Kituo cha mabasi ya mkoani Mbezi Louis chakamilika, kufunguliwa rasmi 25/02/2021, Ubungo kufungwa rasmi Jumatano

Kituo cha mabasi ya mkoani Mbezi Louis chakamilika, kufunguliwa rasmi 25/02/2021, Ubungo kufungwa rasmi Jumatano

Mambosasa ameshindwa kuwatoa wapiga debe ubungo .....Je kule ataweza? Au itakuwa zimamoto ya kubep
 
Watu wa Mbagala muwe mnaondoka siku moja kabla transit mjini 🤣 ila naunga mkono Terminal kutolea nje ya mji ndio maendeleo ila kila jambo zuri lina gharama na changamoto. wasiwasi wangu ni kuwa barabara ya mbezi italemewa na bajaji, bodaboda na taxi hata private hizi ndio changamoto japo njia imetanuliwa ni matumaini kila kitu kitaenda vizuri ila gharama kwa wasafiri zitakuwa kubwa.
 
wasiwas wangu ni wale wezi wanaoingia vyoon unakuta mtu anang'oa koki.yan wtanzania hatuthamin vyetu.

ushauri waweke.mtu awe mlinzi kila choo ahakikishre mtu akiingia haibi koki.vyoo vitakua visaf baada ya muda utakua hutaman kuingia maji yanavuja vuja tafran tupu.

Au wadhibitiwe iwe kama grand central ni wasafir tu wasiwaache iwe sehem ya kijiwe.
 
Kituo kizuri kitapunguza msongamano, ila serikali ifikirie Dar ni kubwa, mtu anaishi Kigamboni Pembamnazi, anaenda Mbeya. Au yupo anayeishi Kisemvule anaenda Kigoma.

Hata kwa watu wa Chamanzi au Chanika wanaosafiri Dar-Moro ni changamoto. Dar-Arusha wazee wa fursa, walishaiona Esther Luxury inawakusanya watu wa njia ya Gongo-la-mboto

Yangu ni hayo tu.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nadhani ni kipindi sahihi cha wezi kuongezeka Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom