LGE2024 Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura

LGE2024 Kituo cha Kupigia Kura cha Lugalo, Kawe chakutwa na Maboksi ya Kura zilizopigwa kabla ya muda wa kupiga kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
View attachment 3162893

Kupata taarifa zote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Katika hali isiyokuwa ya kawaida inadaiwa kuwa masanduku matatu (3) ya kura zilizopigwa yamekutwa kwenye chumba cha kupigia kura majira ya saa 12 asubuhi ya leo, Jumatano Novemba 27.2024, ikiwa ni kabla hata ya muda wa kikanuni wa kuanza zoezi la kupiga kura ambao ni saa 02:00 asubuhiInadaiwa kuwa, sintofahamu hiyo imetokea kwenye kituo cha Lugalo, jimbo la Kawe, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam
Halafu ni Wasimamizi ni Walimu na ndio wanaolalamika maisha magumu kila siku
 
Miafrika ndivyo ilivyo, kichwa tikiti maji lakini ubongo gololi...
 
View attachment 3162893

Kupata taarifa zote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Katika hali isiyokuwa ya kawaida inadaiwa kuwa masanduku matatu (3) ya kura zilizopigwa yamekutwa kwenye chumba cha kupigia kura majira ya saa 12 asubuhi ya leo, Jumatano Novemba 27.2024, ikiwa ni kabla hata ya muda wa kikanuni wa kuanza zoezi la kupiga kura ambao ni saa 02:00 asubuhiInadaiwa kuwa, sintofahamu hiyo imetokea kwenye kituo cha Lugalo, jimbo la Kawe, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam
Mimi siyo mwanachsma wa chama chochote ila kamavwatanzania tutashindwa kudai katiba mpya kwa tume hii mimi sitajisumbua kwenda kupiga kura, watu wanaanza kuchakachua kwenye wagombe wanaengua 70%√ kisha wanakuja kwenye mawakala nao wanawaengua bado haotoshi hiyo idadi ndogo ya wapinzani waliyopita asilimia kumi wanafanyiwa mizengwe kabla ya kupiga kura, wanajitoa asilimia 20 ya 70 iliyobaki wanafanyiwa mizengwe siku ya kupiga kura. Sifanyi upambavu huu, nitajikatia kadi yangu ya CCM ili nisiumiye moyo.
 
View attachment 3162893

Kupata taarifa zote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Katika hali isiyokuwa ya kawaida inadaiwa kuwa masanduku matatu (3) ya kura zilizopigwa yamekutwa kwenye chumba cha kupigia kura majira ya saa 12 asubuhi ya leo, Jumatano Novemba 27.2024, ikiwa ni kabla hata ya muda wa kikanuni wa kuanza zoezi la kupiga kura ambao ni saa 02:00 asubuhiInadaiwa kuwa, sintofahamu hiyo imetokea kwenye kituo cha Lugalo, jimbo la Kawe, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam
Uongo tu huo!
 
View attachment 3162893

Kupata taarifa zote kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa kwa kila mkoa ingia hapa: LIVE - LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


Katika hali isiyokuwa ya kawaida inadaiwa kuwa masanduku matatu (3) ya kura zilizopigwa yamekutwa kwenye chumba cha kupigia kura majira ya saa 12 asubuhi ya leo, Jumatano Novemba 27.2024, ikiwa ni kabla hata ya muda wa kikanuni wa kuanza zoezi la kupiga kura ambao ni saa 02:00 asubuhiInadaiwa kuwa, sintofahamu hiyo imetokea kwenye kituo cha Lugalo, jimbo la Kawe, wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam
Hizi ndizo habari ccm wanazipenda.
 
Wakati watu wako kwenye sarakasi na kupigwa jua wanakanyagana na kusukumizana wapige kuraaaa
Wengine Acha tupige capuchino 😄

Ova
 

Attachments

  • 20241127_100509.jpg
    20241127_100509.jpg
    363.6 KB · Views: 2
Nchi hii Bwana sina hamu nayo. Tunazungumzia kuwa kura itakuwa huru na haki. Haki gani hiyo.Kura inapigwa kabla ya saa mbili muda ulliowekwa kisheria.
Ina maana Rais Samia kàtudanganya!? Daktari wa heshima!
 
Back
Top Bottom