Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

Kitumbua cha Bibi (PAPUCHI) kuwasha sana, nini tatizo?

Asante sana KOKUTONA Mpenzi,
ila nimeenda cheki mzio,ni kwamba sina.
Labda kitu kimoja, kuna cream nilikuwa naipaka hyo sehemu tu, labda ndio chanzo.

There is possiilities.
Thats why i told u uchunguze vitu ulivyotumia.
 
Asante sana KOKUTONA Mpenzi,
ila nimeenda cheki mzio,ni kwamba sina.
Labda kitu kimoja, kuna cream nilikuwa naipaka hyo sehemu tu, labda ndio chanzo.

uliona pamekuwa peusi kama ya amani wa kenya?
 
Last edited by a moderator:
unanikumbusha enzi za kubalehe niliwahi kutumia shampoo ( siikumbuki jina) kumasturbate. nilipata muwasho mtamu mtamu kama huo! Na haikuwa ugonjwa wowote, baadae ilikata yenyewe. Labda na wewe acha kitumbua kijitibu chenyewe kama hamna ugonjwa.
 
unanikumbusha enzi za kubalehe niliwahi kutumia shampoo ( siikumbuki jina) kumasturbate. nilipata muwasho mtamu mtamu kama huo! Na haikuwa ugonjwa wowote, baadae ilikata yenyewe. Labda na wewe acha kitumbua kijitibu chenyewe kama hamna ugonjwa.

Nashukuru sana.
Ngoja nijaribu.
 
Poleee...
Habarini wadau.
Sijui nielezeje ila ni kwamba najikuna sana hapa mbele (kwenye kitumbua) panapoota nywele.
Nimepima sina fangasi, ugonjwa wa ngozi na wala sina harara.
Nikinyoa,nisiponyoa hali ni ileile.
Ila najikuna sana mpaka nasikia utamu.

Wataalamu, nikapime kipimo gani?
Kumbuka ni mwaka sasa hili tatizo lipo.
 
mmh,natamani na mimi ningeupata huo muwasho.maana mwisho wake unaona raha
 
mmh,natamani na mimi ningeupata huo muwasho.maana mwisho wake unaona raha

kisukari my dear.
Naona raha sana kujikuna, ila tatizo lake ni kwamba huu ugonjwa unapenda sana sifa ukiona watu ndipo unaanza kuniwasha.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom