Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

100% TRUUUUUU, Malalamiko ni ya msingi ila yamejaa kachumbari

jamani amo siyo sawa na medical doctor. Kuna vitu vilianzishwa tanzania kupunguza uhaba wa watumishi sasa hivi havipo dunia yoyote. Mambo ya kulinganisha fani zingine ndo yanayorudisha nyuma maendeleo. Utaratibu umeandikwa na sheria zipo dmo/rmo ni lazima awe md na qualifications nyingine. Hao ma amo wanaokuwa madmo wanakaimu tu akija md huwa wanaachia madaraka. Kutokuwepo kwa kwa jembe sehemu moja kusitufanye tulime kwa vijiti hata sehemu yenye trekta.
 
MD,specialists na super specialists wala msiwe na wasiwasi kwani huu ni mkoa mpya na huyo AMO kawekwa ili kuwatengenezea mazingira mazuri mtakapofika. MD wa sasa hampendi tabu,mnataka muwe online 24 hours sasa huko Simiyu mtandao ni EDGE na GPRS,mtakaa kweli?Mnataka fanye kazi miezi sita kisha muende postgraduate huku mkiwaachia tena hao hao mnaowaita daktari fake. AMO imekuja kwa mujibu wa sheria na mnachoweza kufanya ni ku lobby ili sheria ibadilishwe na wasiwe registered Medical practioner lakini as long as sheri a ile ipo basi wataendelea kuitwa madaktari.
 
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.
 
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.

Uelewa mdogo wanaleta majungu na fitna,bora umewaelimisha
 
tangazo lilitolewa waliopeleka maombi ni ma AMO na ma CO, ndiyo sababu yeye amechaguliwa.
Hata hivyo inawezekana kuongoza. Jk ni dk, akina mawaziri professors... Wako chini yake.

mkuu hilo tangazo lilitoka lini?

uchaguzi huo ulifanyika lini na kivipi?

kumbuka cheo hiki ni cha utendaji na sio siasa....
 
Hili neno "Daktari fake" sijalipenda,ungejua hao unaowaita fake wanavyofanya kazi kuokoa maisha ya watu,usingethubutu.
 
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.

acha porojo mkuu,unajidai hujui kumbe unajua!!
kimsingi ma-RMO ni makada wa ccm na mara nyingi hutafutwa vilaza kushika nafasi hiyo ili waweze kutekeleza matakwa ya ccm hata kama hayana maslahi kwa afya za watanzania.ni wazi ccm haitapenda kuona wasomi waliobobea wakishika nafasi hizi.

hawa ndio ma RMO wanaohamishia fedha za manunuzi ya dawa kwenye mbio za mwenge,

hawa ndio ma RMO walio tayari kupeleka ambulance zote kwenye ziara za viongozi bila kujali wagonjwa watatumia nini.

hawa ndio ma RMO wanaotoa taarifa potofu juu ya hali halisi ya vituo vyetu vya afya

hawa ndio ma RMO wanaokubali kupokea vibajaji vya kihuni eti vitumike kama ambulance

hawa ndio ma RMO wanaoshindwa kutetea sekta ya afya kupewa fungu la bajeti kama inavyotakiwa kimataifa.

na mengi mengineyo......
 
Hili neno "Daktari fake" sijalipenda,ungejua hao unaowaita fake wanavyofanya kazi kuokoa maisha ya watu,usingethubutu.

mkuu ni wakati wa kukubali ukweli mchungu.umejaribu kufanya tathmini ya madhara yanayofanywa na hawa jamaa?
hata waganga wa kienyeji wanaokoa maisha lakini madhara wanayofanya ni balaa
 
mkuu ni wakati wa kukubali ukweli mchungu.umejaribu kufanya tathmini ya madhara yanayofanywa na hawa jamaa?
hata waganga wa kienyeji wanaokoa maisha lakini madhara wanayofanya ni balaa

Hebu tujikumbushe kile kisa cha upasuaji wa kichwa badala ya mguu!
 
Hebu tujikumbushe kile kisa cha upasuaji wa kichwa badala ya mguu!

tutajikumbusha na visa vinavyotokea huko mawilayani kimojawapo...... ni maafa ya halaiki yaliyotokana na opinion ya wanaoitwa madaktari kwa wagonjwa wa ukimwi.kisa hiki ni kileee cha babu wa loliondo
 
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.

MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.

wewe mdachi katawaze ukalale, hujui unachokiongea,
 
Last edited by a moderator:
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa fekiiiiiiii hii ni hatari kwa serikali ya JK, Majaji feki na Daktari wa Mkoa fekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii



The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji feki
iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha

pumba tupu degree is equivalent to advanced diploma au we shida yako n nn?
 
nadhani dawa ni kutunga sheria ambayo itawaondoa hawa matabibu katika utawala, hii itasaidia kuondoa hizi kelele zisizokuwa na maana. Serikali iandae mswada huo mwakani. Matabibu wawe wanashughulika na tiba na utafiti katika tiba tu, itasaidia kuboresha huduma za tiba
 
pumba tupu degree is equivalent to advanced diploma au we shida yako n nn?

Doctor of Medicine (MD, from the Latin Medicinæ Doctor meaning "Teacher of Medicine")


Assistant Medical Officers are health care providers in countries like Tanzania and Malaysia. They work independently or with limited supervision of a physician to provide healthcare services to largely underserved populations.[SUP][1][/SUP]
They are also called "surgical technologists" (or técnico de cirurgia) in Mozambique,[SUP][2][/SUP] clinical associates in South Africa,[SUP][3][/SUP] or "assistant medical practitioner" (AMP, formerly "native medical practitioner" or NMP) in Fiji.[SUP][4][/SUP] They are grouped under "medical assistant practitioners" in the International Standard Classification of Occupations, 2008 revision.[SUP][5][/SUP] Assistant Medical Officer will be celebrated for the day of medical assistant on 10 March every year in all countries.[SUP][/SUP]

unapochangia thread ukiwa mlevi huwa tunakujibu namna hiyo hapo juu
 
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.

sidhani kama unaelewa hoja hapa! moja ya kigezo kuwa RMO ni lazima huwe daktari wa binadamu(MD). Kwasababu hiyo AMO siyo daktari. hata huyo muhusika ukimfuata leo anajua yeye siyo daktari. anajua akitaka kuwa daktari ni lazima arudi shule kusoma!
 
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.

MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.

tatizo hapa ni vigezo vya uteuzi, vimezingatiwa?
Km wamesema RMO awe MD, na MD wenye sifa wapo, iweje huyo mteuzi akiuke vigezo alivyojiwekea?
Km Nurse, Health Officer, AMO anaweza teuliwa, wabadili vigezo.
Kinachohojiwa hapa ni ukiukaji wa taratibu, na wala sio arrogancy km unavyotaka kuiweka.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom