Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Hakuna kituo kibaya kama cha Magufuli, mara mia turudi ubungo.
Hakuna sehemu ya kula..siku nimewahi asubuhi natafuta sehemu ninywe chai sikupata, wamejaa mama ntilie walioweka vyakula kwenye ndoo.
Kwenda toilet...vyoo vimejaa tumepanga foleni. Nilikereka sana
Kuna kanjia ukitokea stand ya daladala usipokuwa na miguu mikakamavu unavunja kiuno