mama yake akamuuliza unataka nini??,,,,,,,,,kakasema kanataka simu yangu kaangalie vichekesho,
Mama yake akaniambia warda mpe mtoto simu achezee maana amezoea kuchezea simu yangu sasa ni mbovu
Nikamwambia sinaga hayo mambo kwenye simu yangu na ata kama zingekuwepo nisingempa katu,atafute cha kuchezea,,,auntie alinuna,,Mtoto wanamlelea kwapani.