Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Wabongo mnapenda sana lawama za kisenge, wewe ulishindwa nini kwenda kuomba kufanya kazi ya uwakala kwa siku ya leo ?Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Hebu acha uzushi wewe! Wewe ulikwenda kupigia kura au kuchokonoa yasiyokuhusu!?Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Acha mambo meusi sababu za kuto taja ni zipi? Unatumia jina feki cha ajabu bado unasema unaogopa, umetoka kuzimu niniNasema muda ukifika nitakitaja
Chadema wanamawakala wengi sana twita! Hawafanyi yamsingi mishipa ya shingo imeshupaa eti mitandao imezimwa! Na mwaka huu watapata aibu ya mwaka!Kituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Lissu alisema kama hakuna wakala wa chadema, hivyo vituo kura zisipigwe. Imekuwaje tena mmeshindwa kusimamia hilo?
Huyo anayejaribu kumfariji mwenzake kumpigia kura Mzalendo JPM hapo anamcheka tuu mwenzie..Na akikosa Lissu utabaki na hiyo imani mkuu?
Muongo tu huyu. Mawakala waliyomo amewauliza uwakilishi wao!!Ungekitaja hicho kituo ili kimulikwe kipekee! Vinginevyo itaonekana ni majungu tu!
Nadhani ulisikia figisu zilizokuwa zinaendelea kwa ma DED. Walizuia mawakala wengi sana kuapishwa. Ni maandalizi ya bao la mkonoKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Huku mawakala wamefukuzwa wote wa ccm chadema na vyama vingine sijajua Wana maana gani
Nilishawaambia humu litakaloongea ni box la kura sio porojo za Twitter....Magufuli anaenda kuwafundisha somo zuri leo.Chadema wanamawakala wengi sana twita! Hawafanyi yamsingi mishipa ya shingo imeshupaa eti mitandao imezimwa! Na mwaka huu watapata aibu ya mwaka!
Lissu alisema kama hakuna wakala wa chadema, hivyo vituo kura zisipigwe. Imekuwaje tena mmeshindwa kusimamia hilo?
Nadhani ulisikia figisu zilizokuwa zinaendelea kwa ma DED. Walizuia mawakala wengi sana kuapishwa. Ni maandalizi ya bao la mkono
Wap hko tenaKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.
Figisu ni nyingi Sana. Jana usiku mawakala wamekamatwa sanaKituo nilichopigia kura hakuna wakala hata mmoja wa CHADEMA wala ACT.
Kweli CHADEMA mmeshindwa kupata wakala wa kulinda kura za Lissu? Nimesikitika sana tena sana.
CHADEMA hawana Mbunge alienguliwa, angalau kura za Lissu zingelindwa. ACT Diwani hana wakala.
Nimekata tamaa kama ndiyo hivi.