Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Tanzania tuna uhaba wa viongozi imara.
Tulionao wengi ni waigizaji tu.
Ukiachana na hao wazee wa maigizo.
Sisi pia wananchi tuna matatizo makubwa maana hatupendi kufanya kazi tunapenda short cut.
Ndio maana hao mitume na manabii kujaza watu wanaotafuta miujiza ni kawaida sana.
Tulionao wengi ni waigizaji tu.
Ukiachana na hao wazee wa maigizo.
Sisi pia wananchi tuna matatizo makubwa maana hatupendi kufanya kazi tunapenda short cut.
Ndio maana hao mitume na manabii kujaza watu wanaotafuta miujiza ni kawaida sana.