ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Ni utaratibu wa haki au ni utaratibu batili ??Kushinda na kutangazwa ni ishu mbili tofauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni utaratibu wa haki au ni utaratibu batili ??Kushinda na kutangazwa ni ishu mbili tofauti
Hata wakiweka jiwe, litashinda....Habari za usiku wakuu!
Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.
Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.
NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.
Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.
Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.
Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.
Acha nipumzike sasa
Mmh !Tuache masihara kama taarifa zinasema 2020 Hayati Dr Magufuli hakushinda Dr Samia atawezaje?
Ni kweli atapata 90% ya mazombie watakaojitokeza kupiga kura kwenye huo uchaguzi wa maigizo, lakini kwenye uchaguzi serious hawezi kupata hiyo figure.Upinzani wa akina Mbowe au unazungumzia Gen z wa Kenya?😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️
2025 mama anaramba 90% ya kura. Nchi hii hhaijawahi kupata wapigakura wanaojitambua.
kwa uandishi huo sidhani kama una degree.
Kipimo Cha uchizi ni kua mfasi wa siesimu, madaktari tunaelewana miandiko. Usihangaike na usichokiweza mazeee.kwa uandishi huo sidhani kama una degree.
mimi wala siyo mwanachama we kadama kayagamba.Kipimo Cha uchizi ni kua mfasi wa siesimu, madaktari tunaelewana miandiko. Usihangaike na usichokiweza mazeee.
Mbona mama yako hajabebwa na dola?..Mama Abdul tayari ni Rais hivyo uwezo wake na mapungufu yake ni mambo yanayojulikana.
..Kwa maoni yangu Mama amebebwa na mfumo wa Ccm. Mama sio mahiri, wala mpambanaji, na angekuwa ktk chama cha upinzani huku Tanganyika hakuna mtu angemfahamu.
..Wanasiasa wengi wa Ccm hawana uwezo lakini wanafanikiwa kisiasa kwa kupata msaada mkubwa wa dola.
..Mama Abduli atakuwa na wakati mgumu ikiwa atapambanishwa mgombea wa upinzani mwenye fedha na rasilimali za kufanya kampeni nchi nzima.
Ndio maana CCM wanajenga taifa la mazombie. Ili wapate kula za mazombi wanatengeneza na upinzani wa mazombi. 😂️😂️😂️😂️Ni kweli atapata 90% ya mazombie watakaojitokeza kupiga kura kwenye huo uchaguzi wa maigizo, lakini kwenye uchaguzi serious hawezi kupata hiyo figure.
Mbona mama yako hajabebwa na dola?
Kuna Mtu alisema ukiwa Mwanaccm hata mbinguni utaisikia tu😅😅😅Kipimo Cha uchizi ni kua mfasi wa siesimu, madaktari tunaelewana miandiko. Usihangaike na usichokiweza mazeee.
😂😂😂😂Mkuu ungemtaja tu ni Lucas Mwashambwa
A big noIla kupunguza zereuuu za CCM inabidi kweli apite mpinzani 2025,Heshima itarudi hata wakija kuchukua nchi.Angalizo,Mbowe hatumtaki,Lisu atulie tunajua nimtu smart lakini Energy ya kazi kubwa kama Urais hataweza.Wamchukue Makonda au Mpina au yeyote hakika nchi wanabeba.
Mpinzani yeyote.
Anaweza kutoka hata hukohuko CCM
Penda wasipende! Kataa goma susa Rais wa JMT ni Tundu Antiphas Lissu. Hata arembue mimacho na kuyatuma majini ya kizmkz hakuna namna!Habari za usiku wakuu!
Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.
Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.
NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.
Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.
Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.
Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.
Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.
Acha nipumzike sasa
Waache mazoea ya fomu moja,watoe fursa kwa wengine wachukue fomu na kujaza washindanishwe ndani ya chamaKwahiyo unaishauri CCM Kuna na mgombea mwingine kabisa?
Toa hilo ligaraza bashite hata kama amekulevya kwasasa nchi hii Lisu hana mpinzaniIla kupunguza zereuuu za CCM inabidi kweli apite mpinzani 2025,Heshima itarudi hata wakija kuchukua nchi.Angalizo,Mbowe hatumtaki,Lisu atulie tunajua nimtu smart lakini Energy ya kazi kubwa kama Urais hataweza.Wamchukue Makonda au Mpina au yeyote hakika nchi wanabeba.
Mkuu una haki ya kutoa maoni yako. Kwa upande wangu na utafiti mdogo usiokuwa rasmi niliofanya nimegundua Tundu Lissu hakubaliki kama anavyokubalika William Lukuvi.Hili ni kweli. Huku kwetu Shinyanga na Simiyu hata usiseme, hakubaliki. Hawajui hata kama nchi Ina Rais anaitwa Samia!
Absolutely. Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla ndiyo wanazidi kumdidimiza kabisa na kumpaka mavi. Ananuka balaa;
Hapa umechemka. Hujui unawaza nini na pengine hujui kuwa hujui
Hivi Tundu Lissu unaweza kulinganisha na Edward Lowassa wewe?
This guy ni kitu kingine. He's a "chosen one" for this nation!
Unaharibu kila wazo lako. Unaleta ujinga mtupu hapa. Unasema mwana CCM? Nani? Samia huyu?
Stop that nonsense!
Hakuna kitu hapo. Labda hukohuko CCM ili apitishwe kwa mtutu wa bunduki.
Hakuna mtu anajua huyu. Huku Simiyu na Shinyanga na Mwanza ukitaja jina hili, watakuuliza ndicho kitu gani hicho?
Mtu ambaye ni very famous kwa Sasa kuliko wote Tanzania ni Tundu Lissu peke yake whether uwe unataka au hutaki, unampenda au humpendi lakini this is undeniable fact!
Huyu akisimama kwenye u - Rais hata akikaa nyumbani tu, anajulikana si kwa sura tu bali pia kwa usafi wa kimaadili na maisha yake. Na kukiwa na uchaguzi huru na wa haki Tundu Lissu anamshinda yeyote kura zaidi ya 90%
Unataka ku - prove hili?
Muulize John P. Magufuli alifanya nini mwaka 2020. Muulize kura za u - Rais Jimbo kwa Jimbo ziko wapi mpaka Sasa. Ni kwa sababu alipigwa na Tundu Lissu mpaka aibu hata hawawezi kuzitoa kura hadharani na pamoja na jitihada za kujaribu kughushi, yote yalishashindikana!!!
Kwa heri🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️
Mimi sio mwanasiasa bali ni mfuatiliaji tu wa mambo yanayotokea hapa nchini kwenye kila nyanja.Mkuu anzisha chama uchukue nchi. Sisi wapiga kura wengi tunaojitambua hatuna muda tena wa kupoteza kujitokeza kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Ila kwakuwa huko vijijini bado wanaimani na hayo maigizo yaitwayo uchaguzi, changamkia hiyo fursa kwa kuanzisha chama ubebe nchi.
Simkubali sana Bashitee, Lissu kachoka nyie Urais kwa mtu mwenye Nia ya kujenga nchi anatakiwa awe Imara Sanaa kiafya.Toa hilo ligaraza bashite hata kama amekulevya kwasasa nchi hii Lisu hana mpinzani