Mkuu shughuli za kilimo Tanzania huzijui kabisa. Kwamba wauze mitandaoni? Hakuna kitu kama hicho.
Sehemu kubwa ya wakulima Tanzania wanalima ili kuishi, kujikimu, ni wachache wenye uwezo wa kulima, kuvuna na kuhifadhi kutafta soko, na hao hawalimi wananunua kwa wakulima.
Kilimo Tanzania ni changamoto kubwa, hadi mazao yanamfikia mlaji yamepita kwenye mikono ya madalali ama watu kati karibu 9.