Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

hivi ndivyo vitu anavyokataa Tundu Lisu....majaji vihiyo na madaktari vihiyo.
 
Ni bora huyu kuliko hao mnaofikiria wanafaa maana hao wasomi wameprove zero upstairs.
naaza kwa kusema sio kila kingaavyo ni dhahabu.nikiwa sio kila graduate in medicine is competet dr in practical and mangaementutawala hautaji udaktari,huyu dr siajabu anaelimu nyingine zaidi ya amo,na hii ni atari sana wizara ya afya ,madoctor wanaoitwa fake ndio waliokuwa wanashika wizara siku za nyuma na hata sasa ,miradi mingi ya wizara walikuwa na wanshika ni amo,ma dmo waliowengi ni amo ,tukianza kubaguana hv hata hao ma amo hawasitahili kwani hawana elimu ya mangement na sio degree ya mph.wizara kama itawapendelea md kunahatari kubwa wa kuisambalatisha huduma hizipia waziri mwenyewe ni amo,mbona hamsemi
 
pumba tupu degree is equivalent to advanced diploma au we shida yako n nn?

kama hujui unakaa kimya.
Advanced Diploma ya Clinical Medicine(AMO)
sio equivalent to Degree of Doctor of Medicine.
AMO anahitaji kusoma tena miaka mi5 na Internship mwaka m1, ili awe MD registered(MO).
Kuna Equivalency hapo?
 
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa fekiiiiiiii hii ni hatari kwa serikali ya JK, Majaji feki na Daktari wa Mkoa fekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii



The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji feki
iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha
Wewe Ni Ulimboka nini
 
Kiukwel hastahil kupewa cheo hicho, na ndo mana amepelekwa mbal il msishtukia, kama anastahil kwann hajapangiwa mikoa mingne ikiwemo Dar.? Nipe jina lake kama unalo...!
 
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa fekiiiiiiii hii ni hatari kwa serikali ya JK, Majaji feki na Daktari wa Mkoa fekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii



The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji feki
iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha
Kosa limefanyika lakini hiyo baraka ya JK inaingia vipi hapa,JK anateua RMO'S?
 
huyo ana experience, Advanced Diploma is equivalent to a Bachelor. acheni ujinga, inamaana watamteua mtu aliye na bachelor amemaliza chuo juzi kuwa RMO wamuache mtu mwenye 10 years working experience katika field hiyo? kwani elimu ni cheti pekee? wakuteue wewe ukaendeleze migomo ya kitoto watu waendelee kufa?
 
huyo ana experience, Advanced Diploma is equivalent to a Bachelor. acheni ujinga, inamaana watamteua mtu aliye na bachelor amemaliza chuo juzi kuwa RMO wamuache mtu mwenye 10 years working experience katika field hiyo? kwani elimu ni cheti pekee? wakuteue wewe ukaendeleze migomo ya kitoto watu waendelee kufa?
Watu wanapinga ukiukwaji wa taratibu na pia usipotoshe kwamba AMO ni equivalent na degree.Pili utaratibu kama umeanisha nini kifanyike ni bora ukafuatwa na si kwamba mchango wa AMO hauthaminiki bali katika hili utaratibu haukufuatwa,Je Kuna sababu ya msingi uliofanya taratibu kukiukwa au laah? Utaratibu unasema hivi:
The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
 
Watu wanapinga ukiukwaji wa taratibu na pia usipotoshe kwamba AMO ni equivalent na degree.Pili utaratibu kama umeanisha nini kifanyike ni bora ukafuatwa na si kwamba mchango wa AMO hauthaminiki bali katika hili utaratibu haukufuatwa,Je Kuna sababu ya msingi uliofanya taratibu kukiukwa au laah? Utaratibu unasema hivi:
The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.

hiyo haijalishi, hata mlie vipi hamuwezi kupewa. wakati mwingine bora kuangalia maslahi ya taifa, kuliko kuwapa ninyi mnaojifanya wajuaji na kuacha watu wafe tu.
 
tangazo lilitolewa waliopeleka maombi ni ma AMO na ma CO, ndiyo sababu yeye amechaguliwa.
Hata hivyo inawezekana kuongoza. Jk ni dk, akina mawaziri professors... Wako chini yake.
Hii nafasi ni ya kuteuliwa hakuna ku'apply
 

Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mkuu sasa iwe wazi kuwa lazima awe na Postgraduate qualification, kwa hiyo wote wenye only Bachelor au Advanced Diploma hawatoshelezi sifa za kuwa RMO. So, ushushe lawama kwa waziri kuteua watu wenye kukosa sifa za kuwa na Postgraduate qualification, na sio wenye kukosa sifa ya kuwa na Bachelor's degree
 
hiyo haijalishi, hata mlie vipi hamuwezi kupewa. wakati mwingine bora kuangalia maslahi ya taifa, kuliko kuwapa ninyi mnaojifanya wajuaji na kuacha watu wafe tu.
Nafikiri huna hoja endelea kutetea unachokitetea .Nani amekuambia anautaka Uganga Mkuu wa Mkoa tena sijui mkoa wenyewe mpya.Unaelezwa utaratibu ulivyo ndani ya Government Standing Order wewe unakuja na slogan ya hata mlie nani analia.Naibu waziri ni AMO Umeshaona nikichangia kuhusu yeye kuwa AMO kwasababu taratibu za uchaguzi wake hazikukiukwa.Kwani ili uwe naibu waziri unatakiwa uwe mbunge tu na haijalishi unaprofessional gani kwa mujibu wa katiba.Kwahiyo hapa utaratibu ulifuatwa.Tena unatakiwa uelewe kutokana na kigezo cha kuwa RMO hata MD bado hajatimiza kigezo bali ni mpaka awe na elimu ya uzamili ya Afya ya jamii na awe amefanya kazi kama DMO Kwa miaka isiyopungua 7.Upo hapo sasa jaza mwenyewe kama kuwa AMO tu kunatimiza sifa tajwa.
 
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.

MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.

Akili zilezile, uwaziri hausomewi. Kwahiyo shule ni useles coz hata nesi anaweza. Mzee ulilalia gongo jana au ndo mtazamo wako. au nawe ni nu
 
Last edited by a moderator:
we nawe, kwa hiyo Mwinyi ni AMO?

naaza kwa kusema sio kila kingaavyo ni dhahabu.nikiwa sio kila graduate in medicine is competet dr in practical and mangaementutawala hautaji udaktari,huyu dr siajabu anaelimu nyingine zaidi ya amo,na hii ni atari sana wizara ya afya ,madoctor wanaoitwa fake ndio waliokuwa wanashika wizara siku za nyuma na hata sasa ,miradi mingi ya wizara walikuwa na wanshika ni amo,ma dmo waliowengi ni amo ,tukianza kubaguana hv hata hao ma amo hawasitahili kwani hawana elimu ya mangement na sio degree ya mph.wizara kama itawapendelea md kunahatari kubwa wa kuisambalatisha huduma hizipia waziri mwenyewe ni amo,mbona hamsemi
 
Hoja ya msingi kwa mleta uzi ni kwamba vigezo na masharti havikuzingatiwa katika uteuzi wa Mganga Mkuu wa Mkoa PERIOD. AMO na MD ni kada mbili tofauti. Na ieleweke kwamba Advanced diploma ya clinical medicine ambayo ndiyo wanayo AMOs siyo equivalent na degree ya udaktari.

Kwa madhumuni ya kuweka mazingira ya usawa katika nafasi za uongozi katika sekta ya afya, ni wakati mufaka sasa kuangalia uwezekano wa kubadili majina ya nafasi zote za uongozi ambayo yanalazimisha mhusika awe daktari kama vile Chief Medical Officer, Regional Medical Officer, District Medical Officer na hata nafasi za ukurugenzi wa technical departments wizarani. Natambua kuwa kwa muda mrefu nafasi hizi zimekuwa zikishikiwa na madaktari kwa kuwa ndiyo kada pekee katika kada za afya iliyokuwa na wasomi wa ngazi ya degree na kuendelea. Sasa hivi takribani kada zote zina wasomi wa degree na kuendelea na kwa mtazamo wangu yeyote miongoni mwao anaweza kushika nafasi ya uongozi katia sekta hiyo. Wenzetu wa kenya na Uganda kwa kulitambua hili wamebadilisha jina la CMO kuwa Director General of Health Services hivyo nafsi hii inaweza kushikwa na Daktari, Nurse, Health Officer au yeyote awaye wa kada za afya. Lakini nini cha ajabu, katika serikali ya wamu ya nne nafasi ya Naibu Waziri wa afya imeshikiliwa na AMOs wawili na kwa maoni kila mmoja kwa nafasi na wakati wake amefanya vizuri.
 
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.

MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.

Kuwa Daktari sio kazi ndogo wengi wetu namna ya kuwa Daktari tunakimbia ila manufaa yake kila mtu anayatamani tumewazoea Wabongo kila kitu mnaweza nadhan hata juzi kati wabongo wengi walijiweka hata katika nafasi ya Obama kwamba wangefanya zaidi yake.Ndio maana mnajipamba kwa mahirizi -HOOVYO KWELI
 
Lakini Mkuu sio Ma RMOs wote wanaofanya hayo unaowalalamikia ni AMOs. Wengi wao kama sikosei Ma MDs. Huoni shutuma zako zinajichanganya? Kama MDs wengekuwa serious mambo unayoyalalamikia yasingalikuwapo. Kama kigezo cha kunyoosha mambo ni MDs kuwa RMOs kila kitu kingekuwa shwari. Kwa maneno mengine MDs wameonyesha kushindwa kuongoza ni busara basi kujaribu AMOs.
Taaluma ya udaktari na sekta ya Afya sio ya mtu ni ya wote wenye nia njema na Afya za watu. Mawazo ya kufikiria ni ya madaktari, MDs peke yao, mtu mwingine asisogee yamepitwa na wakati, kinachotakiwa ni mtu yeyote anayeweza kutoa mchango mzuri asizuiliwe ati kwa sababu sio MD na wala sio MD yeyote hata kama hana mchango wa maana apewe majukumu. Tunataka OUTPUT kwenye sekta ya AFYA sio malalamiko ya kila saa. Kutwa kucha kuchunguza kile au hiki wakati ulipaswa kuwa OPERATING THEATRE au clinic au wadini.
 
Huo ni mwanzo tu madudu mengine mengi yanafuata. wizara imeoza na kunuka kabisaaaaaaaaaaa.
 
Reasoning yako iko chini sana kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na nafasi nyeti ya Mganga Mkuu wa Mkoa ikashikwa na assistant Medical Officer yaani Mganga Msaidizi; Kama unataka apatiwe nafasi hiyo basi jila la cheo hicho kibadilishe na kuitwa Mganga mkuu Msaidizi wa Mkoa.

Aidha unatakiwa kuelewa Afisa Afya au Katibu wa Afya hawezi kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa hata kidogo kwani hawana taaluma yeyote ya udaktari.

Uko sahihi
mkuu... Lakini si kwa Tz hii.
Km unafahamu zahanati inapaswa kuwa chini ya CO lakini nikikwambia zahanati nyingi huku ziko chini ya MATT (medical attendant) usibishe.
Vituo vya Afya vinapaswa kuongozwa na AMO lakini kuna vituo hadi leo vinaongozwa na ACO.
Wilaya yetu ilikuwa chini ya DHO mzoefu wa zaidi ya miaka 10, kwa miaka zaidi ya mitano,na aliiongozwa kwa ufanisi mkubwa. Kwa sasa iko chini ya MD ambae ndo kwanza kamaliza Intern!
Kifupi mkuu hayo unayoongea yako kwenye maandishi tu. Mkigoma tena isiwe kwa ajili ya SIMIYU tu bali kwa nchi nzima level zote. By the way hamtafanikiwa labda miaka 100 ijayo.
 
AMO sio Daktari, ni Daktari msaidizi, na hicho cheo kipo Bongo tu, ila taaluma yao inayotambulika kimataifa ni ile ya U Clinical Officer.
Narudia tena, akitaka udaktari, anaenda kuanza MD 5 yrs, kisha Internship.
Hakuna Equivalency hapo. Na MD si Bachelor's degree tu, ni muunganiko wa Bachelor of Medicine&Bachelor of Surgery, kule Makerere huitwa MBChB, na huku huitwa Degree of Doctor of Medicine(MD).
Na vigezo vya uchaguzi wa RMO, vinasema awe MD(mwenye MPH na uzoefu wa UDMO miaka 7), na hawasemi MD au AMO au Nurse, ila ni MD tu. MPH yeyote aweza soma, ht wenye B. A. Ed wanafanya MPH!
Sasa iweje apewe AMO mwenye MPH na uzoefu, wkt kuna MD wenye MPH na uzoefu wa u DMO?
Vigezo na masharti lzm kuzingatiwa, msitetee uvunjaji kanuni na taratibu, kwa vile tu mna chuki na MD, hivyo ht penye ukweli mnafumba macho.
Wambieni wabadilisha vigezo, waseme RMO anaweza kuwa MD au AMO plus vigezo vingne. Hamtaona mtu analalamika hapa.
 
Back
Top Bottom