Kiufundi kwa Yanga SC niionayo sasa Kiubora na Spirit ya Wachezaji wake ikibaki hivi hivi Al Ahly FC anakufa Dar na Cairo

Kiufundi kwa Yanga SC niionayo sasa Kiubora na Spirit ya Wachezaji wake ikibaki hivi hivi Al Ahly FC anakufa Dar na Cairo

75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika (Nje ya Uwanja) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo (hasa Jumatatu) Kinujumu (Kinyota na Kitarehe) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo
 
ANAANDIKA GENTA MIMAVIII USHIRIKINA WA TAMBI TAMBI.

"75% Yanga SC inafungwa leo na 25% wataibahatisha Sare kwa Azam FC. Kuna Mambo yamefanyika (Nje ya Uwanja) na yamewashinda Wataalam Watatu wa Yanga SC na hata baadhi ya Viongozi Wao wameshajua kuwa leo (hasa Jumatatu) Kinujumu (Kinyota na Kitarehe) si Siku nzuri Kwao Kimatokeo"


GENTAMIMAVIIIIII
Mpira ni sayansi sio ushirikina msabato mwenzangu

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Mpira ni sayansi sio ushirikina msabato mwenzangu

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app

Ni ANDIKO la jamaa Mmoja MJINGA MJINGA.

Kila siku tunamwambia kama Mpira ungekuwa ni USHIRIKINA Nigeria Angekuwa BINGWA wa KIHISTORIA na mtetezi WA Kombe la Dunia.

Congo/Zaire iliwahi kucheza kombe la Dunia Mwaka 1972

Mobutu alipeleka zaidi ya waganga na wachawi na washirikina 12

Congo ikapigwa goli 9-0 na Yugoslavia ya wakati huo.

Sumba wanga hakuna hata timu ya LIGI KUU.

Lakini Tukimuelekeza huyo mtu Haelewi
 
Mpira ni sayansi sio ushirikina msabato mwenzangu

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app

Screenshot_20231027-082303.jpg
 
Haya ndo madhara ya kupewa tuzo eti ya member bora jukwaa la michezo. Sasa umekwa mtu wa kusifia tu ata pasipostahili.
Namimi nakuambia kwa Al ahly hii, Yanga anakufa nje ndani.
Kwahiyo wewe ndio una haki tukufu ya kuwaza vile unaona ni sahihi, Wakati Yanga anakufa nje ndani wewe utakuwa unacheza namba gani kwenye hicho kikosi?
 
Samahani kaka unawazungumzia Yanga hawa hawa waliopigwa na IHEFU. (UTOPOLO)
 
Ni ANDIKO la jamaa Mmoja MJINGA MJINGA.

Kila siku tunamwambia kama Mpira ungekuwa ni USHIRIKINA Nigeria Angekuwa BINGWA wa KIHISTORIA na mtetezi WA Kombe la Dunia.

Congo/Zaire iliwahi kucheza kombe la Dunia Mwaka 1972

Mobutu alipeleka zaidi ya waganga na wachawi na washirikina 12

Congo ikapigwa goli 9-0 na Yugoslavia ya wakati huo.

Sumba wanga hakuna hata timu ya LIGI KUU.

Lakini Tukimuelekeza huyo mtu Haelewi
Mjinga Mjinga ambaye 24/7 Unamfuatilia tu hapa JamiiForums. Mkiitwa Wapumbavu mnakasirika.
 
Genta una madini sana kichwani sema watu hua wanakuja kustuka wakati muda ushaenda..
Nasikitika umechelewa Kuujua huo Uwezo wangu mkubwa Kichwani na kuwa na Madini mengi ya kila Nyanja.

But thanks for the Credits.
 
Ukiuangalia Uchezaji wa Simba SC yangu na wa Watani zangu Yanga SC utaona tofauti Kubwa mno na ndiyo maana GENTAMYCINE leo sioni Aibu wala Siogopi kusema kuwa kwa Yanga SC hii ya sasa na nilivyowaona Al Ahly FC kwa Mechi zao Mbili hizi walizocheza na Simba SC nawaona Yanga SC wakikutana nao katika Mechi zao Mbili za CAFCL watashinda Mechi zote au watashinda Moja na kutoka Sare Moja jambo ambalo litawabeba kwa Alama ( Points ) katika Kundi lao Gumu ( la Kifo ) na hata Kusonga mbele.

Uzi wangu huu wa kusema Ukweli ukikukera au ukiuchukia nakuomba tu tafuta Sumu ya Panya popote ilipo Unywe ili Ufe kabisa na Kisununu / Kinyongo chako cha Kishamba na kutopenda kusikia Uwazi wa Kimchezo usioutaka na usioupenda pia.
Imebaki tu uhamie Yanga mwamba..!!!
 
Back
Top Bottom