Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Kituko kingine Wizara ya Afya, Waziri abariki uteuzi wa AMO kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Simiyu

Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa ambaye hana sifa hii ni hatari kwa wananchi wa Mkoa wa Simuyu

=================

The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha


==============================



Kwa mtazomo wangu wewe ndugu unachuki binafsi na Vyagusa mbona hujataja shahada ya MPH aliyo nayo,na kwa taarifa yako mbona wapo ma MDs ni vilaza wakutupa .Sakata la MOI(kichwa /goti) Kwani pale walikuwepo AMOs au nenda Hopspitali za Rufaa uone madactari bingwa wanavyochemka.Mimi nadhani inabidi wewe ndio uwaombe radhi AMO na CO wote, na ndio maana hata mgomo wenu hakufanikiwa kwasababu ya mawazo yenu ya kitoto na kuwabagua AMO /CO ambao niwatendaji wakubwa kuanzia ngazi ya Mkoa, wilaya hadi vijijini
 
Mkuu sisemi daktari kuwa mtawala ni dhambi, hapana! Ninachosema mahali anapohitajika sana daktari ni pale alipo mgonjwa kuliko mahali pengine popote. Kazi ya utabibu haiwezi kufanywa na mtaaluma mwingine yeyote isipokuwa daktari, lakini kazi ya utawala inaweza kufanywa vizuri zaidi na watawala kuliko inavyoweza kufanywa na madaktari. If you are to choose between the two options at least on administration issues you have alternative. Unapomtoa Physician clinic kumpeleka kwenye cheo cha kisiasa ni matumizi mabaya ya Rasimali watu. Unamtoa professional kwenye taaluma ni sawa na kutumia gari kufugia kuku.
Ingefaa pia madaktari wazuiwe kugombea ubunge na wasipewe kazi za uwaziri, iwe wao na wagonjwa tu. Kumuweka prof Sarungi mawasiliano au jeshi ni zaidi ya kufuga kuku ndani ya gali ni sawa na kuchukua vifaa vilivyo takaswa kwa kazi zingine ilhali una wagonjwa wa upasuaji.
 
Ingefaa pia madaktari wazuiwe kugombea ubunge na wasipewe kazi za uwaziri, iwe wao na wagonjwa tu. Kumuweka prof Sarungi mawasiliano au jeshi ni zaidi ya kufuga kuku ndani ya gali ni sawa na kuchukua vifaa vilivyo takaswa kwa kazi zingine ilhali una wagonjwa wa upasuaji.

Pendekezo zuri sana kama kazi ya kutibu ingekuwa inalipa inavyostahili.
 
Labda cheo kibadilishwe na kuwa RAMO (Regional Assistant Medical Officer) na si RMO.Na MO akifika mkoa huo atajengewa mazingira mabaya mpaka akimbie.
 
nimesikitishwa sana na update aliyotupa mleta thread !wana simiyu tuungane kupinga uhuni huu.
 
Mimi nafikiri hata ma-MD mna matatizo, kwa sababu hayo maeneo mkipelekwa huko hamtaki, acha hao wanaopewa hizo nafasi kwa elimu zao mnazoita za kuunga wapewe...
 
Pendekezo zuri sana kama kazi ya kutibu ingekuwa inalipa inavyostahili.

ndo maana kuna medical oficer na health/hospital secretary. Kuna anayehusika na mambo ya afya zaidi na anayehusika na hizo siasa mnazotaka. Kuna vitu ambavyo mtu wa kawaida hawezi kuvijibia vinginevyo awe analazimisha kama magufuli. Kuna wakati inakubidi utumie na theory za darasani na siyo kutumia managerial skills tu, hao mnaoita wanaweza utawala kwenye sekta za watu hawawezi. Ndo maana wahandisi wa mikoa, wilaya ni lazima wawe wamesoma uhandisi. We utachukuaje mtu kasoma arts na kumuita regional/district medical officer? kwani kuna kupiga domo huko?
 
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa ambaye hana sifa hii ni hatari kwa wananchi wa Mkoa wa Simuyu

=================

The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha


==============================

Acheni upuuzi,msishabikie uzembe,naapa huu ni ukaidi na uhaini mkubwa kama serikali ya Mkwere na Mtoto wa mkulima wamebariki ukenge huu basi na serkali yake ni legelege na ni serikali ya kishikaji kwelikweli,inawezekana kweli hili limefanyika kwani mm nilikuwa huko likizo Bariadi makao makuu ya mkoa mpya wa Simiyu mwezi wa Julai 2012,mimi pia niko katika industry na uongozi wa afya kwa miaka 11 sasa angalia vituo vya afya vya Shinyanga a.ka. mkoa mpya wa Simiyu Health Centres zote kama Zagayu HC, hazina uwezo na wataalamu wa kupima hata bakteria wa TB/Kifua kikuu tangu 1961 hadi 2012 ambapo vipimo hivi vinafanyika ktk hospitakli ya wilaya iitwayo Somanda,!!!! huu ni ushenzi tu,hata madaktari bingwa waliopo na maDMOs wa wilaya hizo na za mikoa hiyo pacha waliopo hawajalitambua hilo? pamoja na wafadhili kupeleka inputs na fedha zao huko ili kuwezesha huduma hizo lakini wataalamu hao hawawajibiki kwa hilo,mbona mikoa mingine tunapima TB/HIV mpaka ngazi ya zahanati na resource ni zilezile?, mimi nasema hivi hata huyo AMO anafaa kuwa RMO katika mkoa wa wataalamu wazembe na wasio wajibika kama Simiyu,kwani kwa wale ma MDs na specialist walioko Shinyanya wameusaidia nini mkoa mpya kwani hata kuwajibika kutoa huduma muhimu ya bira malipo ya TB/HIV wameshindwa then mnalalamika kutaka madaraka makubwa wakati bado hamujatimiza majukumu yenu ya msingi???"
 
Acheni upumbavu mbona hapa Rombo ma CO wakienda kusoma MDs hawarudi tuna huku vijijini? hawan uzalendo au tuiteje ??/??????????
 
Haya maelezo ya awali naona hayakubaliani na haya mengine uliyoandika hapa chini, ambayo bila shaka umeyacopy mahali ambayo ndiyo sifa za mtu anayekuwa mganga mkuu wa mkoa, Regional Medical Officer (RMO). Labda unithibitishie kwamba huko kwenye taaluma ya afya mtu mwenye Advanced Diploma hawezi kuwa RMO. Katika taaluma nyingine kama uhandisi na uhasibu kwa kutaja chache, mwenye Advanced Diploma na Mwenye Bachelor Degree wote wanakuwa na nafasi sawa za kitaaluma.



Nilivyoelewa hapa ni kwamba hata kama mtu ana Adv. Diploma ama Bachelor Degree lakini pia anahitajika kuwa na Postgraduate qualification. Je huyo AMO aliyekuwa promoted kuwa RMO ana postgraduate qualification? kwakuwa kwa mtazamo wangu hata mwenye bachelor anahitaji kuwa na postgraduate qualification ili apate nafasi ya kuwa RMO.



Hahaha... Yani mtu alikuwa ni AMO na elimu ya ADvanced Diploma na bila shaka atakuwa na uzoefu wa kutosha wa kutibu binadamu wenzake ndo maana alikuwa amefikia kwenye rank ya kuwa AMO lakini sasa unamuita daktari fake? Mkuu una agenda nyingine dhidi ya huyo bwana ama ni maumivu ya kuona mwenzako kapata promotion?

Acha wivu wa kimaslahi wewe,hao AMO ni tegemeo nchi hii,tena wanachapa kazi kuliko hao MD,s.isitoshe AMOs wamekuwa wakiwafundisha hao mds kazi,tofauti ni cheti tu,hao AMO kwa kazi ni hatari wewe
 
Acheni upuuzi,msishabikie uzembe,naapa huu ni ukaidi na uhaini mkubwa kama serikali ya Mkwere na Mtoto wa mkulima wamebariki ukenge huu basi na serkali yake ni legelege na ni serikali ya kishikaji kwelikweli,inawezekana kweli hili limefanyika kwani mm nilikuwa huko likizo Bariadi makao makuu ya mkoa mpya wa Simiyu mwezi wa Julai 2012,mimi pia niko katika industry na uongozi wa afya kwa miaka 11 sasa angalia vituo vya afya vya Shinyanga a.ka. mkoa mpya wa Simiyu Health Centres zote kama Zagayu HC, hazina uwezo na wataalamu wa kupima hata bakteria wa TB/Kifua kikuu tangu 1961 hadi 2012 ambapo vipimo hivi vinafanyika ktk hospitakli ya wilaya iitwayo Somanda,!!!! huu ni ushenzi tu,hata madaktari bingwa waliopo na maDMOs wa wilaya hizo na za mikoa hiyo pacha waliopo hawajalitambua hilo? pamoja na wafadhili kupeleka inputs na fedha zao huko ili kuwezesha huduma hizo lakini wataalamu hao hawawajibiki kwa hilo,mbona mikoa mingine tunapima TB/HIV mpaka ngazi ya zahanati na resource ni zilezile?, mimi nasema hivi hata huyo AMO anafaa kuwa RMO katika mkoa wa wataalamu wazembe na wasio wajibika kama Simiyu,kwani kwa wale ma MDs na specialist walioko Shinyanya wameusaidia nini mkoa mpya kwani hata kuwajibika kutoa huduma muhimu ya bira malipo ya TB/HIV wameshindwa then mnalalamika kutaka madaraka makubwa wakati bado hamujatimiza majukumu yenu ya msingi???"
hivi ulitaka specialists wakapime makohozi?au ulitaka wasimamie upimaji wa makohozi tena kwenye dispensary?kwa hiyo hutu RAMO wenu ataenda kupima makohozi!

Huo uzoefu wako wa miaka 11 ndio upuuzi tunaopinga hapa,huo uzoefu wako haujaleta tija hapo simiyu.

Kama hamkuwaweka hao specialists kwenye ngazi ya RMO ulitegemea nini?
 
Acha wivu wa kimaslahi wewe,hao AMO ni tegemeo nchi hii,tena wanachapa kazi kuliko hao MD,s.isitoshe AMOs wamekuwa wakiwafundisha hao mds kazi,tofauti ni cheti tu,hao AMO kwa kazi ni hatari wewe

Haha..mkuu kwamba issue hapo ni chetu tu!?..ofcourse wanafanya kazi SI HAKUNA hakuna madaktari wakutosha?!
Elewa tofauti ni nini hasa..na utasemaje, wivu wa kimaslahi huku mishahara yao ni tofauti?
 
umesema vema. Vile vile, wkt AMO anafundishwa jinsi ya kupasua, MD anafundishwa
1. When to cut
2. What to cut
3. How to cut
4. When and what not to cut.
Na hao wanaodai CO na AMO ni wazuri kuliko MD, kwa kigezo cha uzoefu, wanashindwa kufikiri.
MD akitoka chuo, ni wazi akimkuta AMO kazini, atakuwa anazidiwa skills, but baada ya muda fulani, MD anakuwa safi kwa skills na theory, wkt AMO anajua skils tu zaidi.
Na ikimbukwe kuwa MDs ndo walimu wa AMO kwenye vyuo, chini ya Specialist.
Wengi wenu wanamtazama MD anaeanza kazi tu, bila kujua kuwa kuna MD wapo kazini kitambo na wanapiga kazi.
Ht huyo AMO akitoka chuo akamkuta MD, atakuwa mweupe kwenye skils na atahitaji kujifunza na kupata uzoefu.
Na hao jamaa wanafanya malpractice nyingi sana huko wilayani, na ht malalamiko ya rushwa hosp, wahusika waku ni hao junior cadres.

Sasa ndo mkate kichwa badala ya mguu??????
 
Mwisho utasema Engeneer wa mkoa/wilaya awe fundi Sanifu/fundi mchundo mwenye FTC, wkt wenye shahada na sifa za ziada wapo......

Arifu usichanganye mambo hapa, inawezekana huku kwenye kada ya uhandisi hupafahamu vizuri. Post yangu ya mwanzo kwenye thread hii nimeelezea lakini nitarudia tena kwa faida yako na wengine wa aina yako.

Mtu mwenye Advanced Diploma in Engineering ni Mhandisi sawa na Mtu mwenye Bachelor of Science in Engineering au Mtu mwenye Bachelor of Engineering.

FTC ni kada ya chini kwa Engineer, kwahiyo usijichanganye na kuilinganisha na Advanced Diploma. Kwenye engineering tunao wahandisi wa wilaya na mikoa ambao wana Advanced Diploma na wanafanya kazi bila bugudha kutoka kwa wenzao wenye Bachelor degrees. Huko kwenye afya sijui mnasumbuliwa na nini!?

Kitu ambacho niliwauliza na ambacho bado hamjakiweka sawa ni kwanini kwenye sekta yenu ya Afya ma MDs mnajiona bora kuliko ma AMOs?

H
izi kelele tunazoziona hapa mnajenga hoja kwamba AMO kateuliwa kuwa RMO ni kinyume na utaratibu kwa kuwa hana sifa za kielimu, mnataka kutuambia kwamba Advanced Diploma is nothing katika sekta ya afya!!??
 
Acha wivu wa kimaslahi wewe,hao AMO ni tegemeo nchi hii,tena wanachapa kazi kuliko hao MD,s.isitoshe AMOs wamekuwa wakiwafundisha hao mds kazi,tofauti ni cheti tu,hao AMO kwa kazi ni hatari wewe

Pole sana utakuwa umevurugwa wewe si bure. Nilichokiandika kiko very clear sasa unapokurupuka kuniambia niache wivu wa kimaslahi wakati mimi taaluma yangu si huko kwenye afya sasa hapo ndipo nashindwa kukusoma.

Ndio maana nikakupa pole kwa kuvurugwa kwakuwa baadae ulichokuja kuandika haukupinga hoja yangu bali umeishadidia kwa kuelezea huduma bora tunazopata kutoka kwa ma AMOs.
 
Mkuu Mwita Maranya,..hatusemi sisi "binafsi" bali ni utaratibu na hivyo hilo ndilo nadhani lililojadiliwa sana hapa!Yaani he should have a Bachelor of MD, na MPH, 7yrs experience..Na kama ndivyo equating ya Diploma ni sawa na MD,..inakuwaje AMO mwenye EXPERIENCE bado arudi shule tena ili awe MD, If masomo, na cheti kina usawa??

Ukweli ni kwamba, AMOs na MDs kuna UTOFAUTI(ambao watu wameshachangia kabla) lakini kiutendaji wanategemeana!

Pili inategemea katika sera na utaratibu wenyewe, kwamba katika level gani anakuwepo nani, wangapi, wakitoa huduma kwa watu wangapi na chini ya usimamizi wa nani..Hii huanzia katika Dispensary(Zahanati), Health Centre/Kituo cha Afya, Hospitali(Wilaya, Teule, Mkoa, Rufaa, Taifa).

Binafsi nadhani, kuna udhaifu uliopo katika sekta ya Afya, ikiwa ni utofauti wa wazi kati ya MDs na AMOs.(ingawa si sehemu zote)..mfano(mkuu japo nilisoma Ufundi Civil Engineering sijui katika taaluma yenu huko ukoje)..tulikuwa tunafundishwa(shuleni) "HIVI NDIYO INAPASWA" na si kwanini tunapaswa kufanya hivyo...yaani unaweza
ukakuta watu wanabishana the mason v/s foreman..na hii ndiyo hasa tatizo huku kwenye sekta yetu ya Afya...wengine kufanya kwa mazoea na wengine kuhitaji utaratibu ufuatwe!
 
Tumewasiliana na Wadau kutoka Mkoa wa Singida na kupata Dondoo zifuatazo kuhusu Dr Dismas Vyagusa (AMO) aliyeteuliwa kuwa RMO Simiyu

1. AMO huyu hana Elimu ya Form Four wala Six kwani baada ya kumaliza elimu ya msingi alijiunga na mafunzu ya uhudumu wa Afya vijijini ( Rural medical Assistant)

2. Baada ya kuhitimu mafunzo hayo ya Rural Medical assistant alifanya kazi huko vijijini mkoani kigoma kwa kipindi kirefu sana kama RMA
3. Baada ya kuchoshwa na kazi za RMA aliomba kwenda kujiendeleza katika masomo ya Clinical Assistant ( Tabibu Msaidizi) na baada ya kuhitimu mafunzo ya Tabibu Msaidizi aliomba tena kwenda kusoma mafunzo ya utabibu ( Clinical Officer) kwa miaka mitatu
4.Baada ya kusota sana kama Tabibu alifanikiwa tena kwenda kujiendeleza kwa miaka miwili katika Elimu ya Assistant medical Docta (AMO) na baada ya kuhitimu alipangwa kuwa DMO wilayani Kigoma baada ya wilaya hiyo kutokuwa na Dakatari hata mmoja na baada ya hapo alihamishiwa wilaya ya Singida amboko alipangiwa kuwa kaimu DMO
5.Kutokana na ondoa ondoa ya ma AMO kwenye nafasi za DMO inayoendelea hivi sasa, Dr Vyagusa alifanya lobying kwa RC Simuyu Mh Mabiti na kumtaka amkingie kifua afanye kazi nae katika mkoa wa Simiyu kama RMO. Mh mabiti kwa kutokujua tofauti ya AMO na MD alinyanyua waya hadi kwa Mh waziri wa afya nakuagiza AMO huyo apandishwe cheo na kuwa RMO ktk Mkoa wa Simiyu maramoja. Inavyosemekana jamaa kamlambisha fedha ndefu RC Mabiti na pia kamwaga Fedha za kutosha kwa CMO na vijana wa Utumishi na Tamisemi iliwaweze kuifunika CV yake ya kuunga unga

JAMANI CJAWAHI ONA RMO ASIYEKUWA NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE NA SITA LAKINI TUVUTE SUBIRA INAWEZEKANA IKAWA NI PILOT STUDY HONGERA VYAGUSA KWA KUWAINGIZA MKENGE RC WA SIMIYU, WAZIRI WA AFYA NA CMO

:majani7: duh haya ndiyo matokeo ya BORA UTAWALA

AMO ni Assistant Medical Docta?!
 
Kuna Profesional ranks. Mtu mwenye certificate(clinical assistant na sio medical assistant) hawezi kum supervise kitaaluma mtu mwenye MD, kwani kuna mambo mengi mno hajui, atashauri nini na kukosoa au kuweka imput ya kitu asichofaham vema?
Ndo maana yeye level yake ni kusimamia village health post, wala sio dispensary, maana dispensary ni level ya Clinical Officer(mwenye diploma).
Huwezi kuwakuta AMO au CO kwenye referal hosp, kwani level yao kitaaluma hairuhusu, japo wana taaluma.
Kimsingi, AMO taaluma yake ni Diploma ya tiba jamani, ile miaka miwili ya AMO wanafundishwa surgical skills ili kujaribu kuziba pengo la MD.
Siku hz MD wamekuwa wengi, wamekuja kuchukua nafasi zao, wapishwe.
Na hao AMO hasa waliopata kuwa maDMO, hushikwa na hofu sana MD anapotia timu wilayani, kwani huyo ndiye right person kwa nafasi hiyo, walichokuwa wanafanya ni kuwa harass ili MD wakimbie kule.
Nowadays MDs wanakomaa nao huko huko wilayani, na mambo yameanza kubadilika.

Ninachokiona hapa ni muendelezo wa siasa tu katika taaluma, hali kama hii ilipata kuwepo siku za nyuma kwenye taaluma ya uhandisi, ambapo kulikuwa na ubaguzi wa hali ya juu sana kwa wahandisi wenye advanced diploma lakini baade mambo yalikuja kuwekwa sawa, na baada ya kuanza kutolewa kwa shahada ya uhandisi (Bachelor of Engineering) ya miaka mitatu ndipo mzizi wa fitna umekatwa kabisa. Mara nyingi kinachogombewa ni majina tu lakini kitaalamu unakuta wote wanafanya kazi zile zile.

Kwa mtazamo wangu huu ugomvi wa MDs dhidi ya AMOs ukiachwa uendelee bila kupatiwa ufumbuzi itakuwa ni hatari kwa ustawi na maendeleo ya sekta ya afya nchini, na bahati nzuri watanzania wengi tunapenda misifa na utukufu, na zaidi ya yote tunaamini zaidi katika majina ya vyeti kuliko utendaji kazi kwa uhalisia wake.
 
Katika hali inayoendelea kuonesha uozo ulipo katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Waziri wa Afya, Katibu Mkuu na Mganga Mkuu wa Serikali wamehusika katika kumteua Daktari Msaidizi/ Assistant Medical Officer (AMO) kutoka Singida kushika wadhifa wa Mganga Mkuu wa Mkoa (RMO katika Mkoa mpya wa Simiyu. Uteuzi huu umekiuka miongozo inayosema kuwa Mganga Mkuu wa Mkuu natakiwa kuwa Daktari kamili yaani Medical Doctor mwenye shahada ya kwanza ya Udaktari wa Bidanamu na siyo Advance Diploma. Kwa mantiki hiyo Waziri na Timu yake wanachezea Maisha yawana Simuyu kwa kupelekuwa Daktari wa Mkoa ambaye hana sifa hii ni hatari kwa wananchi wa Mkoa wa Simuyu

=================

The Regional Medical Officer The RMO is the equivalent of to the Director, Regional Health Services, who is the team leader and the overall in charge of coordinating the RHMT as a team, linking vertically to the Regional Administrative Secretary and horizontally with other departmental heads within the Regional Secretariat. The RMO is responsible and accountable to the RAS on a day to day basis on administrative and technical issues and is responsible and accountable on professional / technical issues to the Chief Medical Officer of the MOHSW.


Qualification The RMO shall be a graduate in Medical/Dental from a government-recognized university with a postgraduate qualification in Public Health and training in leadership and management. The RMO shall have at least 7 years working experience in district work in a similar position.
Mytake
1. Waziri wa Afya na timu yake wamewazarau wakazi wa mkoa wa Simuyu kwa kuwateulia Mtu ambaye hana sifa kushika nafasi ya Mganga mkuu wa Mkoa

2. Waziri wa afya na Timu yake amewazarau Medical Doctor wote Tanzania wenye sifa ya kushika wadhifa huo na hasa amewadharau Waganga wakuu wa Halmashauri waliopo katika Mkoa wa Simuyu ambao wanasifa za kutosha na kuliko Bosi mteule wa wawaziri na CMO

3 Waziri na timu yake wanamtengenezea mazingira magumu AMO huyo aliyeteuliwa kushika wadhifa wa RMO kwani hataweza kuwasimamia Madaktari ambao wanamdhidi sifa na kisomo na hasa madaktari bingwa katika mkoa huo

4. Jumuia ya Madaktari Tanzania kwasasa inafanya mawasiliano na MoHSW kutengua uteuzi huo na kama wakigoma MDs wote Tanzania wataingia katika Mgogoro na Serikali 5. Huu ni upuuzi mwingine wa wizara ya Afya na OWM TAMISEMI

5. Uteuzi huu unabaraka za JK kama ulivyo uteuzi wa Majaji

6. Waziri aombe radhi kwa MDs wote Tanzania kwa dharau aliyowaonesha


==============================
Mjinga sana wewe mtoa mada, na haina mantiki yoyote ile, hili ndilo tatizo la kusomea vyeti na si ujuzi....watanzania mnatakiwa kubadirika sana na kuondokana na ujinga huu. Hata kama hana vyeti kwani hakuna on job training? by the way yeye kuwa mganga mkuu wa mkoa kwa sehemu kubwa anachokifanya ni administration kuliko kutoa huduma za kitabibu.
Well: Hebu tuambie wale waliofanya operation ya kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa wana elimu gani? au nao ni kina Vyagusa? As much as i know, ni mtu mwenye uwezo mdogo sana kufikiri na kutathimini mambo ndiye anaweza kukubaliana na ujinga huu.

By the way i don't believe in this stupid papers called "Certificates" we have so many **** so called educated, wanasheria waliofanya degree zao Havard, Oxford na kwingineko katika taaluma lakini wamelisaidia nini taia zaidi ya upuuzi na ushenzi uliopitilza.....
Acheni ujinga ujinga wabongo msio tumia akili.
 
Back
Top Bottom