Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ni akili Mkuu ,labda ungeuliza ...akili za aina gani!?Kusema hakuna kufunga mipaka halafu unaruhusu wakanunue chakula nje walete ndani , hiyo ni akili au mavi
Hiyo Ndio maana yake...ukiona Mwanasiasa anasema Rais anashauriwa vibaya ...basi ujue ana maanisha Rais Hafai!Kwa lugha nyepesi Kitwanga anasema Rais ni kilaza kwani hao washauri ni wateule wake mwenyewe na pia siyo kila ushauri aukubali. Sukuma Gang endeleeni tu kuishambulia Chadema na Lissu lakini adui ni CCM na Msoga Gang.
Kimsingi Charles Kitwanga amemdharau Samia.Hiyo Ndio maana yake...ukiona Mwanasiasa anasema Rais anashauriwa vibaya ...basi ujue ana maanisha Rais Hafai!
🤔🤔🤔🤔🤔🤔Rais kwa mdomo wake
" Kun wengine mnakosea, mkiondolewa mnakimbilia kwa magodfather wenu, nao mbio hadi kwa Rais..."
Inaonekana kuna watu wako nyuma wanapush
Ndo maana kuna mambo ya ajabu ajabu yanayotokea
Anaona labdaNa kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.
Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Alicho kisema Mh kina ukweli mkubwa hasa ukizingatia Kuna usiri mkubwa ktk mambo yakitaifa. Watu wamelala ila yanayo endelea yanatisha let hope for good.Kitwanga anasema kuna kundi ambalo limejipenyeza kwa rais na kila mahala linamshauri vibaya Rais.
==========
WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga, amesema kuna kundi linalomzunguka Rais Samia Suluhu Hassan ambalo limekuwa likiweka vigingi kwa watu, wakiwamo wataalamu, wanaotaka kushauri kuhusu mambo mema ya kuipeleka nchini pazuri zaidi.
Kitwanga amesema mbali na kuweka vigingi kwa watu wenye nia njema, kundi hilo limekuwa likiwaona tishio, hivyo kuwachafua, ili kulinda masilahi binafsi. Amemwomba Rais kuwa makini na kundi hilo.
Kitwanga alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mambo mbalimbali yanayoendelea nchini na kwamba ameona kuna umuhimu wa kumshauri Rais Samia kupitia vyombo vya habari.
Alisema kundi hilo limejipenyeza katika kila sekta zikiwamo taasisi za umma na kwamba lengo lake ni kuharibu nchi kwa maslahi binafsi.
Chanzo: Nipashe
Bashe ni Moja ya mawaziri wasanii sana , hili la Chakula tumezungumza sana ila akakaza fuvuSio Tu kujua bei Hadi kujua industry ikoje..Nani wanaofaidika...
Bashe kamshawishi Samia kuwa kufungua mipaka kunafaidisha wakulima ..wanauza bei nzuri vyakula Kenya,Commoro etc...while kiukweli wakulima ndo wamepigwa..
Madalali walishanunua vyakula wakati wa mavuno wakahifadhi now ndo wanauza huko nje...Bashe anadanganya watu anatetea 'wakulima' while wakulima wenyewe wanalia...bei za vyakula Tz now ni historic....haijawi kutokea..
Ma Rais wote kipindi hiki walikuwa wanafunga mipaka Ku control bei..
Juzi waziri mwingine anakuja na solution ingine ya kuagiza vyakula nje ili Ku offset bei ya vyakula ya ndani...
Rais kama Yuko katikati...hajui aende na lipi huku watu wanaumia....
Rais kiuhakika anahitaji watu wa kumpa taarifa sahihi na kujua exactly hao watu sahihi wako wapi
Huyu ni mbwa koko mmoja mlamba asali. Sasa hivi yeye kazi yake ni kumkingia kifua Samia kwa gharama yoyote ile kwa sababu tu ya uislamu. Zitto anasema anaempinga samia anapinga uislamu hivyo atapambana kuhakikisha samia yuko salama.wanagenge wameanza kujitokeza. Mnafki mkubwa huyu mchawi. Yeye aliposema raia wakazikwe na magufuli alipima kauli? Makamba aliposema wazuri hawafi alijitokeza wapi kusema watu wapime kauli? Mwisho wa watu kama hawa hua mbaya sana
Makundi ya msoga.Hv mama inatakiwa ashauriwe na kundi au makundi?
Kama Wana SimbaKwasasa SUKUMA Gang wanapitia wakati mgumu mno
Sio Tz tu, kwa Afrika yote hayo uliyouliza yanawezeka kabisa.Hivi tuna Rais asiye na akili zake yeye mwenyewe?
Tuna Rais asiye na uwezo wa kutenganisha pumba na mchele?
Huwa sizielewi kabisa hizi habari za Rais kushauriwa vibaya!
Ushauri upi mbaya aliopewa Rais ?Na kama Rais kila mara anakubali huo ushauri mbaya, basi naye ndie hafai kabisa, ametokea kukiamini kikundi cha watu wachache no matter what bado anaendelea kukiamini tu, anajiharibia kabisa.
Anaonekana ameshikiwa akili, na members wa hicho kikundi nao sasa wanajua wamemshika akili, hivyo wanafanya watakavyo, matokeo yake nao sasa wamejigeuza "marais" kwenye idara zao.
Hayo ndio matokeo ya kuwa na Rais dhaifu, ni sawa na baba nyumbani asiewakanya wanae, anawaacha wafanye vile watakavyo, matokeo yake kila mtoto atajiamulia cha kufanya.
Rais anashauriwa vibaya na sukuma gang.Hivi tuna Rais asiye na akili zake yeye mwenyewe?
Tuna Rais asiye na uwezo wa kutenganisha pumba na mchele?
Huwa sizielewi kabisa hizi habari za Rais kushauriwa vibaya!
Watu wamelala ila yanayo endelea yanatisha
Ushauri wake ndio huo kuwa Mama anashauriwa vibayaBwana kitwanga fanya home work yako.
Halafu pia weka mapendekezo ya shauri ambazo wewe unaona ni nzuri na list ya watu ambayo wewe unadhani wanafaa kumshauri rais
Mchawi wa nchi hii ni CCM/Huu ndio ukweli.
Manyumbu yamesinzia FOFOFO.
FAFAFA.