Kituo cha Biashara Ubungo then asilimia 100 ya products ni imported tena kutoka China, inasikitisha mno

Serikali iondoe Kodi kwenye viwanda vidogo vidogo vya wazawa. Wazawa watauza tu kwa bei shindani.
 
Mfumo wetu wa Elimu ndiyo unatupeleka kwenye hali hii.
China wame-advance technology kupitia Elimu yao kunakowawezesha kuzalisha kwa wingi kupitia technology waliyo nayo na Sasa wanatafuta soko la bidhaa zao.

Hicho kituo kitumike kuuza bidhaa za Tanzania nje ya nchi kwa bidhaa zipi tunazozalisha Tanzania?

Mfano angalia bidhaa ya china Kama yeboyebo (malapa) kwenye masoko yetu zinauzwa 2,500 - 3,000.
Ni technology ipi ya Tanzania unaweza kuzalisha na kuuza kwa bei hiyo sokoni sio kiwandani.
Wenye mamlaka wanaona tupo at right track.

Sisi acha tuendelee kusoma panzi ana miguu mingapi
 
Asante sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…