Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaah washenzi kweli mim wangeniweka ndani aisehHiko kituo ni cha kipumbavu San. Can you imagine nimemkata mwiz ambae anahusik kw namna moja kw sbb chomb cha usafiri kilichotumik kuiba Mali zang zeny thaman ya 1.8M namkutanacho namkamata nampelek then nakuj Sik ya 3 wanamuachia bila kunip taarif na kithibit au chomb wanampa. Nilishindw kuwaelew wale polisi mafala kbs. Yan waniambia sio yey Yule hajaib so nawauliz yuk wapi nipen MTU Wang wananz kuniuliz Mim eti nikamtafut dah nikasem usenge huu. Na nikawat siku ya pili nikawaambia nikichukua Sheria mkononi msinikamate kw sbb nyie mumeshindw kaz kabis wanasm Mim jeuri. My friend usipelek MTU polic malizan nae kimy kimya now days Nd formula Yang hio maan polisi NAO kumbe ni wez. Incase labda fany hiv ukikama Tandika peleka Mbagala au ukonga au ukimkamat mwiz ostabei peleka Centra au Kilw road hio kidg inawez kuwafany wasijuane San na mwiz . Wezi WA kariakoo usiwapelk msimbasi polisi au central wapelek ukonga au Kilw road mbagal .
We ndie umenena Sasa ukimpeleka kituo Cha mbali hawawezi kukuambia mpeleke kituo alichofanyia tukio.Hiko kituo ni cha kipumbavu San. Can you imagine nimemkata mwiz ambae anahusik kw namna moja kw sbb chomb cha usafiri kilichotumik kuiba Mali zang zeny thaman ya 1.8M namkutanacho namkamata nampelek then nakuj Sik ya 3 wanamuachia bila kunip taarif na kithibit au chomb wanampa. Nilishindw kuwaelew wale polisi mafala kbs. Yan waniambia sio yey Yule hajaib so nawauliz yuk wapi nipen MTU Wang wananz kuniuliz Mim eti nikamtafut dah nikasem usenge huu. Na nikawat siku ya pili nikawaambia nikichukua Sheria mkononi msinikamate kw sbb nyie mumeshindw kaz kabis wanasm Mim jeuri. My friend usipelek MTU polic malizan nae kimy kimya now days Nd formula Yang hio maan polisi NAO kumbe ni wez. Incase labda fany hiv ukikama Tandika peleka Mbagala au ukonga au ukimkamat mwiz ostabei peleka Centra au Kilw road hio kidg inawez kuwafany wasijuane San na mwiz . Wezi WA kariakoo usiwapelk msimbasi polisi au central wapelek ukonga au Kilw road mbagal .
We ndie umenena Sasa ukimpeleka kituo Cha mbali hawawezi kukuambia mpeleke kituo alichofanyia tukio.Hiko kituo ni cha kipumbavu San. Can you imagine nimemkata mwiz ambae anahusik kw namna moja kw sbb chomb cha usafiri kilichotumik kuiba Mali zang zeny thaman ya 1.8M namkutanacho namkamata nampelek then nakuj Sik ya 3 wanamuachia bila kunip taarif na kithibit au chomb wanampa. Nilishindw kuwaelew wale polisi mafala kbs. Yan waniambia sio yey Yule hajaib so nawauliz yuk wapi nipen MTU Wang wananz kuniuliz Mim eti nikamtafut dah nikasem usenge huu. Na nikawat siku ya pili nikawaambia nikichukua Sheria mkononi msinikamate kw sbb nyie mumeshindw kaz kabis wanasm Mim jeuri. My friend usipelek MTU polic malizan nae kimy kimya now days Nd formula Yang hio maan polisi NAO kumbe ni wez. Incase labda fany hiv ukikama Tandika peleka Mbagala au ukonga au ukimkamat mwiz ostabei peleka Centra au Kilw road hio kidg inawez kuwafany wasijuane San na mwiz . Wezi WA kariakoo usiwapelk msimbasi polisi au central wapelek ukonga au Kilw road mbagal .
Sasa si inategemea na eneo tukio lilipotokea? Tukio haliwezi kufanyika mbagala ukaenda kushitaki ukonga. Cha msingi ukiona hujaridhika unaenda ngazi inayofuata tu, mimi hapo chang'ombe kuna mtu nilikuwa na kesi naye ya pesa, akaileta kunilipa, si wakataka tugawane nusu kwa nusu,na wao nikaona huu ni ujinga nikakataa, wakasema basi hakuna kesi, hapa, wakamuachia yule mtuhumiwa na ile pesa wyote wakamrudishia!! Baba nilipambana hadi kwa RPC,mbona pesa yangu yote ililipwa, ikabakia majuto kwa yule mdaiwa, kwani siku ile walichukua laki 5 toka kwa jamaa, eti hakuna kesi!! Siku ya kunilipa anamuuliza RPC, je ile laki tano niliyowapa askari inakuwaje? Akajibiwa kwani ulimpa huyu?!! Akasema hapana akaambiwa kawadai hao hao.Hiko kituo ni cha kipumbavu San. Can you imagine nimemkata mwiz ambae anahusik kw namna moja kw sbb chomb cha usafiri kilichotumik kuiba Mali zang zeny thaman ya 1.8M namkutanacho namkamata nampelek then nakuj Sik ya 3 wanamuachia bila kunip taarif na kithibit au chomb wanampa. Nilishindw kuwaelew wale polisi mafala kbs. Yan waniambia sio yey Yule hajaib so nawauliz yuk wapi nipen MTU Wang wananz kuniuliz Mim eti nikamtafut dah nikasem usenge huu. Na nikawat siku ya pili nikawaambia nikichukua Sheria mkononi msinikamate kw sbb nyie mumeshindw kaz kabis wanasm Mim jeuri. My friend usipelek MTU polic malizan nae kimy kimya now days Nd formula Yang hio maan polisi NAO kumbe ni wez. Incase labda fany hiv ukikama Tandika peleka Mbagala au ukonga au ukimkamat mwiz ostabei peleka Centra au Kilw road hio kidg inawez kuwafany wasijuane San na mwiz . Wezi WA kariakoo usiwapelk msimbasi polisi au central wapelek ukonga au Kilw road mbagal .
Washenzi sana.Chang'ombe ni shida.
Kukabidhiwa kesi kubwa hapo ni jambo la kawaida sana.
Wailes,Boko,Mombo,Taveta,Changani,Mkumba,Njinjo,.........Nimekulia Temeke Wailesi hapo maisha yangu yote naona hicho kituo kama Duka wataalamu watanielewa zaidi...
Mwandiko kama Bata kapita na kuachia HARO
Achana na bhange Zina haribu hakili 😅😅Achana na visungura vinaharibu ulimi.