Kiufundi Simba Kuna tatizo kubwa

Kiufundi Simba Kuna tatizo kubwa

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Mechi 3 bao 0 yaani ufungi bao dakika 270 kwenye mpira haya ni maajabu kwa timu inayotetea ubingwa.

Wachezaji hawajitumi Wala hawana Hali kabisa ukiwatazama usoni.

Pamoja na kuuza wachezaji wawili ila Simba Kuna tatizo la kiufundi kwani Kuna mechi nyingi msimu ulioisha chama alikuwa amefiwa hakucheza lakini Simba walipata matokeo.

Ushauri benchi la ufundi Simba lifumuliwe inaoneka either kocha anaingiliwa maamuzi haiwezekani leo Maneno ya watu yasababishe Mugalu asipangwe.

Hii imeonyesha uwezo mdogo wa bench la ufundi.
 
Twende dodoma tupoteze ndo akili itaka sawa
Mm mmh wale Dodoma Jiji ndo wameanza na moto balaa, Simba wasiende kinyonge Coz tayar washatengeneza confidence kwa hivi vitimu vidogo
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kiwango Cha Banda na Nyoni wote kwa pamoja awamfikii Ajibu. Sakho na mwelewa kidogo Ila anatakiwa acheze Kama winga.
 
Hii timu imeshinda ligi ×4, ASFC ×3 na caf CL QF ×2

Baada ya mafanikio yote hayo ni kawaida morale ya kushinda inashuka.

Tunahitaji timu mpya changa yenye wachezaji wenye njaa ya mafanikio

Mwenda, Inonga, Abdusamad, Mhilu, Kanoute, Sakho, Banda, Nyoni, Mwanuke na Kibu ni mwanzo mzuri.

Msimu ujao tutaendelea kutengeneza timu mpya.
 
Mechi 3 bao 0 yaani ufungi bao dakika 270 kwenye mpira haya Ni maajabu kwa timu inayotetea ubingwa.

Wachezaji hawajitumi Wala hawana Hali kabisa ukiwatazama usoni.

Pamoja na kuuza wachezaji wawili ila Simba Kuna tatizo la kiufundi kwani Kuna mechi nyingi msimu ulioisha chama alikuwa amefiwa hakucheza lakini Simba walipata matokeo.

Ushauri benchi la ufundi Simba lifumuliwe inaoneka either kocha anaingiliwa maamuzi haiwezekani leo Maneno ya watu yasababishe Mugalu asipangwe.

Hii imeonyesha uwezo mdogo wa bench la ufundi.
Mkuu, wewe ni shabiki wa Simba??? Kama ndio, huogopi utaitwa Uto????
 
inaelekea kuna ufaza wa wachezaji, Boko alistahili kuondolewa mapema lakini aliachwa hadi mwisho na akang'ang'ania kupiga penati ili baadae alazimishe ufungaji bora. Dilunga ni mzuri akianza sub ila wanamuanzisha mchango wake sio mkubwa. Ila uzuri tunavyoanza vibaya tukiparurana mwisho tunamaliza vizuri.
 
Mwanzoni mwa ligi Simba huwa anaanza na matokeo haya haya huku Uto wakianza kwa kutakata kweli kweli .Leo naishia hapa.

Ila Simba haipaswi kuishi kwa mazoea.
 
Kumbuka leo zilikutana timu wakilishi katika mashindano ya Afrika.
Simba naiona timu nzuri sana.
Kule mbele kukiwa na
Mhilu,
Sakho,
Duncan
Morrison

Kati
Kanutte
Bwalya

Litakufa Jitu
 
Kanoute Bwalya
Banda Sakho Mhilu D.Nyoni

Hapo kuna timu moja balaa inatengenezeka. Ni muda tu unahitajika.

Bocco na Kagere walikuwa kama miti kule mbele, hawana movement. Wakiondolewa kwenye first 11 tutakuwa very dynamic team.
 
Back
Top Bottom