babujii
Member
- Apr 5, 2012
- 95
- 12
sijaelewa ili kuwa RMO inabidi uwe na elimu ya form four au six? huyu jamaa amejiendeleza kitaaluma na ndio taaluma inayotakiwa sasa tatizo ni nini hapa?, nahisi tunashabikia mambo tusiyoyajua. basi kama elimu ya form six ndio inayompa mtu u RMO basi wako wengi mitaani tuwape nafasi hiyo. watanzania tukijidhalilisha kwa kiwango hiki hatufiki mbali najua wengi hatujui sifa za watendaji wengi katika mataifa makubwa tunashabikia porojo za kisomo lakini hatujui elimu ni nini.