Kitwanga: Kuna kundi linalomshauri vibaya Rais Samia

Well said, wengi mambumbumbu, hawajui hata nini maana ya kuwa na serikali. Serikali lazima itishe wahalifu, wazembe na wanafiki
 
Mimi nakwambia tubadilike tutoke huko unakosema, twende kilimo smart, halafu wewe unasema kilimo cha Tanzania sikijui?

Katika dunia ya leo ya smartphone, mkulima ana excuse gani ya kutegemea middle man?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…