100% TRUUUUUU, Malalamiko ni ya msingi ila yamejaa kachumbari
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.
Dokta wa UDOM? Honoris Causa? Haya mkuu.... Jk ni dk, akina mawaziri professors... Wako chini yake.
tangazo lilitolewa waliopeleka maombi ni ma AMO na ma CO, ndiyo sababu yeye amechaguliwa.
Hata hivyo inawezekana kuongoza. Jk ni dk, akina mawaziri professors... Wako chini yake.
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.
Hili neno "Daktari fake" sijalipenda,ungejua hao unaowaita fake wanavyofanya kazi kuokoa maisha ya watu,usingethubutu.
mkuu ni wakati wa kukubali ukweli mchungu.umejaribu kufanya tathmini ya madhara yanayofanywa na hawa jamaa?
hata waganga wa kienyeji wanaokoa maisha lakini madhara wanayofanya ni balaa
Hebu tujikumbushe kile kisa cha upasuaji wa kichwa badala ya mguu!
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.
MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa fekiiiiiiii hii ni hatari kwa serikali ya JK, Majaji feki na Daktari wa Mkoa fekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.
Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa
2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO
3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo
4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI
5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji fekiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha
pumba tupu degree is equivalent to advanced diploma au we shida yako n nn?
unapochangia thread ukiwa mlevi huwa tunakujibu namna hiyo hapo juuDoctor of Medicine (MD, from the Latin Medicinæ Doctor meaning "Teacher of Medicine")
Assistant Medical Officers are health care providers in countries like Tanzania and Malaysia. They work independently or with limited supervision of a physician to provide healthcare services to largely underserved populations.[SUP][1][/SUP]
They are also called "surgical technologists" (or técnico de cirurgia) in Mozambique,[SUP][2][/SUP] clinical associates in South Africa,[SUP][3][/SUP] or "assistant medical practitioner" (AMP, formerly "native medical practitioner" or NMP) in Fiji.[SUP][4][/SUP] They are grouped under "medical assistant practitioners" in the International Standard Classification of Occupations, 2008 revision.[SUP][5][/SUP] Assistant Medical Officer will be celebrated for the day of medical assistant on 10 March every year in all countries.[SUP][/SUP]
Ni bora huyu kuliko hao mnaofikiria wanafaa maana hao wasomi wameprove zero upstairs.
RMO ni cheo cha uongozi/ utawala sio cheo cha kitaaluma. RMO mara nyingi hatibu anashinda kwenye vikao vya kiutawala vya RAS au mahala pengine hupitisha likizo za watumishi.
Tatizo ni kuwa cadre ya madaktari kila mtu anajiona yeye binafsi ndiyo nshomile kuliko hata mwenzake. Daktari wa madawa ( internal medicine) hujiona bora kuliko wa upasuaji, wa meno bora kuliko wa magonjwa ya watoto mlolongo ni mrefu ili mradi kila mmoja hataki mwenzake aonekane anafaa.
Madaktari husoma udaktari kwa taabu na kwa muda mrefu lakini kama nafasi ya kukwepa kufanya udaktari wangependa sana kuukwepa wakaenda maofisini kupitisha likizo, kazi isiyohusiana kabisa na udaktari. Madaktari Bingwa wanakwepa kufanya kazi daktari Bingwa wanakimbilia kwenye tu NGOs ambako hata 1/8 ya utaalam wao hautumiki.
Ukiangalia kwa makini utaona uongozi halina uhusiano wa moja kwa moja na taluma. Kama ingalikuwa hivyo Profesa Mkandala wa chuo kikuu cha DSM angekuwa Rais, Dr. Lwaitama angelikuwa Waziri Mkuu, Prof. Lipumba angalikuwa waziri wa uchumi. Lakini mambo sio hivyo. Jemadari huchaguliwa vitani, madaktari waache kulalama wafanye kazi wataonekana na watateuliwa tu. Nafasi ya RMO katika mkoa ni moja tu hata wakigombania ni daktari mmoja tu atakayeteuliwa.
Katika mataifa mengine watawala katika sekta za Afya sio madaktari ni watawala, madaktari wako katika hospitali kushughulika na wagonjwa wao. Madaktari wa Tanzania hawapendi kukaa hospitalini wanawakimbia wagonjwa. Ukitaka ushahidi neda wizarani, utakuta madaktari vijana hawajatumikia fani ya udaktari hata mwaka mmoja wapo wizarani kufanya kazi za ukarani huku tuna acute shortage ya madaktari.
Ukifuatilia kwa makini atajiuliza " Hivi mtaala wa fani hii ya udaktari wanafundisha pia kulalamika? Utajiuliza swali hili kwa sababu wanatumia muda mwingi kulalamika kuliko kutibu. Katika hali ya kawaida watu wenye maneno mengi ya kuchunguza hiki au kile hawana kazi za kutosha, kinyume chake hawana muda kuchunguza nani kapata nini au kakosa nini.
Radii Mambo mengine ni wivu na choko choko ambazo hazina msingi wowote. Hawa AMO ndio wamejaa katika Hospitali nyingi na ndio wanaotoa tiba kwa sehemu kubwa ya Watanzania. Hawa AMO wamekuwa wakishika nafasi za DMOs ambayo haina tofauti na RMOs. Hii si nafasi ya utabibu ni nafasi ya Utawala ambayo hata Nesi, Afisa Afya au hata Katibu wa Afya anaweza akashika. Mkoa wa Tanga ulikuwa chini ya Afisa Afya akishika nafasi ya RMO kwa muda mrefu sana.
MDs acheni arrogance utawala sio lazima uwe MD???? Badilikeni acheni kuyumbisha Wizara plz.