Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

Ile nimefika kwa shangazi mtoto wake ananiuliza, " hicho chakula chote ulichopakua utakimaliza kweli"? Niliishiwa hamu ya kula maana ilibidi kila mmoja aniangalie mimi! Sema dogo alipewa kichapo ambacho hatakuja kurudia ule ujinga.
 
Kwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.

Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.

Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .

Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .

Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.

Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.

Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .

Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .

Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Na we ulienda kutafyta Nini uliyataka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni

Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua

Weka na wewe cha kwako hapa,
Kusikia watoto wa wenyeji wangu wanazizungumzia vibaya na kuzichukulia poa zawadi nilizowaletea kutoka mkoani daah! Hii ilinipa sana hamasa ya kupiga kitabu hatimaye kuweza kujitegemea. Pamoja wakuu
 
Kwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.

Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.

Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .

Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .

Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji108]mmeumbiwa mateso
 
Kwa ex wangu mmoja alikuaga single mother.

Naingia ndani dogo hataki niingie anasema toka we sio baba yangu.

Nilipokaaa dogo anaimba usikalie viti vya baba yangu .

Msosi ulipoletwa dogo anangania hatuli nawewe we sio baba yangu .

Hapo vituko kibao mara misonyo mara anitishie na hiki mara kile

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikukomesha haswaaa.
 
Mtoto mkubwa wa sister ni mkubwa tuu 18 years now kamaliza form 4. kaja home. kufika kakuta wamepika makange akasema yeye hali makange. nkampa hela akaenda nunua chips. asubuh chai tukanunua mihogo kasema halagi mihogo anataka chapati za maji, akapewa. inshu ikaja kwenye kusaidia kazi. hakuna kazi anayoweza labda vyombo tuu kuosha na sio masufuria. kitu pekee anaweza pika ni chai. hata ugali wa mtu mmoja hawezi pika. nkamuuliza vizuri akasema yeye hata kwao wakipika ugali yeye hataki basi anapewa hela anaenda kula mgahawani.

nguo zake anafuliwa. na sio kwamba kwao ni matajiri hapana kipato chao ni cha chini sana.
Nadhani ulitaka kusema makande....
 
Nilimtembelea rafiki yangu, kuna katoto ka kike like 5yrs , nilivofika nikaweka pochi yangu chumbani anakolala tupo sebuleni, kameingia chumbani kametoa kila kitu kwenye pochi, hela zote(coins nje), na vitu vya kike njee, eti aunt nakupangia vitu kwenye pochi yako, aisee nikajisemea mazoea gani haya na kama ndiyo mnavyopangiana vitu na mama ako huko huko, nikampa kifinyo kizuri tu huku nakaambia usirudie.
Enzi zetu hugusi vitu vya mgeni maana utachezea mabao kwa bi mkubwa hadi ukome.
 
Wewe ni mpumbavu. Pengine hata huelewi radio ni nini. Watu wanamiliki magari ya kifahari na ndani yana radio. Nyumbani kuna Home theater, Subwoofer na hizo zote ni aina ya radio za kisasa.

Acha dhihaka hata kwa anayemiliki radio ndio raha yake.
Ongezea na radio cassete na simu ya kukoroga iendane na akili yako maana ndio raha yako, washamba mnazingua sana
 
Aliniuliza kabati la kuwekea nguo kwa kingereza linaitwaje kipindi nipo form nyoya wakuu

Nimetoka zangu senti kayumba najua kingereza cha good morning na can you help me some drinking water tosha katoto kalikuwa English medium

Kabla sijajibu kakataja halafu kakasema sijui nikaaibika sana siku ile

Nilikuja kununua dictionary nikajifunza maneno mengi sana mpaka naweza kukaa na mzungu tukapiga ngeli hata siku nzima
Unaonekana una hasira za maamuzi mkuu. Natamani kujua kwanini unajiita Tafuta Hela
 
Back
Top Bottom