Kituko: Mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo abanwa maswali na Mtangazaji wa StarTv na kushindwa kutetea Kauli zake, Wabunge wafundishwe kujenga Hoja..

Kituko: Mbunge wa Arusha, Mrisho Gambo abanwa maswali na Mtangazaji wa StarTv na kushindwa kutetea Kauli zake, Wabunge wafundishwe kujenga Hoja..

Tuanze moja moja..
Ameelza vipi Mbunge wa zamani amechangia Arusha kutoendelea??
sasa apo daktari unataka tuanze mjadala mpaaaana sana, wa nani kafanya nini, lini Arusha, na kwa maslahi ya nani 🐒

nadhani record za kila moja ziko wazi na bayana kabisa.

Na kwa ujumla na kwa kuhitimisha tunaweza kusema tu kwamba, kwa utambulisho wa uongozi wao,
huyu moja alikua wa mtu wa fujo, hekaya , hekaheka na makelele ndani na nje ya bunge na lakini huyu mwingine ni mtulivu , mtu wa maneno na matendo ndani na nje ya Bunge kwa maslahi mapema sana ya watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla 🐒
 
sasa apo daktari unataka tuanze mjadala mpaaaana sana, wa nani kafanya nini, lini Arusha, na kwa maslahi ya nani 🐒

nadhani record za kila moja ziko wazi na bayana kabisa.

Na kwa ujumla na kwa kuhitimisha tunaweza kusema tu kwamba, kwa utambulisho wa uongozi wao,
huyu moja alikua wa mtu wa fujo, hekaya , hekaheka na makelele ndani na nje ya bunge na lakini huyu mwingine ni mtulivu , mtu wa maneno na matendo ndani na nje ya Bunge kwa maslahi mapema sana ya watu wa Arusha na Tanzania kwa ujumla 🐒
Mkuu umejichagulia Swali ambalo sijauliza..

Japo umelijibu vyema ila sikuuliza hilo swali! 😀😀..

Ni Kweli kwa mujibu wa Wasifu zao na huenda vinachangiwa na Malezi waliyokulia kila mmoja Gambo ni very Humble nimewahi kutana naye mara Kadhaa..
Na lema ni mtu asiye na utulivu..

Bado umeenda nje ya swali nililouliza..

Na hivyo ndivyo alivyokuwa akifanya Gambo Sawa alijibu vizuri ila alijibu vitu ambavyo hakuulizwa
 
kakwepa matarajio na majibu ya wenye majibu yao mfukoni [emoji205]

kurate kama kajibu kwa umakini ama laa yanabaki kua maoni na mtazamo binafs wa kila moja [emoji205]

but big win for Gambo,
amejieleza vizuri na kwakweli he deserves second term [emoji205]
Ndo maana mnazidi kuonekana wapumbavu. Hebu tupe sehemu ambayo kajibu vizuri. Upumbavu wa Gambo ni kurusha shutuma kwa Lema kuwa hajafanya kitu jimboni, anaulizwa majukumu ya mbunge hajui, ya serikali hajui, anaulizwa kama magu alisema kwa wale walio wachagua wabunge wa upinzani wasahau maendeleo, Lema atalaumiwa vipi wakati rais ashaliweka wazi? Gambo hakujua ajibuje, yaani kiufupi gambo kaonekana hamnazo kabisa
 
Mkuu umejichagulia Swali ambalo sijauliza..

Japo umelijibu vyema ila sikuuliza hilo swali! 😀😀..

Ni Kweli kwa mujibu wa Wasifu zao na huenda vinachangiwa na Malezi waliyokulia kila mmoja Gambo ni very Humble nimewahi kutana naye mara Kadhaa..
Na lema ni mtu asiye na utulivu..

Bado umeenda nje ya swali nililouliza..

Na hivyo ndivyo alivyokuwa akifanya Gambo Sawa alijibu vizuri ila alijibu vitu ambavyo hakuulizwa
na ndivyo viongozi makini wa wanainchi tunavyogoma kutumbukizwa shimoni kama ambavyo mlibahatisha kwa Prof.Assad kule BBC Swahili hadi mzee wa watu akapata matatizo 🐒

hapana kufungwa, kuelekezwa au kulazimishawa cha kusema au kujibu 🐒

ndio maana hata mjengoni wakati wa kuchangia hoja iliyoko mezani, inaweza kua nyingine na wew unachangia kingine. Ni suala la kutumia platform na muda vizur kudeliver intended message 🐒

hayo mengine yatapata muda mahala pengine 🐒
 
na ndivyo viongozi makini wa wanainchi tunavyogoma kutumbukizwa shimoni kama ambavyo mlibahatisha kwa Prof.Assad kule BBC Swahili hadi mzee wa watu akapata matatizo 🐒

hapana kufungwa, kuelekezwa au kulazimishawa cha kusema au kujibu 🐒

ndio maana hata mjengoni wakati wa kuchangia hoja iliyoko mezani, inaweza kua nyingine na wew unachangia kingine. Ni suala la kutumia platform na muda vizur kudeliver intended message 🐒

hayo mengine yatapata muda mahala pengine 🐒
Katiba ya Tanzania Ina himiza Uwajibika na Uwazi kwa kila Kiongozi..

Na zaidi ikahimiza Mwananchi anayo haki ya kujua Baadhi ya Taarifa bila kufichwa kitu chochote..
Kama ukificha huoni kama Unavunja katiba na kuzuia Uwajibikaji?

Katiba ya CCM Ibara ya 15 ibara ndogo ya 6 ikiongozwa na ibara ya 7 inazuia kutowajibika na inamruhusu mwanachama pale anapoona kashindwa kuwajibika kwa kusema ukweli au kwa kuficha habari kwa Wananchi Sio tusi wala kosa kujikosoa pale unapoona umekosea..

Kitabu alichoandika mwalimu Nyerere kinachoitwa TUJISAHIHISHE..

Kwenye ukurasa wa kwanza Amelenga jamii ya Watu wanaoona kosa na kulifumbia macho na akawaita Wanafiki..
Screenshot_20240321_172406_Adobe Acrobat.jpg


Mwalimu anaendelea kwenye ukurasa wa pili wa kitabu hicho kuwa..
Screenshot_20240321_172647_Adobe Acrobat.jpg


Nyerere anaendelea kusema kuwa..
Screenshot_20240321_172818_Adobe Acrobat.jpg


Sasa kwanini nimekuonyesha yote hayo..

Kwa sababu moja tu utetezi wa makosa Huwa unaghrama kubwa sana ila kutetea upande wa Haki umenyoooka tu
 
Ndo maana mnazidi kuonekana wapumbavu. Hebu tupe sehemu ambayo kajibu vizuri. Upumbavu wa Gambo ni kurusha shutuma kwa Lema kuwa hajafanya kitu jimboni, anaulizwa majukumu ya mbunge hajui, ya serikali hajui, anaulizwa kama magu alisema kwa wale walio wachagua wabunge wa upinzani wasahau maendeleo, Lema atalaumiwa vipi wakati rais ashaliweka wazi? Gambo hakujua ajibuje, yaani kiufupi gambo kaonekana hamnazo kabisa
asie makini pekee ndio anaweza kuingia kwenye mtego wa mahojiano kama yale na asijue intentions za muandishi kwa maswali mawili tu ya mwanzo 🐒

thus why mnalalamika kwa kila alichosema mbunge, alijua mnataka nini pamoja na muandishi halafu yeye akapindisha kidogo tu akaingia msikotarajia 🐒

yowe kila mahali 🤣
 
Mbunge wa mwendazake,ajiandae kufanya kazi zingine,wananchi wa Arusha sio mabumunda
 
Katiba ya Tanzania Ina himiza Uwajibika na Uwazi kwa kila Kiongozi..

Na zaidi ikahimiza Mwananchi anayo haki ya kujua Baadhi ya Taarifa bila kufichwa kitu chochote..
Kama ukificha huoni kama Unavunja katiba na kuzuia Uwajibikaji?

Katiba ya CCM Ibara ya 15 ibara ndogo ya 6 ikiongozwa na ibara ya 7 inazuia kutowajibika na inamruhusu mwanachama pale anapoona kashindwa kuwajibika kwa kusema ukweli au kwa kuficha habari kwa Wananchi Sio tusi wala kosa kujikosoa pale unapoona umekosea..

Kitabu alichoandika mwalimu Nyerere kinachoitwa TUJISAHIHISHE..

Kwenye ukurasa wa kwanza Amelenga jamii ya Watu wanaoona kosa na kulifumbia macho na akawaita Wanafiki..
View attachment 2940932

Mwalimu anaendelea kwenye ukurasa wa pili wa kitabu hicho kuwa..
View attachment 2940934

Nyerere anaendelea kusema kuwa..
View attachment 2940935

Sasa kwanini nimekuonyesha yote hayo..

Kwa sababu moja tu utetezi wa makosa Huwa unaghrama kubwa sana ila kutetea upande wa Haki umenyoooka tu
I love these references daktari 👊

but alichosema mbunge ni Kweli na ni sahihi sana daktari 🐒

laying trap to a politician through media interviews, now days can't work 🐒

tunafanya kazi kule kwa mwananchi mnyonge pale chini, huyo yafaa ndie aulizwe vizuri na kwa undani 🐒

hapa juu kwa viongozi,
tutabishana tyuuuu coz media houses as well as politicians are not trusting each other,
na kwahivyo you can't get a real contents on projects and programmes within costituence....
The truth of everything are on voters pale chini 🐒
 
Alipoulizwa kuhusu Kuleta maendeleo Arusha Mjini bado alionekana ana jing'ata ngata..

Tunahitaji Mijadala ya Kitaifa kwa Viongozi na Maswali magumu kama haya kwa Viongozi ili tujue Kama kiongozi wetu wako vizuri Upstair au Ni Gambo

Maneno yenu na yawe NDIO au HAPANA zaidi ya hapo ni uongo! Taifa lolote au ardhi yoyote linapokuwa na rada isiyosoma ukweli lazima mpotee tu!
 
I love these references daktari 👊

but alichosema mbunge ni Kweli na ni sahihi sana daktari 🐒

laying trap to a politician through media interviews, now days can't work 🐒

tunafanya kazi kule kwa mwananchi mnyonge pale chini, huyo yafaa ndie aulizwe vizuri na kwa undani 🐒

hapa juu kwa viongozi,
tutabishana tyuuuu coz media houses as well as politicians are not trusting each other,
na kwahivyo you can't get a real contents on projects and programmes within costituence....
The truth of everything are on voters pale chini 🐒
Mkuu kama nilivyosema mwanzo!
Na ntaendelea kusema kuwa Gambo Kasema kweli lakini sio sahihi kulingana na maswali na Mazingira aliyoUlizwa..

Unajua kwanini Nimekupa pages za kitabu cha Tijisahihishe kuna kipande nyerere anasema..

Ukisema 2 na 3 Ni 6 unakosea kwasababu kwa Muktadha huu 2 na 3 inaweza ikawa 2x3 au 2+3 So hoja lazima iendane na Swali na mazingira husika..

Soma hoja Ya Baba wa Taifa mwalimu Nyerere Kuhusu Ukweli kwenye Kitabu hicho
Soma paragraph ya Pili hapo..

Screenshot_20240321_172647_Adobe Acrobat.jpg
 
Duuh aisee 🙆 mtangazaji alikua anapiga tuu mshono pale pale chuma juu ya chuma, hapo ilibaki kidogo gambe angetukana alafu hao ndio viongozi wa ccm sasa
 
Alipoulizwa kuhusu Kuleta maendeleo Arusha Mjini bado alionekana ana jing'ata ngata..

Tunahitaji Mijadala ya Kitaifa kwa Viongozi na Maswali magumu kama haya kwa Viongozi ili tujue Kama kiongozi wetu wako vizuri Upstair au Ni Gambo

Duuh, huyu Mrisho Gambo sikujuwa kama ni wa kiwango hicho. Nimemsiliza ni kama upstairs dishi linayumba. Huyu ndiyo anajinadi kujenga hoja ya ushawishi kweli? Hayu ndiye anajinadi kupambana na Lema ktk fair and equal grounds? Thubutu labda Arusha nyingine siyo hiyo ninayoijuwa.
 
Acha kupuyanga ,hivi binamu yake Lema zaidi ya fujo ni nini alifanya alipokuwa mbunge?
Wewe ulitaka afanye nini kama mbunge? Serikali ndiyo inayotoa fedha kugharimia shughuli za maendeleo tena siyo kupitia kwa mbunge hisipokuwa almashahuri. Wewe ni aina ya kina Mrisho Gambo msiojuwa wajibu na kazi ya mbunge.
 
Back
Top Bottom