MajaliwaJeremiah
Member
- Jan 22, 2023
- 88
- 51
Well said, wengi mambumbumbu, hawajui hata nini maana ya kuwa na serikali. Serikali lazima itishe wahalifu, wazembe na wanafikiRais anaweza kuonekana dhaifu lakini anapoamua kushughulikia watu kwa mamlaka yake huwa tunakuja humu jukwaani na kuanza kulialia tukisema rais huyu ni dikteta,
Hayati JPM aliamua kutokuwa dhaifu na mpaka miaka miwili akiwa kaburini bado wapo watu wanaoulalamikia uongozi wake.
SSH sio dhaifu kama tunavyodai, ameruhusu uongozi wake uheshimu demokrasia na amewapa watu uhuru wa kufanya kazi kwa mujibu wa taratibu.