MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
Vipi kuhusu miundombinu ya kusafirisha waenda mikoani wanaoishi Gongo la mboto, Chamazi, mbagala, Buguruni, Kawe, Tegeta, Bunju ili wawaahi mabasi yao saa 11: 00 alfajiri. Ubungo ilikuwa rahisi kwao. Sasa huko Mbezi watakiona cha mtemakuni.