Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Pre GE2025 Kiukweli 2025 simuoni Rais Samia akishinda kwenye Boksi la kura kama upinzani wakiweka mtu mahiri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.

Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Hata wakiweka jiwe, litashinda....
 
Upinzani wa akina Mbowe au unazungumzia Gen z wa Kenya?😂️😂️😂️😂️😂️😂️😂️

2025 mama anaramba 90% ya kura. Nchi hii hhaijawahi kupata wapigakura wanaojitambua.
Ni kweli atapata 90% ya mazombie watakaojitokeza kupiga kura kwenye huo uchaguzi wa maigizo, lakini kwenye uchaguzi serious hawezi kupata hiyo figure.
 
..Mama Abdul tayari ni Rais hivyo uwezo wake na mapungufu yake ni mambo yanayojulikana.

..Kwa maoni yangu Mama amebebwa na mfumo wa Ccm. Mama sio mahiri, wala mpambanaji, na angekuwa ktk chama cha upinzani huku Tanganyika hakuna mtu angemfahamu.

..Wanasiasa wengi wa Ccm hawana uwezo lakini wanafanikiwa kisiasa kwa kupata msaada mkubwa wa dola.

..Mama Abduli atakuwa na wakati mgumu ikiwa atapambanishwa mgombea wa upinzani mwenye fedha na rasilimali za kufanya kampeni nchi nzima.
Mbona mama yako hajabebwa na dola?
 
Ni kweli atapata 90% ya mazombie watakaojitokeza kupiga kura kwenye huo uchaguzi wa maigizo, lakini kwenye uchaguzi serious hawezi kupata hiyo figure.
Ndio maana CCM wanajenga taifa la mazombie. Ili wapate kula za mazombi wanatengeneza na upinzani wa mazombi. 😂️😂️😂️😂️
 
Ila kupunguza zereuuu za CCM inabidi kweli apite mpinzani 2025,Heshima itarudi hata wakija kuchukua nchi.Angalizo,Mbowe hatumtaki,Lisu atulie tunajua nimtu smart lakini Energy ya kazi kubwa kama Urais hataweza.Wamchukue Makonda au Mpina au yeyote hakika nchi wanabeba.
A big no
 
Habari za usiku wakuu!

Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu kwa wananchi waliowengi.

Najua wapo wapambe ambao wataukataa huu ukweli kwa manufaa wanayoyajua wao wenyewe. Lakiñi huku mtaani ni dhahiri kuwa Nyota ya Mama bado ipo chini. Hakubaliki.

NI vile upinzani nao upo legelege, haueleweki lakini acha tuone mpaka mwakani huenda mambo yakabadilika.

Akitokea mpinzani mzuri hasa anayetokea Bara nina hakika Samia atakuwa kwenye wakati mgumu kutetea kiti chake kwa njia halali.
Sijui kwa upande wa figisufigisu.

Kingine, Rais Samia kwenye kuongea hasa wakati wa kampeni sina hakika atazungumza kwa namna ipi ili kushawishi wananchi.

Maana uoñgeaji wake haupo kwa namna ya kushawishi. Anawéza akawa anaelezea vizuri lakini sio kueleza katika kiwango cha kumshawishi mtu kitu ambacho kwenye siasa ni kikubwa.

Binafsi nasubiri kwa hamu panapo majaliwa nione hizo kampeni.

Acha nipumzike sasa
Penda wasipende! Kataa goma susa Rais wa JMT ni Tundu Antiphas Lissu. Hata arembue mimacho na kuyatuma majini ya kizmkz hakuna namna!
 
Ila kupunguza zereuuu za CCM inabidi kweli apite mpinzani 2025,Heshima itarudi hata wakija kuchukua nchi.Angalizo,Mbowe hatumtaki,Lisu atulie tunajua nimtu smart lakini Energy ya kazi kubwa kama Urais hataweza.Wamchukue Makonda au Mpina au yeyote hakika nchi wanabeba.
Toa hilo ligaraza bashite hata kama amekulevya kwasasa nchi hii Lisu hana mpinzani
 
Kwahiyo wewe una amini kuwa mshindi huwa anapatikana kwenye yale ma boksi?
 
Hili ni kweli. Huku kwetu Shinyanga na Simiyu hata usiseme, hakubaliki. Hawajui hata kama nchi Ina Rais anaitwa Samia!

Absolutely. Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla ndiyo wanazidi kumdidimiza kabisa na kumpaka mavi. Ananuka balaa;

Hapa umechemka. Hujui unawaza nini na pengine hujui kuwa hujui
Hivi Tundu Lissu unaweza kulinganisha na Edward Lowassa wewe?
This guy ni kitu kingine. He's a "chosen one" for this nation!

Unaharibu kila wazo lako. Unaleta ujinga mtupu hapa. Unasema mwana CCM? Nani? Samia huyu?
Stop that nonsense!

Hakuna kitu hapo. Labda hukohuko CCM ili apitishwe kwa mtutu wa bunduki.

Hakuna mtu anajua huyu. Huku Simiyu na Shinyanga na Mwanza ukitaja jina hili, watakuuliza ndicho kitu gani hicho?

Mtu ambaye ni very famous kwa Sasa kuliko wote Tanzania ni Tundu Lissu peke yake whether uwe unataka au hutaki, unampenda au humpendi lakini this is undeniable fact!

Huyu akisimama kwenye u - Rais hata akikaa nyumbani tu, anajulikana si kwa sura tu bali pia kwa usafi wa kimaadili na maisha yake. Na kukiwa na uchaguzi huru na wa haki Tundu Lissu anamshinda yeyote kura zaidi ya 90%

Unataka ku - prove hili?

Muulize John P. Magufuli alifanya nini mwaka 2020. Muulize kura za u - Rais Jimbo kwa Jimbo ziko wapi mpaka Sasa. Ni kwa sababu alipigwa na Tundu Lissu mpaka aibu hata hawawezi kuzitoa kura hadharani na pamoja na jitihada za kujaribu kughushi, yote yalishashindikana!!!

Kwa heri🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️🚶🏼‍♀️
Mkuu una haki ya kutoa maoni yako. Kwa upande wangu na utafiti mdogo usiokuwa rasmi niliofanya nimegundua Tundu Lissu hakubaliki kama anavyokubalika William Lukuvi.

Lakini kila mtu yuko huru kutoa maoni yake.

Sababu za Watanzania kumkataa Lissu ni pamoja na mafungamano aliyonayo na wazungu ambao wanaunga mkono sera za mashoga.
 
Mkuu anzisha chama uchukue nchi. Sisi wapiga kura wengi tunaojitambua hatuna muda tena wa kupoteza kujitokeza kwenye hizi chaguzi za kishenzi. Ila kwakuwa huko vijijini bado wanaimani na hayo maigizo yaitwayo uchaguzi, changamkia hiyo fursa kwa kuanzisha chama ubebe nchi.
Mimi sio mwanasiasa bali ni mfuatiliaji tu wa mambo yanayotokea hapa nchini kwenye kila nyanja.
 
Back
Top Bottom